Uchambuzi wangu juu ya Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Lord denning

JF-Expert Member
Jun 3, 2015
13,226
26,048
Nawasalimu kwa Jina la JMT

Leo napenda kutoa uchambuzi wangu kidogo juu ya Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Kwa Mawaziri
Kwanza napenda kusema Mama hajafanya vibaya! Mawaziri ni wasimamizi wa Sera ana haki ya kuweka yeyote amtakaye.

Malalamiko kadhaa yamesikika juu ya watu hawa
1. Mchengerwa kutolewa utumishi

Hapa inaonekana watumishi wengi walimpenda na kumkubali sana mchengerwa. Mimi sio mtumishi wa umma ila kiukweli hata mimi niliona jamaa ametosha pale. Sijui nini kimemfanya Rais amtoe Ila naamini kama Samia ameona reaction ya watumishi atafikiri upya Kama hakukuwa na ulazima wa kumtoa pale

2. Kuondolewa Lukuvi
Kusema kweli Mimi sijawai kuwa mfuasi wa Lukuvi na ukiniuliza Kwa nini nitakwambia kwa miaka yote aliyokaa Lukuvi ardhi nilichokuwa nakuona ni ongezeko la makazi holela kila siku. Bora uholela ungekuwepo kwenye makazi ya zamani na sio maeneo mapya ila mfano kwa Dar tu, Hadi maeneo mapya ya chanika, goba, madale, kibamba uholela unazidi kukua kila siku wakati Wizara ipo na wanaweza kutumia hata wanafunzi wa vyuo vya ardhi katika kupima na kupanga makazi ila kwake huo ubunifu sikuwai uona. Mikoa yote Tanzania ni uholela tu wa makazi! Nilimuona kwenye vyombo vya Habari tu akitoa matamko na si lolote lingine. Kwenye hili nasema Mama yuko sahihi.

3. Jaffo kuendelea kuwa Waziri
kama ilivyo Kwa Lukuvi, nimeona Jaffo nae bado yupo kwenye baraza. Kwangu Mimi Jaffo alifeli kwenye mazingira. Mwaka 2019 tulipitisha Sheria kuzuia mifuko ya plastiki ila kwenye hili Jaffo amefeli big time. Kuna uzi niliandika humu kumshauri Makamu wa Rais kuzunguka kwenye vibanda vya chips Dar na Dodoma aone kwa Jinsi gani mifuko ya plastiki imerudi kwenye hadi kufungia chips. Jaffo alifeli kwenye Mazingira hivyo hakustahili kurudi. Naamini Mama Samia ataendelea kuliangalia hili

4. Kabudi na Kitila
Najua Rais ana utashi wake Ila Kwa kumuondoa Prof Kitila naweza kusema kuwa hajakosea! Sikuona ubunifu wowote kwa kitila kwa alivyokuwa Biashara na hata Uwekezaji. Ni mtu wa maneno mengi tu

Kwa Kabudi nikiri huyu mzee uwezo anao Ila naona kama alikata tamaa kufanya kazi baada ya kifo cha JPM. Naona pia mama yuko sahihi. Naamini anaweza kunfikiria badae

5. Ridhiwani na Nape
Kwa hawa wote maneno yamesemwa kumgusa JK kuwa ndo sababu ya wao kuteuliwa. Kwa hawa naweza kusema sioni Tatizo kwao. Nape ni mtendaji mzuri sana. Alionekana alivyokuwa Wizara ya habari Mara ya mwisho. Ridhiwani watu wanakosea kumjudge mapema. Ni mpya kabisa kwenye Baraza. Sioni Tatizo kwake zaidi ya maneno ya kutunga ya watanzania yanayoongozwa na chuki tu. Huyu awe judged Kwa utendaji wake atakaouonesha pale Ardhi.

Mwisho kwenye Baraza la Mawaziri napenda kukiri kusikitika kutokuwepo kwa Charles Kimei- Sijui Mama anamuwazia nini Ila Kwa mafanikio ya huyu mtu akiwa crdb ninaona ni mtu muhimu sana kuwepo kwenye wa shauri wa Mama Samia kwenye cabinet

Dr Charles Kimei namfanisha na watu wenye weredi na u smart wa kupekee kama Prof Luoga, Nehemia Mchechu, Prof Chamuliro, Prof Mchome, Kanali Simbakalia ambao wana uwezo mkubwa sana wa kiakili hivyo hawana budi kuwa washauri wa Karibu wa Mamlaka.

