Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Ni kwasababu tunawashangaa sana kulalama kumchafua mfu na wala msijipiganie kwa alie hai Kikwete awasaidie kutatua matatizo kaka.

Kupapambana na mfu ni chuki na hasira zisizo na mantiki wa faida ni ujinga wa wajinga kulilia makaburi yawasaidie, werevu hupambana na waliohai wawasaidie kutatua matatizo kwa fada ya uhai wa wanaoishi na vizazi vyao.

Jipime upo kupambana na makaburi na unaakili timamu? au nimwerevu kupambana na kiwete, Bilala, said mwemama, kinana, mohamedi shein nk iliwakukwamueni huko mlikozama? .........................

Kwani Kiwete ndiye Nyerere? Bado hujajuwa mada ni kitu gani?
 
Malenga wetu mohamed said ataendelea kuwatumbuiza kwa tenzi za uchochezi na mkaendelea kuitikia kibwagizo cha nyerere, na mfumo kristo ni tatizo kwa waislamu. lakini nyerere hayuopo wala huo mfumo haupo.

Tungo za ushairi wake ni tata hatamwenyewe anajuwa. katika tungo zake hakosowi walio madarakani wala wale washirika wa mwalimu waislamu. Tenzi zake mwanana huwalenga mujahidina wala waislam wa kweli na wenye kumuhofia mungu hawapati shida. Isipokuwa tu vipofu humpelekwa shimoni na vipofu wenzao, mwenye macho na ufaham mzuri hawezi kumfuata malenga mohamed.

Kazaneni kumchafua mwalim, haitaongeza tija katika mafanikio ya waislam wala elimu wala afya kwasababu yeye ni marehemu nikama vile nanyi ni marehemu kwasababu mnavutana na kivuli cha mfu matunda ya mafunzo ya malenga, hayupo, hanakauli wala haguswi na malalamiko yenu.


Mfuateni kikwete angali pale ikulu awapatie msaada walau mjenge vyuo vikuu vipya vitatu Kigoma Tabora na mtwara. tena mfuateni Said mwema na afanye uchunguzi Necta kumbukumbu zote zipo pale ilimjiridhishe kuwa waislam waliofanya mtihani wakafeli, waliferi kihalali au waliferishwa mkitaka tangu uhuru hadi hivi leo.

Kupiga porojo za kumchafua nyerere, kuwachanganya watanzania kwa missingi ya dini na kuwapigia kelele wakristu hakutawasaidia kamwe zaidi ya kuwadharirisha na kuwafedhehesha.

Umenena kwa tenzi tata zenye muono wa juu sana,

respect mkuu!
 
Unaruhusiwa kuenda makaburini kumuogesha mwalimu awe msafi sijuwi utamuweka wapi? jiogeshe wewe kwa kupambana na waliomadarkani wakusaidien kutatua mataizo yenu. kushabikia malenga wenu mohamed hakutobadilisha mambo kwa tenzi nzuri na ushairi, ila kwa kuchukuwa hatua dhidi ya akina shein, ghalib bilali, kikwete na wengineo kuwasogeza na kuwakwamua alikufa kaenda what next?

Isitoshe kaka, kikwete alishasema kama kanisa linafaidika na MOU na serikali inalibeba, yupoteyali sasa kuwabeba waislam
Meshaandaa MOU yenu na kuipeleka ikulu? kama bado mchakato umefikia wapi kaka maana kikwete alisema wazi kabisa anawasubiria mpeleke wa kwenu..

Ni heri kujuwa nini kinachozungumzwa na baadae kujibu hoja? Aliesema akakogeshwe nani hapa?
Ungejibu hoja zangu za juu basi ningeona kweli tunaenda sambamba lakini hii mbona unachupia tu. Wacha nikukumbushe nini kilichopelekea posti yangu: Mtu aliewekwa kwenye nafasi ya kulalamika atalalamika tu, kwa vile imekuwa ndio haja ya yule aliemuweka!
 
Unataka kumdanganya nani wewe Yericko? Damu yako iko kwenye mfumo ule ule anaoupigia kelele Mohamed Said.

Rejeaa mabandiko yako JF kuhusu dini, hakuna hata moja ulilotoa hoja kinzani dhidi ya damu yako. Kweli damu ni nzito kuliko maji, kubali yaishe, unawakilisha interest za dini yako sio za watanzania.

