Uchimbaji mafuta na nchi ya 'MAJUHA'

Nimesoma pahali kuwa. South africa hawa chimbi mafuta ila ni wasafirashaji wakubwa wa mafuta. Wanachofanya ni kununua mafuta machafu na kusafisha kisha ku export.

Tungekuwa na akili tungewekeza huko. Uganda, qwanda, burundi, congo, zambia, malawi,msumbiji hata angola na kenya pia wangekuwa wateja wetu wakuu wa mafuta na bidhaa zake.
 
tueleze basi mafuta yamegundulika wapi, maana nimesoma hizo link naona habari za gesi tuu huko mtwara na si mafuta.msaada kama unajua

Fyongóxi,

Gas imegundulika katika blocks kadhaa baharini. Blocks zina majina na zinaanzia chini,Mtwara/Mpakani msumbiji, block 1, 2 ,3 gas yenye ujazo si chini ya 30tcf(trillion cubic feet) imegundulika. Operators wakiwa Statoil(partner na Ophir*) na BG(British Gas).

Kuna sehemu nyingine onshore chache lakini hizo ni major gas discoveries.

Kuhusu mafuta block 8 kwenda juu(Nyuma ya Zanzibar kwenda kaskazini) kulingana na geological position na discoveries zilizogunduliwa kule kenya, ukanda ule unahisiwa kuwa na reserves za mafuta. Juu kabisa kuna blocks zinaendelea ambazo mmoja wa operator ni Shell.

Basi ikishafanyika Seismic survey(2D na 3D) na geologists wakasoma na kuprocess ndio kuexplore(na kudrill kuona kama zipo) ndio itafuata.

Nadhani umenipata mkuu
 
Nimesoma pahali kuwa. South africa hawa chimbi mafuta ila ni wasafirashaji wakubwa wa mafuta. Wanachofanya ni kununua mafuta machafu na kusafisha kisha ku export.

Tungekuwa na akili tungewekeza huko. Uganda, qwanda, burundi, congo, zambia, malawi,msumbiji hata angola na kenya pia wangekuwa wateja wetu wakuu wa mafuta na bidhaa zake.

Ina sikitisha sana.
Ndo maana Kagame alisema akipewa bandari ya dar peke yake ina mtosha
kuendesha nchi kabisa.

Hebu jiulize,Zambia wana chukua crude oil inayo shushwa kwenye bandari yetu
wana isafirisha hadi kwao,then wana isafisha na wanapata product zote.
Wanaona kuna faida kwenye kusafisha crude oil,japo kuna gharama kuubwa sana katika
kui safirisha.

Sisi ambao tuna bandari,tumeona kusafisha crude oil hapa hapa Tanzania ni gharama sanaaaaa
hadi tuka funga refinery,....UJUHA MTUPU
 
Kwa maana hiyo hakuna sababu ya kung'ang'ania hilo ziwa Nyasa. Wapeni tu hao wamalawi manake hakuna faida yoyote hata kama kuna mafuta. May be wamalawi watapiga hatua zadi na kufaidika na hilo wese kuliko bongo

Bora tuwaachie tu,halina msaada kwetu zaidi ya kuvua samaki na maji tu.
Hayo mafuta wachukue tu.
 
Back
Top Bottom