Nataka na napenda sana Mama Samia afanikiwe. Ameanza vizuri na anakwenda vizuri. Napenda sana azidi kufanikiwa zaidi. Natumai Kwa sehemu chache nilizoshauri atazingatia humu.
 
Hakuna haja ya kupepesa maneno, Kwa namna ilivyofanyika tumerudi nyuma miaka 10 na uhitaji muujiza kujua gari limeacha njia. Sasa tunaingia porini kilomita ngapi ili baadae tuanze kutafuta njia ya kurudi njia kuu ni swala la muda.
Hivi hii mitano tulienda mbele ipi? Ukuaji uchumi ulififishwa. Majirani zetu wakatupiga gepu zaidi. Tatizo la ajira liliongezeko. Utumiaji nguvu na ukiukwaji wa haki ulikithiri.
Tuwape muda. Tutawapima
 
Hakuna haja ya kupepesa maneno, Kwa namna ilivyofanyika tumerudi nyuma miaka 10 na uhitaji muujiza kujua gari limeacha njia. Sasa tunaingia porini kilomita ngapi ili baadae tuanze kutafuta njia ya kurudi njia kuu ni swala la muda.
Hatujarudi nyuma. Tuko vizuri tu
 
Hivi hii mitano tulienda mbele ipi? Ukuaji uchumi ulififishwa. Majirani zetu wakatupiga gepu zaidi. Tatizo la ajira liliongezeko. Utumiaji nguvu na ukiukwaji wa haki ulikithiri.
Tuwape muda. Tutawapima
Kweli tuwape muda wateuliwa! Tuwapime kwa utendaji wao na matokeo watakayoyatoa
 
Hivi hii mitano tulienda mbele ipi? Ukuaji uchumi ulififishwa. Majirani zetu wakatupiga gepu zaidi. Tatizo la ajira liliongezeko. Utumiaji nguvu na ukiukwaji wa haki ulikithiri.
Tuwape muda. Tutawapima
Kama nchi kwa miaka mitano iliyopita tumepiga hatua kubwa Sana kwakua JPM alikua na maono makubwa na uthubutu wa Hali ya juu. Kama hujaona yaliyo fanyika miaka 5 iliyopita basi unatatizo lako binafsi.

JPM katika kipindi chake nakiri kusema Demokrasia haikuwepo Ila nchi ilikwenda, na katika vinchi hivi vichanga uwezi ukawa unafuata Demokrasia na nchi ikasonga , Wahuni utumia mwanya wa Demokrasia kupindisha Taratibu.

Nchi zote zilizo pata maendeleo ya kweli Duniani ukifuatilia mwanzo wa mabadiliko ya kweli zilikua na mtu wa aina ya JPM na Leo zonafaidi matunda na Jasho la mababu zao.
 
Kama nchi kwa miaka mitano iliyopita tumepiga hatua kubwa Sana kwakua JPM alikua na maono makubwa na uthubutu wa Hali ya juu. Kama hujaona yaliyo fanyika miaka 5 iliyopita basi unatatizo lako binafsi.
JPM katika kipindi chake nakiri kusema Demokrasia haikuwepo Ila nchi ilikwenda, na katika vinchi hivi vichanga uwezi ukawa unafuata Demokrasia na nchi ikasonga , Wahuni utumia mwanya wa Demokrasia kupindisha Taratibu. Nchi zote zilizo pata maendeleo ya kweli Duniani ukifuatilia mwanzo wa mabadiliko ya kweli zilikua na mtu wa aina ya JPM na Leo zonafaidi matunda na Jasho la mababu zao.
Kipi kizuri alichofanya JPM ambacho Rais Samia hakifanyi? Kipi kizuri kilichoanzishwa na JPM ambacho Rais Samia akifanyi?

Korea na Kusini na Kuwait Kuna maendeleo sana, ameshawai kuwepo mtu kama JPM kwenye izo nchi?
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT

Leo napenda kutoa uchambuzi wangu kidogo juu ya Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Kwa Mawaziri
Kwanza napenda kusema Mama hajafanya vibaya! Mawaziri ni wasimamizi wa Sera ana haki ya kuweka yeyote amtakaye.