Mr. President hata wewe kumbe ni mshabiki wa chuki na uchochezi wa kidini!?
Kumbe masalia walikuwa wanapata maelekezo toka kwako ili kukichafua chama kwa propaganda za ubaguzi wa kidini. Nimeshukuru kuendelea kujianika...
 
mwandishi wa uzi huu udini na kutojua historia ya zanzibar ndio ulokupelekea kuandika pumba zako soma kitabu kinachoitwa uhasidi wa marekani kwa mapinduzi ya zanzibar. Kilichotungwa na giorgio galinoshadjivayansi na abdulrahman babu ndio utajua ukweli wote otherwise u havo no right to question any thng about zanzibar

hivi kuna tofauti ya kutunga na kufanya utafiti? Mtafiti hufanya vipi na mtunzi hufanya vipi? Nani kati ya hao wawili yoko biassed?
 
Hapana! asili ya vurugu hizi za kidini ni Nyerere rejea vitabu vya Wakristo wenzako kina Dr.Sivalon na P.Bergen.

Unadhani nani tumpelekee lawama kwa kukaa kimya bila kuchukua hatua kwa wakati huu?

sedeeq tuende kaburini ili nyerere afufuke amakamsaidie kikwete kurekebisha mambo? inawezekana kumrudisha? maana kelele ni nyerere, Kikwete ndiyo kinara wetu kwa sasa anawajibika kwa kila jambo ikiwapo kuwasaidia waislam wenzie. bado miaka mitatu atoke madarakani hajawatendea lolote jema waislam na amekaa sasa miaka takriban 7. bado ataondoka mtaendelea kumchafua nyerere huo ndo werevu kaka?

Mnajidharisha sana kupambana na kivuli cha mfu. kupapambana na mfu nisawa na kupigana na kivuli chako na vichaa tu ndo wanaweza kufanya hivyo. maiti, marehem, mfu nisawa na kivuli ukipiga utaishia kuumia mwenyewe tupigane na waliohai watusaidie.

tuende ikulu kwa mwislam mwenzetu kikwete ametusadia nini mpaka hivi leo kaka

kama waislam, ilitupate matunda ya msaada wa serikali tumeshapeleka ka MOU ketu ili mwenzetu kikwete atusaidie, tumefikia wapi kaka.
 
Sio hivo tuu tizama walivolua hawana mAarifa kwenye tume ya katiba baada ya kuongelea yao wao wamekazana hawataki kuona tz inajiunga na oic wala kadhi asiwepo dah hawa jamaa yakhe
 
Ni heri kujuwa nini kinachozungumzwa na baadae kujibu hoja? Aliesema akakogeshwe nani hapa?
Ungejibu hoja zangu za juu basi ningeona kweli tunaenda sambamba lakini hii mbona unachupia tu. Wacha nikukumbushe nini kilichopelekea posti yangu: Mtu aliewekwa kwenye nafasi ya kulalamika atalalamika tu, kwa vile imekuwa ndio haja ya yule aliemuweka!

Nia yangu ilikuwa ni kuandika historia ya wazee wangu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hili nashukuru nimelifanya.

Ikiwa unaona kuandika kitabu hicho ni ulalamishi hivyo ndivyo dunia ilivyo.
Kila mtu ana uhuru wa kufikiri na kusema apendavyo.
 
Malenga wetu mohamed said ataendelea kuwatumbuiza kwa tenzi za uchochezi na mkaendelea kuitikia kibwagizo cha nyerere, na mfumo kristo ni tatizo kwa waislamu. lakini nyerere hayuopo wala huo mfumo haupo.

Tungo za ushairi wake ni tata hatamwenyewe anajuwa. katika tungo zake hakosowi walio madarakani wala wale washirika wa mwalimu waislamu. Tenzi zake mwanana huwalenga mujahidina wala waislam wa kweli na wenye kumuhofia mungu hawapati shida. Isipokuwa tu vipofu humpelekwa shimoni na vipofu wenzao, mwenye macho na ufaham mzuri hawezi kumfuata malenga mohamed.

