Uchambuzi wa Zitto kuhusu Barrick Gold unapotosha

Hapana baba; kama kiiengereza chake ni kigumu kwako basi tafsiri yake ni hii

Masharti yaliyowekwa na vifungu (a) mpaka (g) vya ibara ya A10 yanaweza kusamehewa na Acacia, na masharti ya vifungu (h) mpaka (i) vya ibara ya A10 yanaweza kusamehewa na Serikalia ya Tanzania.

Sasa nenda usome masharti hayo ya ibara A10 yanasemaje. Yakikushinda kuelewa niandikie tena nitakutafsiria!!

NGOJA NIWEKE KIFUNGU CHOTE CHA 10 KUANZIA (a) mpaka (g) halafu utuonyeshe ni wapi Acacia wanaweza kusamehe madai yao ya pesa

dhahabu zetu.png

Screenshot_20190722-195304.png
 
Wewe msomi mkubwa kuanza kudhani au kuanticipate kuwa Serikali hii inweza "Kusamehe" deni au "Sehemu" ya deni la Trilion "425" ili eti kujenga mahusiano mazuri ni uendawazimu!

Sisi leo hii tukikomaa tukakipwa hela zetu Trilion 425 wala hatuwahitaji hao Barick, maana kwa miaka yote ya uhai ya migodi wanayomiliki kamwe hatotapata hela zinazolingana na hizo au hata robo yake Tusijidanganye!

Kwenye Dola Bilion 190 ( Trilion 425) hakuna cha goodwill au nini, Haipaswi kuhint hata kwa kukosea kuwa serikali inaweza kusamehe deni hilo. Yaani haiingii akilini kabisaaa!

Kusamehe Trilion 425 ni sawa na Uhaini!

Mpaka leo hii ACACIA / Barrick hawalitambui deni hilo ambalo kimsingi haswa ndilo ushahidi kwa mujibu wa ripoti ya Profesa Mruma kuwa tulikuwa tunaibiwa, Sasa utaanzaje kwa mfano kujiwekea vifungu vya kuhint kuwa unaweza kulisamehe?
Kama kweli serikali imeamua kusamehe deni la $190b basi ripoti ya professor Mruma ilikuwa ni professional rubbish.
 
Richard,
Unaongelea Kitu tofauti kabisa.

Initiation ni kitu tofauti kabisa ku initial contract. Hii ya pili ni kukubali umesoma na kukubaliana na kilichoandikwa. Hii ni kuweka sahihi kwenye page mara nyingi page moja moja.

Initiation ni kitu tofauti. Ulichoandika sicho ambacho kinaongelewa hapa

Wasema initiation ni kitu tofauti lakinI hujaeleza kuonyesha hiyo tofauti

Halafu pia naona wachanganya makubaliano (agreement) na mkataba (contract)

Kinachojadiliwa hapa ni makubaliano au agreement.
 
Hayo uliyoweka hayasomeki vizuri, yako fuzzy sana, mimi nilikuwa nimeshayaweka kwenye post hii hapa.
Hukuwa na haja ya kuyarudia tena, nenda kasome post hiyo tena kwa makini sana ili ujue tunaongea nini.

Acha kupiga kona Mzee Kichuguu niliyoweka na uliyoweka ni yale yale na yanasomeka vizuri tu.
Nimesoma ya kwako na niliyoweka ni yaleyale tu

Kiufupi mambo unayodai kuwa Acacia "may" waiver hayahusiani hata kidogo na madai yao ya pesa.

Kifungu cha 10 chote hakuna kipengele hata kimoja kinachozungumzia Acacia/ Barrick kusamehe pesa.
Mambo yaliyozungumziwa hayo ni tofauti kabisa

Orherwise unaweza kutusaidia kutuonyesha exactly unakusudia kipengele gani Makhsusi katika hiyo ibara ya 10 (a) mpaka (g)?
 
Richard,
Mbona nimeonyesha tofauti? Initiation ni stage ya kwanza ya majadiliano kwenye contract. Stage ya mwisho ni award.

Ku Initials ni kuweka sahihi kwenye agreement yoyote kuonyesha umesoma kilichoandikwa na mara nyingi hata umekubaliana nacho. Hili linaweza kufanywa kwenye draft au kwenye contract yenyewe.

Kilichofanywa hapa sio initiation.

Initiation stage inahudhuriwa na wetu wengi wa pande zote mbili. Ku initials mara nyingi ni sahihi za mtu mmoja mwenye mamlaka.

Wasema initiation ni kitu tofauti lakinI hujaeleza kuonyesha hiyo tofauti

Halafu pia naona wachanganya makubaliano (agreement) na mkataba (contract)

Kinachojadiliwa hapa ni makubaliano au agreement.
 
Richard,
Mbona nimeonyesha tofauti? Initiation ni stage ya kwanza ya majadiliano kwenye contract. Stage ya mwisho ni award.

Ku Initials ni kuweka sahihi kwenye agreement yoyote kuonyesha umesoma kilichoandikwa na mara nyingi hata umekubaliana nacho. Hili linaweza kufanywa kwenye draft au kwenye contract yenyewe.