Malalamiko kadhaa yamesikika juu ya watu hawa
1. Mchengerwa kutolewa utumishi

Hapa inaonekana watumishi wengi walimpenda na kumkubali sana mchengerwa. Mimi sio mtumishi wa umma ila kiukweli hata mimi niliona jamaa ametosha pale. Sijui nini kimemfanya Rais amtoe Ila naamini kama Samia ameona reaction ya watumishi atafikiri upya Kama hakukuwa na ulazima wa kumtoa pale

2. Kuondolewa Lukuvi
Kusema kweli Mimi sijawai kuwa mfuasi wa Lukuvi na ukiniuliza Kwa nini nitakwambia kwa miaka yote aliyokaa Lukuvi ardhi nilichokuwa nakuona ni ongezeko la makazi holela kila siku. Bora uholela ungekuwepo kwenye makazi ya zamani na sio maeneo mapya ila mfano kwa Dar tu, Hadi maeneo mapya ya chanika, goba, madale, kibamba uholela unazidi kukua kila siku wakati Wizara ipo na wanaweza kutumia hata wanafunzi wa vyuo vya ardhi katika kupima na kupanga makazi ila kwake huo ubunifu sikuwai uona. Mikoa yote Tanzania ni uholela tu wa makazi! Nilimuona kwenye vyombo vya Habari tu akitoa matamko na si lolote lingine. Kwenye hili nasema Mama yuko sahihi.

3. Jaffo kuendelea kuwa Waziri
kama ilivyo Kwa Lukuvi, nimeona Jaffo nae bado yupo kwenye baraza. Kwangu Mimi Jaffo alifeli kwenye mazingira. Mwaka 2019 tulipitisha Sheria kuzuia mifuko ya plastiki ila kwenye hili Jaffo amefeli big time. Kuna uzi niliandika humu kumshauri Makamu wa Rais kuzunguka kwenye vibanda vya chips Dar na Dodoma aone kwa Jinsi gani mifuko ya plastiki imerudi kwenye hadi kufungia chips. Jaffo alifeli kwenye Mazingira hivyo hakustahili kurudi. Naamini Mama Samia ataendelea kuliangalia hili

4. Kabudi na Kitila
Najua Rais ana utashi wake Ila Kwa kumuondoa Prof Kitila naweza kusema kuwa hajakosea! Sikuona ubunifu wowote kwa kitila kwa alivyokuwa Biashara na hata Uwekezaji. Ni mtu wa maneno mengi tu

Kwa Kabudi nikiri huyu mzee uwezo anao Ila naona kama alikata tamaa kufanya kazi baada ya kifo cha JPM. Naona pia mama yuko sahihi. Naamini anaweza kunfikiria badae

5. Ridhiwani na Nape
Kwa hawa wote maneno yamesemwa kumgusa JK kuwa ndo sababu ya wao kuteuliwa. Kwa hawa naweza kusema sioni Tatizo kwao. Nape ni mtendaji mzuri sana. Alionekana alivyokuwa Wizara ya habari Mara ya mwisho. Ridhiwani watu wanakosea kumjudge mapema. Ni mpya kabisa kwenye Baraza. Sioni Tatizo kwake zaidi ya maneno ya kutunga ya watanzania yanayoongozwa na chuki tu. Huyu awe judged Kwa utendaji wake atakaouonesha pale Ardhi.

Mwisho kwenye Baraza la Mawaziri napenda kukiri kusikitika kutokuwepo kwa Charles Kimei- Sijui Mama anamuwazia nini Ila Kwa mafanikio ya huyu mtu akiwa crdb ninaona ni mtu muhimu sana kuwepo kwenye wa shauri wa Mama Samia kwenye cabinet

Dr Charles Kimei namfanisha na watu wenye weredi na u smart wa kupekee kama Prof Luoga, Nehemia Mchechu, Prof Chamuliro, Prof Mchome, Kanali Simbakalia ambao wana uwezo mkubwa sana wa kiakili hivyo hawana budi kuwa washauri wa Karibu wa Mamlaka.

Nataka na napenda sana Mama Samia afanikiwe. Ameanza vizuri na anakwenda vizuri. Napenda sana azidi kufanikiwa zaidi. Natumai Kwa sehemu chache nilizoshauri atazingatia humu.
Msoga
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT

Leo napenda kutoa uchambuzi wangu kidogo juu ya Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Kwa Mawaziri
Kwanza napenda kusema Mama hajafanya vibaya! Mawaziri ni wasimamizi wa Sera ana haki ya kuweka yeyote amtakaye.

