Dada unatembea na kitega uchumi, halafu unalalamika maisha magumu ? Unakwama wapi?
Ili kuyakabili maisha na kuwa na uchumi wa kati jirembe, jibebishe na uwe mtu wa kukaa maeneo ya mawindo.
Anyway. Kuna mwenzenu siku kama ya leo ametengeneza 1M. Asubuhi aliitwa na mshefa wakutane sehemu wapate breakfast na kucheza ile game ya kikubwa, akapewa 400k (siyo wewe unalipwa 40k).
Mida ya lunch kakutana na mjanja kampiga 100k kwa kumpatia namba ya simu tu.
Hivi navyoongea kaingiziwa 500k kwenye simu na mjanja mwingine ili wakale bata usiku huu.
Wewe unakwama wapi na sikukuu zote hizi?
Ili kuyakabili maisha na kuwa na uchumi wa kati jirembe, jibebishe na uwe mtu wa kukaa maeneo ya mawindo.
Anyway. Kuna mwenzenu siku kama ya leo ametengeneza 1M. Asubuhi aliitwa na mshefa wakutane sehemu wapate breakfast na kucheza ile game ya kikubwa, akapewa 400k (siyo wewe unalipwa 40k).
Mida ya lunch kakutana na mjanja kampiga 100k kwa kumpatia namba ya simu tu.
Hivi navyoongea kaingiziwa 500k kwenye simu na mjanja mwingine ili wakale bata usiku huu.
Wewe unakwama wapi na sikukuu zote hizi?