Uchawi wa Kizungu huooooooooooooo

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
<center>How many black dots do you see ?

</center>

<center>
dots.jpg
</center>
 
yapo lakini yanabadilishana na meupe ambayo ni orijinol

Hakuna vidoti vyeusi kabisa, kinacho tokea ni kwamba
ukisogeza macho yako rangi nyeusi ambayo ipo kwenye
miraba (ambayo ni dominant color) inaingilia (overlapping)
hivyo viduara vyeupe.
 
Haya watalaam wa fizikai na mialai na miakisi tuambieni katumia janja gani?
 
Back
Top Bottom