Kazaneni kumchafua mwalim, haitaongeza tija katika mafanikio ya waislam wala elimu wala afya kwasababu yeye ni marehemu nikama vile nanyi ni marehemu kwasababu mnavutana na kivuli cha mfu matunda ya mafunzo ya malenga, hayupo, hanakauli wala haguswi na malalamiko yenu.


Mfuateni kikwete angali pale ikulu awapatie msaada walau mjenge vyuo vikuu vipya vitatu Kigoma Tabora na mtwara. tena mfuateni Said mwema na afanye uchunguzi Necta kumbukumbu zote zipo pale ilimjiridhishe kuwa waislam waliofanya mtihani wakafeli, waliferi kihalali au waliferishwa mkitaka tangu uhuru hadi hivi leo.

Kupiga porojo za kumchafua nyerere, kuwachanganya watanzania kwa missingi ya dini na kuwapigia kelele wakristu hakutawasaidia kamwe zaidi ya kuwadharirisha na kuwafedhehesha.

Nimeipenda tone yako ya kukubali ukweli wa historia. Alichooandika Mohamed Said ni historia na hatupotezi kitu kuijuwa kwa sie Waislamu na wale wengine wenye dini nyengine ambao wana upendo mkweli wa Taifa. Kejeli na dharau kwa kupewa ukweli havitosaidia hasa ukizani kuwa mjinga atakuwa mjinga siku zote. Sawa endeleeni kudharau ukweli na kutuona Waislamu ni wajinga lakini binaadamu hanyanywaswi daima.
Eti kutufedhehesha na kutudharaulisha! Kwanani ndugu yangu ,kwenu, kudi teule katika Taifa la ujumla? Nahisi chuki zinakupofuwa lakini kumbuka Tanzania haikuwa hivi ilivyo sasa na huenda haya mambo yanaenda kwa zamu hatuwa kwa hatuwa.
 
Mr. President hata wewe kumbe ni mshabiki wa chuki na uchochezi wa kidini!?
Kumbe masalia walikuwa wanapata maelekezo toka kwako ili kukichafua chama kwa propaganda za ubaguzi wa kidini. Nimeshukuru kuendelea kujianika...

Hahaaa hapa utawanasa wengi hata usiowatarajia!
 
Kuna hizi DATA zinawekwa hapa kuhusu Misaada ya Taasisi za kidini. Ila wengi wanasahau kuwa taaisi hizo zinasaidia watu wa aina zote. Mie si mwenyeji sana Tanzania ila huwa najisemea kwa hivi vilivyopo hapa kwetu SIKONGE.

Prof. Ibrahim Lipumba ambaye ni Muislaam, amesomea Middle School ya Mbirani iliyopo Sikonge ambayo ilikuwa chini ya Moravian hadi ilipotaifishwa kuwa ya Serikali na baadaye Mkapa kuirudisha kwa Moravian church. Huyu si mtu pekee aliyesomea hapo kwa sababu karibu Waislaam wasomi wote wa Sikonge, enzi hizo walipitia hapo hapo Mbirani.

Sikonge Hospital inatakiwa pia kupewa misaada na Serikali ila kwa sababu Serikali ya Tanzania hawana hela, wanaandika tu Data ambazo vibwengo wengine wanakuja hapa kuonyesha Mamilioni ambayo Wakristo wanapokea wakati ukweli hakuna kinachokwenda huko kwa sasa. Hizi Hospital zimekuwa zikitibu watu wa rangi zote kuanzia Weusi, Waarabu, Wahindi , Wazungu nk na watu wa dini zote na hata wasio na dini. Haijawahi kubagua kuwa wewe ni Mu-Islaam usijetibiwa hapa na wanafanya hivyo kwa sasa bila kupewa pesa walizoahidiwa na Serikali.

Kinauma zaidi inapofikia Jitu na umri wake mkubwa tu, bila AIBU linakuja hapa na kusema WAKRISTO WANAFAIDI. Huyu ukimsoma unaanza kufikiri kama ni Mwanaume kweli au shoga fulani hivi. Tunafaidi nini? Kuwatibu watu wote bure bila Serikali kuturudishia fehda zetu? Kuwasaidia Waislaam ambao kesho wakipona wanakuja hapa kuanza kututukana? Hivi Mtoto wa kiume huna hata tone la soni wewe?

