Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,335
- 24,229
Katika kuliekezea tatizo hilo, Mzee Mwinyi alitumia lugha rahisi iliyoeleweka kwa kila mtu: SUKARI IMEINGIA SUMU🤣🤣🤣🤣
"Sukari imeingia sumu, hasa pale tunapo ppp...papenda" alisema mzee Mwinyi
Enzi hizo ndo sukari iliingia sumu.
Watanzania nia wezangu sukari imeingia sumu. Kauli ya Mzee wetu Ally Hassan Mwinyi