Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,987
- 20,271
- Thread starter
- #41
Yericko, hii ishu muda huu ni kama lava ya volcano. Ungeipumzisha tu.
Udhaifu wa serikali hii umehalalisha mambo ambayo si tu kwamba ni ya hatari sana bali pia imeendelea kuyanyamazia matendo yenye kukinzana na dhana nzima ya Utaifa, Uhuru, Ukweli, Haki na Utu (hasa pale isipostahili/kuvumilika).
Mkuu ni vema tuyatibu haya kwa kuwahoji waongo hawa kuliko kufumbia macho!
Madhara ya kufumbia macho ni makubwa sana kuliko kuyatibu sasa, bila shaka umeshuhudia machafuko na vurugu za kidini hivi majuzi tu, asili ya hayo yote ni hayahaya ya akina Mohamed Said.