Jason Bourne
JF-Expert Member
- May 11, 2011
- 200
- 438
- Thread starter
- #41
Mkuu Jb, hauko mbali sana na ukweli, hiyo miaka unayotaja labda wameichakachua kwenye record zao! Na kuna kitu kisicho cha kawaida kuhusu kadhia hii, wanajaribu sana kutomhusisha mzee mwinyi ktk dili hili na nadhani ndiyo sababu ya kusogeza kidogo miaka inayotajwa, wanasahau kuwa hawawezi kufuta rekodi za ziara za viongozi na maafisa wa serikali zilizozaa wizi huu! Kwa mtazamo wangu iptl ndiyo imehusika kwa % kubwa kuidhoofisha Tanesco, kwa karibu miaka ishirini inaikamua Tanesco tu bila tija yoyote. Tujaribu kupata kwa siku au mwezi tunailipa iptl kiasi gani mtachoka humu ndani.
Big up sana mkuu.
Nimedhamilua kuutafuata ukweli na kila kitu kitakuwa wazi, nitasafiri kwenda Vietnam na Malaysia kuutafuta ukweli huo!