Kilichofanywa hapa sio initiation.

Nakuelewa sana mkuu, kwamba ku-initial ni "to write your initials on document to show that you have read it and approved"

Lakini hayo hayatendeki mpaka kila upande umeridhika na kilichomo kwenye hiyo agreement.
 
Kichuguu,

..Prof mwalimu wetu JF, nadhani ungelisaidia jukwaa kama ungefanya uchambuzi wako indepent from ule wa Mh.Zitto.

..hiki unachofanya ni uchambuzi wa " uchambuzi wa Mh.Zitto."

..kwa maoni yangu, hoja yako haijawa clear. Imekuwa kama " spaghetti " and it is hard to follow.

..halafu pia the way you presented it umekaribisha and have entertained ubishani badala ya majadiliano.

..I hope utatoa CONCLUSION nzuri ambayo inalingana na kiwango cha usomi wako.
 
Hayo uliyoweka hayasomeki vizuri, yako fuzzy sana, mimi nilikuwa nimeshayaweka kwenye post hii hapa.
Hukuwa na haja ya kuyarudia tena, nenda kasome post hiyo tena kwa makini sana ili ujue tunaongea nini.
Mkuu naomba nikuulize kwa rasimu hii ambayo nawe umeisoma pia government officialls wameipitia wakaisoma wakaielewa wakaweka initials zao, ingekuwa na wewe ni mwenye mamlaka ungeipitisha kama mkataba baina yetu na hao Barrick?
 
Ndiyo kwa mujibu wa kifungu A.10; ila kama serikali itaamua kusamehe sehemu ya deni hilo ili kujenga mazingira mazuri ya kibishara kwa kampun ya Acacia- msamaha ambao uko chini ya mamlaka ya serikali, basi makubaliano yatakuwa yanafuata kifungu A.11 cha rasimu hii ya makubaliano.
But it doesn't make sense, kama nina 190billion nayoweza kupata why nipoteze muda ku negotiate 300million!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mzee, soma tena makaratasi yaliyopo hapo. Serikali haikuwahi kukataa kuitambua Acacia, bali ilikuwa na mgogoro na Acacia kiasi cha kushindwa kufanya majadiliano pamoja. Soma hii hapa, na nategemea kuwa utaelewa; usipoelewa basi safari njema.

View attachment 1159348
View attachment 1159349
View attachment 1159350
View attachment 1159351
View attachment 1159352
Wallah tungekuwa na mijadala mizuri namna hii tungekuwa mbali sana mi nawapingeza wote Kichuguu na mh.@zittokabwe kwa michango yao mizuri na ya kuelimisha
 
Hii ni kwa sababu wewe unasoma kifungu hicho bila kuangalia vifungu A.10 na A.11 kuhusu position ya TRA kwenye makubaliano hayo. Vifungu hivi nimeshaviweka kwenye post zangu za nyuma kwa hiyo sitavirudia tena; vitafute tu utaviona.
Man, huna haja ya kurudia kwa ajili yangu kwa sababu hii doc mie nimeshaisoma tangia jana! Na wakati wewe hivyo vifungu unaviweka leo, watu tumeanza kuvishusha tangia jana! And FYI, Pro-CCM na Pro-JPM walianza kumshambilia Zitto tangia jana kwa kudhani jamaa kabuni tu! Ni baada ya kuanza kuwawekea vifungu, ndipo wakapiga kimya!

Badala ya kunishauri mimi nitafute hivyo vifungu, mimi nakushauri wewe uvisome vizuri na uvielewa manake unaonekana hujavielewa! Na kwa kuthibitisha hujaelewa, kuna jambo dogo sana hapo juu limeulizwa na eddy kuhusu HQ ya Barrick kuhamia Mwanza! Wewe kupitia post yako #112, ume-attach doc na kupigia mistari sehemu unazoamini zinathibitisha kwamba HQ ya Barrick inaenda Mwanza!!

Man, TMC sio Barrick! There's no way Barrick inaweza kuhamishia HQ yake Mwanza toka Toronto Canada eti kisa kuna wrong doings za Acacia! HAKUNA KITU KAMA HICHO! Acacia is just ONE COMPANY among more than 5 other companies making Barrick!!

Sasa kama kitu kama hicho umeshindwa kukielewa, I doubt ikiwa hayo maelezo mengie umeyaelewa vizuri! Kama una ushabiki fulani, iwe wa kichama au ule ambao wenyewe mnaita uzalendo, ningekushauri drop them even for while kisha pitia upya hiyo doc!!!
 
Dai Namba 5. Barrick wameruhusiwa kufungua kesi ughaibuni kinyume na Sheria

Kwa mujibu wa sheria mpya za madini za mwaka 2017 makampuni yamezuiliwa kufungua mashauri yake nje ya Tanzania. Migogoro yote inapaswa kushughulikiwa na mahakama za ndani ya nchi. Serikali ya Tanzania imekubaliana na Barrick kuwa migogoro itafanyika kwa mujibu wa kanuni za UNICITRAL na Rais wa Kituo cha usuluhishi wa migogoro cha Singapore ndio atateua wasuluhishi ambao hapatakuwa na Mtanzania.

