"Uchumi wa kati" hapa mjini. Akina dada ni wewe na akili yako tu

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,563
50,415
Dada unatembea na kitega uchumi, halafu unalalamika maisha magumu ? Unakwama wapi?

Ili kuyakabili maisha na kuwa na uchumi wa kati jirembe, jibebishe na uwe mtu wa kukaa maeneo ya mawindo.

Anyway. Kuna mwenzenu siku kama ya leo ametengeneza 1M. Asubuhi aliitwa na mshefa wakutane sehemu wapate breakfast na kucheza ile game ya kikubwa, akapewa 400k (siyo wewe unalipwa 40k).

Mida ya lunch kakutana na mjanja kampiga 100k kwa kumpatia namba ya simu tu.

Hivi navyoongea kaingiziwa 500k kwenye simu na mjanja mwingine ili wakale bata usiku huu.

Wewe unakwama wapi na sikukuu zote hizi?
 
Kwa akili hizo ndo maana hamuolewi, mashimo ya barabarani yanakuwaaga madogo lakini kadiri yanavyokanyagwa na magari tofauti tofauti yanaongezeka ukubwa. Hamkawii kusingizia hoo wanaume wasiku hizi wanavibamia sio nyie mnakuwa mmeshatumika Sana mpaka yamkuwa mahandaki kisaunatafuta pesa
 
Back
Top Bottom