You know what, hizo data zenu hazifai hata kuwa Toilet Papper. Kama hamuamini, basi nendeni hazina na mje na data kamili kuwa Moravian Church Hospital - SIKONGE mwaka jana wamepokea fedha kiasi gani. Ukiniletea kuwa wamepokea walau fedha ya mwezi mmoja ambayo ni Milioni 20 basi ntakuwa mtetesi wa Waislaam kuwa kweli wanaonewa.

Acheni kudanganya watu bana kwa data ambazo hazipo. Kama hospital fulani wanapokea basi hao kwa sababu kuna namna ambayo CCM na Waislaam pia wanafaidika na hasa wale vingunge ila hizi za walala hoi, hamna kitu.

GIVE ME GUN!!!!!
 
Nia yangu ilikuwa ni kuandika historia ya wazee wangu katika kupigania uhuru wa Tanganyika.
Hili nashukuru nimelifanya.

Ikiwa unaona kuandika kitabu hicho ni ulalamishi hivyo ndivyo dunia ilivyo.
Kila mtu ana uhuru wa kufikiri na kusema apendavyo.

Kwa bahti mbaya katika kufanya hivyo wanaotaka historia iwe yenye mazuri tu kwao wamelifikisha hili la kutuona Waislamu tunalalamika badala ya kufahamu kuwa ni haki yetu pale tunapoelimishwa kutetea haki zetu za kitaifa.
 
Kwani Kiwete ndiye Nyerere? Bado hujajuwa mada ni kitu gani?

suala ni mfumo kristo na lawama zenu kwa nyerere.

mnataka muendelee kwa sasa ikulu yupo kikwete, vipi mfuateni,tena anataka mpeleke MOU yenu sasa kama msaada umejipalilia njia yanini kupambana na mfu kama kivuli chako! wewe sio kichaa unaakili timamu mfu hata siku moja hatatatua matatizo yako kama ndivyo tuende kwa aliye hai tupate msaada ndiyo kazi ya watu werevu kuangalia fursa na kuzitumia, fursa imepatikana nini tena?
 
Yericko Nyerere,

Nakuomba weka hayo uloandika pamoja na majibu nilikupa ya maswali yako ili msomaji apate picha kamili.

Nashauri twende kidogo kidogo ili wanaukumbi waweze kufuatilia mnakasha bila ya kuwachosha na mambo mengi.
Kwa ajili hii kwa sasa sitosema chochote kwenye hayo ulosema kuhusu mapinduzi.
 
Last edited by a moderator:
Eti hii nayo ni Sababu ambayo imewafanya Waislaam wasisome. Sasa kama Ada hamna, shule ni bure tatizo liko wapi? Enzi hizo unaweza kurudia hadi ukazeekea darasani ila mwisho utafaulu tu. Ukifika secondary ukashindwa wakati shuleni kila kitu bore, kosa la NYERERE na Mfumo Kristo? Hawa akina Lipumba, Prof. Kigoma Malima, Kikwete, na wasomi wengine kibao Waislaam mbona wao walisoma vizuri tu na kufikia hapo walipo?

Mie mwenyewe kwenye familia kuna ndugu Muislaam ambaye alisoma na kuja kuwa Daktari na cheo kikubwa tu.....

Angalia huu utumbo:

4. Kukataa kutunga sera za kuondoa upendeleo wa Wakristo katika elimu na kuendeleza ulaghai dhidi ya wananchi wasiokuwa Wakristo. Mara baada ya uhuru ilielezwa na viongozi wetu akiwemo Mwl. Nyerere kuwa serikali itachukua hatua kuondoa mpango ulioasisiwa na Wakoloni wa kuwabagua Waislamu. (tazama A. Jumbe 1994:123, Court 1976 na Nyerere in Hansard Desemba 10, 1962). Badala yake hatua zilizochukuliwa hazikulenga kuondoa tatizo la ubaguzi wa kidini katika elimu nchini na kuwaondoa pia katika ajira na madaraka.Mfano wa hatua hizo ni pamoja na:

i. Kufuta ada shule za msingi na sekondari miaka ya 1960/70.

ii.
Kuweka kikomo cha elimu ya msingi kuwa miaka 7 bila kusita.