Serikali mara zote iliambiwa kuwa mabadiliko ya sheria kuhusu ‘arbitration’ hayakuwa halisi na ni ulaghai. Serikali yenyewe imekuwa ya kwanza kuvunja sheria yake yenyewe kwa kuingia makubaliano na Barrick Gold kuwa Mahakama zetu hazitahusika na kutatua mgogoro wowote kati ya Barrick na Tanzania.


Dai hili nalo lina ukweli fulani hivi lakini ulioandikwa kwa njia ya kupotosha wasomaji. Sectiona F ya rasimu hiyo inasema hivi:

View attachment 1159435
View attachment 1159436

View attachment 1159439



Kwanza kabisa vifungu hivyo vinasema kuwa makubaliano baina ya serikali yaTanzania na Acacia yatafuata sheria za Tanzania ambalo Mheshimiwa Zitto hakuliongelea. Halafu kukiwa na mgogoro baina ya serikali na Acacia, basi watajitahidi kuumaliza kwa kukaa na kujadili namna ya kuumaliza mgogoro huo kwa njia ya mazungumzo (hili ni tatizo kidogo kwa Tanzania iliyojaa rushwa). Iwapo mazungumzo hayo hayatazaa matunda basi itabidi serikali na Acacia watafute msuluhisi wa nje. Sasa kwa vile Acacia ina wamimiliki kutoka Canada, USA na UK, ambapo interest za serikali ya Tanzania ziko kwenye mamlaka za Tanzania, basi msuluhishi huyo asitoke UK, Canada, USA au Tanzania. Hiyo ni fair kabisa, hawataki kesi ya tumbiri apelekwe nyani.

Sasa kuhakikisha kuwa kesi ya tumbili asipewe nyani, ndipo wakakubaliana kuwa arbitration iwe chini ya United Nations Commission on International Trade Law (UNCITRAL) ambacho ni chombo unbiased. Iwapo serikali ya Tanzania haingekuwa na hisa hizo 16% kwenye Acacai, ni kweli kuwa vifungu hivi vingekuwa vinakiuka shwria hiyo, lakini siyo wakati serikali yenyewe ni sehemu ya mgogoro huo.
Lakini sheria zetu si zinazuia hilo jambo?
 
Prof.
Na wewe hujui kwamba initiation na ku initial contract ni vitu viwili tofauti?

Hii ya pili ni kwamba umesoma au ume review contract na unaweka initials kuonyesha hivyo ili mtu asiweze kuingiza kitu tofauti ambacho hamjakubaliana au huja review.

Initiation ni first stage ya contract huku mwisho ni award. Lakini ku initial contract ni kuweka sahihi kuonyesha umesoma kilichoandikwa na most likely unakubaliana nacho.
Kwa kweli hapa ndugu yangu kachemsha kampinga zitto bure mwanzoni akigeuza maana initials mpaka zitto kasikitika halafu we umembana kageuka
 
Huu mjadala umetusaidia sana shukran kwa Muheza2007 na Richard kwa kuweka sawa ila Kichuguu umejitahidi ila kiukweli tumpende tumchukie Zitto hoja zake hazijajibiwa kikamilifu kwa macho yangu ya darasa la 7
 
Serikali hii ikifanya jambo la maana hulitangaza sana ila ukiona jambo limefanyika kimya kimya jua imepigwa za uso.
Kimsingi haya makubaliano ya awali ni ya hovyo na hayatakuwa na faida yoyote kwa nchi.
ACACIA hayupo tena zile kodi zetu tutamdai nani ?
Nadhani ingekuwa busara serikali yetu tukufu kuweka injuction (zuio) LA kuuzwa kwa shares za accacia mpaka mgogoro wa Kodi utatuliwe. Selikali ilipwe hizi $ 190 bill. Na acacia walipwe VAT refund ya $ 200 mil.

Baada ya hapo serikali itoe consent ya barick kununua shares za accacia
Vinginevyo kazi iliyofanywa na akina ossoro ni bure tu.
 
Richard,
Hicho ndicho kilifanyika. Hayo kwenye hiyo draft wamekubaliana. Kilichobaki labda ni kila upande kurudi kwao kuongea na wakubwa wao.

Haya majadiliano yalikuwa yanaendelea tokea tulipojulishwa mwezi wa pili. Hii draft imekuwa initialized tarehe 19 May 2019 almost miezi mitatu baadaye.
Nakuelewa sana mkuu, kwamba ku-initial ni "to write your initials on document to show that you have read it and approved"

Lakini hayo hayatendeki mpaka kila upande umeridhika na kilichomo kwenye hiyo agreement.
 
Wasema initiation ni kitu tofauti lakinI hujaeleza kuonyesha hiyo tofauti

Halafu pia naona wachanganya makubaliano (agreement) na mkataba (contract)

Kinachojadiliwa hapa ni makubaliano au agreement.
Mkataba ni comprehensive document, ambayo ndani yake kuna agreement,

Kifupi agreement ni sehemu ya document zinazounda mkataba
 
Back
Top Bottom