Malalamiko kadhaa yamesikika juu ya watu hawa
1. Mchengerwa kutolewa utumishi

Hapa inaonekana watumishi wengi walimpenda na kumkubali sana mchengerwa. Mimi sio mtumishi wa umma ila kiukweli hata mimi niliona jamaa ametosha pale. Sijui nini kimemfanya Rais amtoe Ila naamini kama Samia ameona reaction ya watumishi atafikiri upya Kama hakukuwa na ulazima wa kumtoa pale

2. Kuondolewa Lukuvi
Kusema kweli Mimi sijawai kuwa mfuasi wa Lukuvi na ukiniuliza Kwa nini nitakwambia kwa miaka yote aliyokaa Lukuvi ardhi nilichokuwa nakuona ni ongezeko la makazi holela kila siku. Bora uholela ungekuwepo kwenye makazi ya zamani na sio maeneo mapya ila mfano kwa Dar tu, Hadi maeneo mapya ya chanika, goba, madale, kibamba uholela unazidi kukua kila siku wakati Wizara ipo na wanaweza kutumia hata wanafunzi wa vyuo vya ardhi katika kupima na kupanga makazi ila kwake huo ubunifu sikuwai uona. Mikoa yote Tanzania ni uholela tu wa makazi! Nilimuona kwenye vyombo vya Habari tu akitoa matamko na si lolote lingine. Kwenye hili nasema Mama yuko sahihi.

3. Jaffo kuendelea kuwa Waziri
kama ilivyo Kwa Lukuvi, nimeona Jaffo nae bado yupo kwenye baraza. Kwangu Mimi Jaffo alifeli kwenye mazingira. Mwaka 2019 tulipitisha Sheria kuzuia mifuko ya plastiki ila kwenye hili Jaffo amefeli big time. Kuna uzi niliandika humu kumshauri Makamu wa Rais kuzunguka kwenye vibanda vya chips Dar na Dodoma aone kwa Jinsi gani mifuko ya plastiki imerudi kwenye hadi kufungia chips. Jaffo alifeli kwenye Mazingira hivyo hakustahili kurudi. Naamini Mama Samia ataendelea kuliangalia hili

4. Kabudi na Kitila
Najua Rais ana utashi wake Ila Kwa kumuondoa Prof Kitila naweza kusema kuwa hajakosea! Sikuona ubunifu wowote kwa kitila kwa alivyokuwa Biashara na hata Uwekezaji. Ni mtu wa maneno mengi tu

Kwa Kabudi nikiri huyu mzee uwezo anao Ila naona kama alikata tamaa kufanya kazi baada ya kifo cha JPM. Naona pia mama yuko sahihi. Naamini anaweza kunfikiria badae

5. Ridhiwani na Nape
Kwa hawa wote maneno yamesemwa kumgusa JK kuwa ndo sababu ya wao kuteuliwa. Kwa hawa naweza kusema sioni Tatizo kwao. Nape ni mtendaji mzuri sana. Alionekana alivyokuwa Wizara ya habari Mara ya mwisho. Ridhiwani watu wanakosea kumjudge mapema. Ni mpya kabisa kwenye Baraza. Sioni Tatizo kwake zaidi ya maneno ya kutunga ya watanzania yanayoongozwa na chuki tu. Huyu awe judged Kwa utendaji wake atakaouonesha pale Ardhi.

Mwisho kwenye Baraza la Mawaziri napenda kukiri kusikitika kutokuwepo kwa Charles Kimei- Sijui Mama anamuwazia nini Ila Kwa mafanikio ya huyu mtu akiwa crdb ninaona ni mtu muhimu sana kuwepo kwenye wa shauri wa Mama Samia kwenye cabinet

Dr Charles Kimei namfanisha na watu wenye weredi na u smart wa kupekee kama Prof Luoga, Nehemia Mchechu, Prof Chamuliro, Prof Mchome, Kanali Simbakalia ambao wana uwezo mkubwa sana wa kiakili hivyo hawana budi kuwa washauri wa Karibu wa Mamlaka.

Nataka na napenda sana Mama Samia afanikiwe. Ameanza vizuri na anakwenda vizuri. Napenda sana azidi kufanikiwa zaidi. Natumai Kwa sehemu chache nilizoshauri atazingatia humu.
Msimpangie rais.
Enzi za Magufuli mlikuwa wapi kumkosoa???
 
Yaan mleta mada unaona uteuzi wa ridhi1 na nape upo sawa!! upumbavu huu
 
Nawasalimu kwa Jina la JMT

Leo napenda kutoa uchambuzi wangu kidogo juu ya Mabadiliko ya Baraza la Mawaziri

Kwa Mawaziri
Kwanza napenda kusema Mama hajafanya vibaya! Mawaziri ni wasimamizi wa Sera ana haki ya kuweka yeyote amtakaye.