iii. Kuondoa mitihani ya darasa la 4 na 5. iv. Kuanzishwa kwa mpango wa UPE.

v. Kujenga shule za msingi za bweni kwa watoto wa wafugaji na wavuvi wanaoishi kwa kuhamahama

vi. Kutaifisha shule za binafsi zilizokuwa chini ya mashirika ya dini na watu binafsi. Mpango huu haukuhusisha seminari za Wakristo.

vii.
Kupeleka wanafunzi sekondari kwa kigezo cha KUCHAGULIWA badala ya KUFAULU kulikoendana na kuyafanya matokeo ya mtihani wa darasa la saba kuwa ni siri.

viii.
Kuanzishwa utaratibu wa “quota system” ambapo kila mkoa ulipangiwa idadi ya wanafunzi watakaochaguliwa kwenda sekondari.

ix. Kuweka utaratibu mgumu wa kuanzisha na kuendesha shule binafsi chini ya sheria ya elimu ya mwaka 1978, hivyo watu wote kulazimika kusoma katika shule chache za sekondari za Serikali

x. Kuanzishwa kwa shule maalum za vipaji katika miaka ya tisini mfano: Kibaha, Kilakala, Ilboru, n.k.

xi.
Kutoa upendeleo maalum (Affirmative Action) kwa watoto wa kike kuingia sekondari na vyuo. Aidha kuwepo pia kwa mipango ya kuwasomesha watoto wa kike kutoka familia maskini.

xii. Ujenzi wa Shule za Sekondari za Kata. Sera hizi zote pamoja na nyinginezo hazikusaidia kuondoa uwiano mbaya au ubaguzi wa elimu kwa Waislamu. Tuangalie mfano michache ifuatayo: Ni ukweli usiopingika kwamba UPE awamu ya kwanza iliyosukumwa na UNESCO na awamu ya pili iliyosukumwa na Malengo ya Milenia (MDGs) na Mpango wa Elimu kwa wote (EFA) zimesaidia kuwahakikishia watoto wengi wa Kiislamu elimu hiyo ya msingi. Lakini sera hii ilikuja katika kipindi ambacho elimu ya msingi haikuwezi tena kumpatia mtu ajira katika sekta rasmi na hata ile ya binafsi.

Ikumbukwe kwamba katika kipindi hicho cha miaka ya 60 hadi 2000 nafasi za masomo ya sekondari ziliendelea kuwa haba. Wakati wote huu watoto wa Kikristo ndiyo walioendelea kufaidika na elimu ya sekondari. Masomo hayo ya sekondari hatimaye yaliwapatia fursa za kuingia vyuo vikuu na hivyo kuwa katika nafasi za kuajiriwa serikalini, kuteuliwa katika vyeo na nyadhifa mbalimbali huku Waislamu waliowaacha shule za msingi wakiambulia ajira za usafi na utarishi.

Naam, Mfumokristo umefanikiwa kuwafanya Wakristo kuwa warithi wa wazungu wakoloni na kuwaacha Waislamu katika hadhi lie ile waliokuwa nayo wakati wa ukoloni. Aidha kutaifishwa kwa shule hakujasaidia Waislamu kupata elimu ya sekondari kama inavyodaiwa kuwa Nyerere alitaifisha shule ili Waislamu wasome.
 
Kuna hizi DATA zinawekwa hapa kuhusu Misaada ya Taasisi za kidini. Ila wengi wanasahau kuwa taaisi hizo zinasaidia watu wa aina zote. Mie si mwenyeji sana Tanzania ila huwa najisemea kwa hivi vilivyopo hapa kwetu SIKONGE.

Prof. Ibrahim Lipumba ambaye ni Muislaam, amesomea Middle School ya Mbirani iliyopo Sikonge ambayo ilikuwa chini ya Moravian hadi ilipotaifishwa kuwa ya Serikali na baadaye Mkapa kuirudisha kwa Moravian church. Huyu si mtu pekee aliyesomea hapo kwa sababu karibu Waislaam wasomi wote wa Sikonge, enzi hizo walipitia hapo hapo Mbirani.

