bakundande jr
JF-Expert Member
- Oct 22, 2021
- 507
- 670
Ikiwa ni siku chache zimepita tangu kufunguliwa rasmi kwa msimu wa ligi ya mabingwa barani Ulaya (UCL) kwa kupigwa mchezo wa super cup baina ya Manchester City mabingwa wa ligi ya mabingwa ulayq msimu uliopita dhidi ya Sevilla ulioisha kwa city kushinda kwa mikwaju ya penati.
Leo ndio ile siku iliokuwa ikisubiriwa ja wapenzi wa kandanda kufahamu ni timu zipi zitakutaka katika hatua ya makundi katika michuano hiyo.
Katika msimu huu timu ya Manchester City inapewa asilimia kubwa ya kutwaa tena taji hilo ikifuatiwa na vilabu vya real Madrid, Psg bila kusahau mabingwa wa ligi kuu ujerumani the bavarians. Huku washika mitutu toka London pia wakiwa ni miongoni mwa timu zinazopewa chapuo kunyqkuwa taji hilo.
Usikose kufuatilia uzi huu kujua mchakato mzima wa droo hii itakayofanyika jioni ya leo
Leo ndio ile siku iliokuwa ikisubiriwa ja wapenzi wa kandanda kufahamu ni timu zipi zitakutaka katika hatua ya makundi katika michuano hiyo.
Katika msimu huu timu ya Manchester City inapewa asilimia kubwa ya kutwaa tena taji hilo ikifuatiwa na vilabu vya real Madrid, Psg bila kusahau mabingwa wa ligi kuu ujerumani the bavarians. Huku washika mitutu toka London pia wakiwa ni miongoni mwa timu zinazopewa chapuo kunyqkuwa taji hilo.
Usikose kufuatilia uzi huu kujua mchakato mzima wa droo hii itakayofanyika jioni ya leo