Naomba msaada kuhusu hiyo topic kwa nini (Masheikh) wakisimama kudai haki wa waumini wa waislam anashitakiwa/kushutumiwa Kuwa ni Uchochezi? (NI HOJA YA KUJADILI WALA ISIFIKIRIWE VIBAYA.)
Sheikh wa Dasalamu haipati kesi ya uchochezi kwasababu yeye kada zuri la ccm. Walobakia nasikia micuf na michadema tu kwahio serikali haitaki kujaribiwa na masheikh wa upinzani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.