Malalamiko kadhaa yamesikika juu ya watu hawa
1. Mchengerwa kutolewa utumishi

Hapa inaonekana watumishi wengi walimpenda na kumkubali sana mchengerwa. Mimi sio mtumishi wa umma ila kiukweli hata mimi niliona jamaa ametosha pale. Sijui nini kimemfanya Rais amtoe Ila naamini kama Samia ameona reaction ya watumishi atafikiri upya Kama hakukuwa na ulazima wa kumtoa pale

2. Kuondolewa Lukuvi
Kusema kweli Mimi sijawai kuwa mfuasi wa Lukuvi na ukiniuliza Kwa nini nitakwambia kwa miaka yote aliyokaa Lukuvi ardhi nilichokuwa nakuona ni ongezeko la makazi holela kila siku. Bora uholela ungekuwepo kwenye makazi ya zamani na sio maeneo mapya ila mfano kwa Dar tu, Hadi maeneo mapya ya chanika, goba, madale, kibamba uholela unazidi kukua kila siku wakati Wizara ipo na wanaweza kutumia hata wanafunzi wa vyuo vya ardhi katika kupima na kupanga makazi ila kwake huo ubunifu sikuwai uona. Mikoa yote Tanzania ni uholela tu wa makazi! Nilimuona kwenye vyombo vya Habari tu akitoa matamko na si lolote lingine. Kwenye hili nasema Mama yuko sahihi.

3. Jaffo kuendelea kuwa Waziri
kama ilivyo Kwa Lukuvi, nimeona Jaffo nae bado yupo kwenye baraza. Kwangu Mimi Jaffo alifeli kwenye mazingira. Mwaka 2019 tulipitisha Sheria kuzuia mifuko ya plastiki ila kwenye hili Jaffo amefeli big time. Kuna uzi niliandika humu kumshauri Makamu wa Rais kuzunguka kwenye vibanda vya chips Dar na Dodoma aone kwa Jinsi gani mifuko ya plastiki imerudi kwenye hadi kufungia chips. Jaffo alifeli kwenye Mazingira hivyo hakustahili kurudi. Naamini Mama Samia ataendelea kuliangalia hili

4. Kabudi na Kitila
Najua Rais ana utashi wake Ila Kwa kumuondoa Prof Kitila naweza kusema kuwa hajakosea! Sikuona ubunifu wowote kwa kitila kwa alivyokuwa Biashara na hata Uwekezaji. Ni mtu wa maneno mengi tu

Kwa Kabudi nikiri huyu mzee uwezo anao Ila naona kama alikata tamaa kufanya kazi baada ya kifo cha JPM. Naona pia mama yuko sahihi. Naamini anaweza kunfikiria badae

5. Ridhiwani na Nape
Kwa hawa wote maneno yamesemwa kumgusa JK kuwa ndo sababu ya wao kuteuliwa. Kwa hawa naweza kusema sioni Tatizo kwao. Nape ni mtendaji mzuri sana. Alionekana alivyokuwa Wizara ya habari Mara ya mwisho. Ridhiwani watu wanakosea kumjudge mapema. Ni mpya kabisa kwenye Baraza. Sioni Tatizo kwake zaidi ya maneno ya kutunga ya watanzania yanayoongozwa na chuki tu. Huyu awe judged Kwa utendaji wake atakaouonesha pale Ardhi.

Mwisho kwenye Baraza la Mawaziri napenda kukiri kusikitika kutokuwepo kwa Charles Kimei- Sijui Mama anamuwazia nini Ila Kwa mafanikio ya huyu mtu akiwa crdb ninaona ni mtu muhimu sana kuwepo kwenye wa shauri wa Mama Samia kwenye cabinet

Dr Charles Kimei namfanisha na watu wenye weredi na u smart wa kupekee kama Prof Luoga, Nehemia Mchechu, Prof Chamuliro, Prof Mchome, Kanali Simbakalia ambao wana uwezo mkubwa sana wa kiakili hivyo hawana budi kuwa washauri wa Karibu wa Mamlaka.

Nataka na napenda sana Mama Samia afanikiwe. Ameanza vizuri na anakwenda vizuri. Napenda sana azidi kufanikiwa zaidi. Natumai Kwa sehemu chache nilizoshauri atazingatia humu.
Kimei hapana. Ni mkabila wa saaana
 
Back
Top Bottom