AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,658
- 2,804
Wakuu habari,
Nimeona niweke uzi huu ili kupata usaidizi wa kina kwa wajuzi na juu ya kukabiliana na hili tatizo. Naishi peke yangu katika kachumba kangu, lakini ajabu ni kwamba kila ikifika mida ya saa nne usiku na kuendelea kila siku kuna panya mmoja anapita juu ya dari kutoka jikoni kuja ndani kwangu, atazunguka akichka atashuka chini ya uvungu wa kitanda kupitia miti ya neti.
Pamoja na hayo nishichoelewa ni juu ya matukio haya mawili, kuna siku niliweka elfu kumi na mbili juu ya meza yangu nikaamka nikakuta zipo elfu sana tu, nilijiuliza sana mwisho nikaamua kupotezea, Pili ni usiku wa kuamkia leo, nikiwa na akili timamu, nakumbuka jana nilinunua karanga mbichi za miambili kwa jili ya kutafuna asubuhi ya leo nikiwa katika mishe zangu, nazo nikaziweka pembezoni kabisa mwa PC yangu katika hako kameza, ilipofika usiku mnene nikasikia kwa masiko yangu kwani siku hiyo sikupata usingizi mapema kama mjongeo wa mtu si mtu kitu si kitu kikifanya kukurukakara ndani ya chumba changu, nikapatwa na hofu zaidi hiko kitu/mtu alipokanyaga kitu mithili ya karatasi kuja kuelekea nilikolala, nikapata kaujasiri nikapiga kadua kafupi hali ikatulia.
But nilipoamka asubuhi na nilichelewa kuliko kawaida ajabu sikuziona zile karanga, nimetafuta kila kona ya chumba sikuoziona, sasa wajuzi wa haya mambo na wanaojua masuala ya shiriki, embu niambieni hii inamaana gani na naweza vipi kuitataua katiaka hali ya ubinadamu pamoja na kwamba najua fika kuwa sala ni na kukemea ni dawa nzuri zaidi.
Pia kama ni wachawi nataka niwaone ili niwaulize hasa wanataka nini kwangu?
Natanguliza shukrani kwa wachangaiaji, ila tafadhali changia inavyokupa, matani na matusi plus jokes sio busara.
Nimeona niweke uzi huu ili kupata usaidizi wa kina kwa wajuzi na juu ya kukabiliana na hili tatizo. Naishi peke yangu katika kachumba kangu, lakini ajabu ni kwamba kila ikifika mida ya saa nne usiku na kuendelea kila siku kuna panya mmoja anapita juu ya dari kutoka jikoni kuja ndani kwangu, atazunguka akichka atashuka chini ya uvungu wa kitanda kupitia miti ya neti.
Pamoja na hayo nishichoelewa ni juu ya matukio haya mawili, kuna siku niliweka elfu kumi na mbili juu ya meza yangu nikaamka nikakuta zipo elfu sana tu, nilijiuliza sana mwisho nikaamua kupotezea, Pili ni usiku wa kuamkia leo, nikiwa na akili timamu, nakumbuka jana nilinunua karanga mbichi za miambili kwa jili ya kutafuna asubuhi ya leo nikiwa katika mishe zangu, nazo nikaziweka pembezoni kabisa mwa PC yangu katika hako kameza, ilipofika usiku mnene nikasikia kwa masiko yangu kwani siku hiyo sikupata usingizi mapema kama mjongeo wa mtu si mtu kitu si kitu kikifanya kukurukakara ndani ya chumba changu, nikapatwa na hofu zaidi hiko kitu/mtu alipokanyaga kitu mithili ya karatasi kuja kuelekea nilikolala, nikapata kaujasiri nikapiga kadua kafupi hali ikatulia.
But nilipoamka asubuhi na nilichelewa kuliko kawaida ajabu sikuziona zile karanga, nimetafuta kila kona ya chumba sikuoziona, sasa wajuzi wa haya mambo na wanaojua masuala ya shiriki, embu niambieni hii inamaana gani na naweza vipi kuitataua katiaka hali ya ubinadamu pamoja na kwamba najua fika kuwa sala ni na kukemea ni dawa nzuri zaidi.
Pia kama ni wachawi nataka niwaone ili niwaulize hasa wanataka nini kwangu?
Natanguliza shukrani kwa wachangaiaji, ila tafadhali changia inavyokupa, matani na matusi plus jokes sio busara.