Sikonge Hospital inatakiwa pia kupewa misaada na Serikali ila kwa sababu Serikali ya Tanzania hawana hela, wanaandika tu Data ambazo vibwengo wengine wanakuja hapa kuonyesha Mamilioni ambayo Wakristo wanapokea wakati ukweli hakuna kinachokwenda huko kwa sasa. Hizi Hospital zimekuwa zikitibu watu wa rangi zote kuanzia Weusi, Waarabu, Wahindi , Wazungu nk na watu wa dini zote na hata wasio na dini. Haijawahi kubagua kuwa wewe ni Mu-Islaam usijetibiwa hapa na wanafanya hivyo kwa sasa bila kupewa pesa walizoahidiwa na Serikali.

Kinauma zaidi inapofikia Jitu na umri wake mkubwa tu, bila AIBU linakuja hapa na kusema WAKRISTO WANAFAIDI. Huyu ukimsoma unaanza kufikiri kama ni Mwanaume kweli au shoga fulani hivi. Tunafaidi nini? Kuwatibu watu wote bure bila Serikali kuturudishia fehda zetu? Kuwasaidia Waislaam ambao kesho wakipona wanakuja hapa kuanza kututukana? Hivi Mtoto wa kiume huna hata tone la soni wewe?

You know what, hizo data zenu hazifai hata kuwa Toilet Papper. Kama hamuamini, basi nendeni hazina na mje na data kamili kuwa Moravian Church Hospital - SIKONGE mwaka jana wamepokea fedha kiasi gani. Ukiniletea kuwa wamepokea walau fedha ya mwezi mmoja ambayo ni Milioni 20 basi ntakuwa mtetesi wa Waislaam kuwa kweli wanaonewa.

Acheni kudanganya watu bana kwa data ambazo hazipo. Kama hospital fulani wanapokea basi hao kwa sababu kuna namna ambayo CCM na Waislaam pia wanafaidika na hasa wale vingunge ila hizi za walala hoi, hamna kitu.

GIVE ME GUN!!!!!

Hivyo unatutaka Waislamu tunyamaze ili tuzidi 'kupata misaada' na tusidai haki ya kujisaidia wenyewe ili baadae kuwe na Takwimu zinazoonyesha Waislamu wachache wananufaika na msamaha mkubwa uliolenga upande mmoja?
 
Nimeipenda tone yako ya kukubali ukweli wa historia. Alichooandika Mohamed Said ni historia na hatupotezi kitu kuijuwa kwa sie Waislamu na wale wengine wenye dini nyengine ambao wana upendo mkweli wa Taifa. Kejeli na dharau kwa kupewa ukweli havitosaidia hasa ukizani kuwa mjinga atakuwa mjinga siku zote. Sawa endeleeni kudharau ukweli na kutuona Waislamu ni wajinga lakini binaadamu hanyanywaswi daima.
Eti kutufedhehesha na kutudharaulisha! Kwanani ndugu yangu ,kwenu, kudi teule katika Taifa la ujumla? Nahisi chuki zinakupofuwa lakini kumbuka Tanzania haikuwa hivi ilivyo sasa na huenda haya mambo yanaenda kwa zamu hatuwa kwa hatuwa.

Kaka dua la kuku siku zote halimpati mwewe.

Mchakato wa MOU ya waislam umefikia wapi?
 
Eti hii nayo ni Sababu ambayo imewafanya Waislaam wasisome. Sasa kama Ada hamna, shule ni bure tatizo liko wapi? Enzi hizo unaweza kurudia hadi ukazeekea darasani ila mwisho utafaulu tu. Ukifika secondary ukashindwa wakati shuleni kila kitu bore, kosa la NYERERE na Mfumo Kristo? Hawa akina Lipumba, Prof. Kigoma Malima, Kikwete, na wasomi wengine kibao Waislaam mbona wao walisoma vizuri tu na kufikia hapo walipo?

Mie mwenyewe kwenye familia kuna ndugu Muislaam ambaye alisoma na kuja kuwa Daktari na cheo kikubwa tu.....

Angalia huu utumbo:

Naona unaendelea kutowa exceptions badala ya kutowa takwimu za usawa. Kwako ni kuwa kuwa kundi fulani ambalo likipewa msaada linaweza likafanya maajabu. Huu ni mtizamo tuliokuwa tukitizamwa Waafrika na weupe!
 
Back
Top Bottom