MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,173
Hivi karibuni Dr Benson Bana ambaye ni muhadhiri wa UD na mkuu wa REDET amekuwa kimbilio la vyombo vya habari pale wanapotaka Uchambuzi wa mambo kwa mtizamo wa kisomi.
Binafsi nimekuwa sipati msisimko na uchambuzi wa msomi huyu. Nimekuwa nikidhani kwamba anafuata mtindo ule ule wa Mukandara, kujikomba kwa wanasiasa ili aonekane (ref. Shairi la Kandoro: Paka akitaka jina hujipitisha kwa watu).
Mfano mzuri ni ule wa mahojiano ya jana baada ya ripoti iliyoitwa ya utafiti unaonyesha umaarufu wa wanasiasa nchini, Kikwete akiongoza.
Prof. Lipumba alionyesha usomi wake kwa ku-challenge ubora wa ripoti hiyo na kutaka idadi ya waliohojiwa na staitistical test zinazothibitisha kwamba kweli ushindi wa Kikwete na wote waliotajwa ktk maoni ni significant. VERY GOOOOOD!
Ajabu ni Dr Benson alipoulizwa. Yeye kwake anasema hiyo inatosha! Eti hata mtaani unaweza kuona huo ushindi. Utadhani siyo muhadhiri! Au hajawahi kufanya utafiti? Au ndo mwisho wa quality ya wahadhiri wetu?
Binafsi nimekuwa sipati msisimko na uchambuzi wa msomi huyu. Nimekuwa nikidhani kwamba anafuata mtindo ule ule wa Mukandara, kujikomba kwa wanasiasa ili aonekane (ref. Shairi la Kandoro: Paka akitaka jina hujipitisha kwa watu).
Mfano mzuri ni ule wa mahojiano ya jana baada ya ripoti iliyoitwa ya utafiti unaonyesha umaarufu wa wanasiasa nchini, Kikwete akiongoza.
Prof. Lipumba alionyesha usomi wake kwa ku-challenge ubora wa ripoti hiyo na kutaka idadi ya waliohojiwa na staitistical test zinazothibitisha kwamba kweli ushindi wa Kikwete na wote waliotajwa ktk maoni ni significant. VERY GOOOOOD!
Ajabu ni Dr Benson alipoulizwa. Yeye kwake anasema hiyo inatosha! Eti hata mtaani unaweza kuona huo ushindi. Utadhani siyo muhadhiri! Au hajawahi kufanya utafiti? Au ndo mwisho wa quality ya wahadhiri wetu?