Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,898
Meneja wa Standard Printers, John Mcharo, (wa pili kulia) akimuonesha pleti ya kuchapishia magazeti Katibu wa Itikadi na Uenezi Taifa Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye,(wa pili kushoto) alipotembelea kiwandani kuona shughuli za uchapishaji wa Magazeti ya Serikali ya Daily News,Sunday News, HABARILEO na HABARILEO Jumapili. Kushoto ni Kaimu Mhariri Mtendaji, Mkumbwa Ally na Msanifu kurasa Mkuu wa Pre Press, Geoffrey Ng'humba
Serikali inapoteza fedha nyingi katika kwenye anasa za viongozi na watumishi wengine bila kujali taasisi muhimu kama hizi kuziboresha ziwe na vitendea kazi vya kisasa. Magazeti ya serikali na Daily News yanatakiwa yawe na vitendea kazi vya kisasa vya digital badala ya kuwa na plate maker kama hizi ambazo ni za kiwango cha viwanda vidogo na visivyo na matawi mengi yanayotoa nakala za kila siku.
Nashangaa mtindo huu wa uchapaji kutumia metal plate kwa idadi ya magazeti yanayohitajika nchi nzima tunapoteza fedha nyingi kutengeneza offset metal plates zaidi ya moja kwa kila upande mmoja wa papere sheet. Kama mitambo ya kisasa ya digital ambayo inaweza patikana kwa gharama nafuu ya rais kupunguza safari kama nne tu za kwenda nje unapata mtambo huo na kila asubuhi ya siku hiyo hiyo Mwanza, Mbeya, Arusha, Mtwara na Dodoma wanapata nakala zao.
Mfumo huu wa uchapaji vifaa vyake mitambo yake bei nafuu lakini vifaa vinavyotumika kila siku ni vingi sana kiasi cha kuumiza kichwa. Kumbuka hapa kwenye pre press department, wanahitaji to develop films kwenye mtambo wake, kisha kuhamishia taswira kwenye hiyo plate wanayoonyesha kwenye picha kwa kutumia mtambo wa plate maker, baada ya hapo hiyo plate inafungwa kwenye offset press kurudufu kurasa. Engrav. printing too big kwa Tanzaania lakini digital ingefaa zaidi.
Nashangaa mtindo huu wa uchapaji kutumia metal plate kwa idadi ya magazeti yanayohitajika nchi nzima tunapoteza fedha nyingi kutengeneza offset metal plates zaidi ya moja kwa kila upande mmoja wa papere sheet. Kama mitambo ya kisasa ya digital ambayo inaweza patikana kwa gharama nafuu ya rais kupunguza safari kama nne tu za kwenda nje unapata mtambo huo na kila asubuhi ya siku hiyo hiyo Mwanza, Mbeya, Arusha, Mtwara na Dodoma wanapata nakala zao.
Mfumo huu wa uchapaji vifaa vyake mitambo yake bei nafuu lakini vifaa vinavyotumika kila siku ni vingi sana kiasi cha kuumiza kichwa. Kumbuka hapa kwenye pre press department, wanahitaji to develop films kwenye mtambo wake, kisha kuhamishia taswira kwenye hiyo plate wanayoonyesha kwenye picha kwa kutumia mtambo wa plate maker, baada ya hapo hiyo plate inafungwa kwenye offset press kurudufu kurasa. Engrav. printing too big kwa Tanzaania lakini digital ingefaa zaidi.