Uchambuzi wa habari: CUF sio tu imefanya kosa, imefanya kosa kubwa kisiasa

Lipumba ametumwa kuja kuiondoa cuf kwenye ukawa ili ijitegemee, lengo la waliomtuma ni kudhoofisha ukawa ili Pia kupunguza kura za Lowasa kwenye urais 2020. Jiulizeni yeye mwenyewe ndo alisema anapumzika siasa, na wazee na mashehe walimshauri asijiuzuru akakataa, eti leo anasema wazee wale wale wamemshauri arudi ndio amekubali. Cuf ya Lipumba ilikuwa na mbunge mmoja tu bara, miaka yote ya uongozi wake. Leo cuf ya akina Mtatiro ina Wabunge 10 wa majimbo, inaongoza halmashauri kadhaa, halafu ndo anataka kujitenga na ukawa!! Ashindwe kwa jina la Yesu. Mungu amkemee. Umoja wa ukawa ni tishio sana kwa ccm. Na hakuna wa kuuvunja umoja huu wa ukawa, not even Lipumba. Lipumba anadhani cuf ni mali yake anaiweka mfukoni na kuitoa wakati wowote, na kuigeuza geuza kama samaki kikaangoni,NO!! Cuf ni chama cha watu, ni taasii, and no one is bigger than cuf itself.

Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
Mkuu nimekulewa kwa uzuri sana.
KWANZA NIANZE NA HIZI REDIO ZETU UCHWARA ZINAOENDESHWA NA MAPRESENTA DARASA LA SABA KWAMBA SI KILA MTU MAARUFU BASI ANAUWEZO WA KULISEMEA JAMBO. UPEO NA UWEZO WAO NI MDOGO SANA NA HAWANA FIKRA PEVU HATA KUCHAGUA NANI WA KUULIZA NINI ILI JAMII IELIMIKE.

NDUGU YANGU maggid UNATUANGUSHA WANA-TAMBAZANI, NENO LANGU LA HEKIMA KWAKO NI MOJA TU SIKU NYINGINE UKIPIGIWA SIMU WAAMBIE JAMANI HAPA SINA FACTS ZOTE KUHUSIANA NA JAMBO HILI ILA PINDI NITAKAPOZIPATA NA KUFANYA UCHAMBUZI YAKINIFU NITAWAPIGIA NIWAPE MTAZAMO WANGU.

KUKAA KIMYA JAPO MOYO UNAMVUTO NA UPANDE WAKE NI HEKIMA PIA. UKIACHA KICHWA KIENDESHWE NA MAPENZI YA MOYO AU NA TUMBO LA NJAA UNAJIHARIBIA NDUGU YANGU. NAJUA ELIMU KUBWA NA HEKIMA HUNA ILA KILE KILE KIDOGO ULICHOKIPATA PALE TAMBAZA KITUNZE ILI KIKUTUNZIE HESHIMA YAKO NDOGO ULIYONAYO KWA JAMII NA KWA FAMILIA YAKO.

NAWASIKITIKIA SANA WATOTO WAKO, KAMA NINGEKUWA NA BABA KAMA WEWE NINGEJISIKIA AIBU SANA IKIWA KAMA ANGEKUWA ANATOA MATAMKO KAMA HAYA. UNAZIDI KUDHIHIRISHA KWAMBA SI KILA SIKU UMRI UNAKUJA HEKIMA KUNA NYAKATI UMRI UNAKUJA PEKE YAKE.

MTU AMEJI HUDHURU KWA MAANDISHI (BLACK AND WHITE), TENA RASMI TOKA TAREHE 05/08/2015, MTU MZIMA KAMA YULE LEO HII UNAKUJA KUONGEA UPUUZI KAMA HUU. UNAWAFUNDISHA NINI WATOTO WAKO AU JAMII INAYOKUZUNGUKA. SIKUTEGEMEA UNGEONGEA UJINGA KAMA HUU MAGGID UMENISIKITISHA SANA NA UMEWAANGUSHA WANA-TAMBAZANI. SIKUTEGEMEA KAMA UMEFIKIA MJINGA WA KIASI HIKI MAGGID.

NIKIKUSIKIA SIKU NYINGINE UNATAJA TAMBAZA TUTAKUKANA SABABU TAMBAZA (TAZAMA MBELE ZAIDI) HAITOI WATU WAJINGA WENYE AKILI ZINAZO ENDESHWA NA NJAA ZA TUMBO AU MAPENZI YA MOYO.

GROW-UP MAGGID AND SET AN EXAMPLE OF EXCELLENCE TO YOUR KIDS,

"The first is setting an example of excellence for our children — because if we want to set high expectations for them, we’ve got to set high expectations for ourselves." Barack Obama




 
Ndugu zangu,

Kuna mtangazaji wa redio moja ya Arusha amenipigia simu mchana huu kutaka maoni yangu juu ya CUF kumfuta uanachama Profesa Lipumba.

Nikamwambia, kuwa kwa mtazamo wangu, CUF sio tu imefanya kosa, bali imefanya kosa kubwa la kisiasa.

Siasa ni kama mchezo wa mpira, timu moja inaposhinda ni kwa sababu nyingine kuna kosa imefanya. Na hiyo nyingine ikifanya makosa makubwa ya kiufundi, huwa ni tatizo zaidi.

Inasikitisha, kwamba CUF, chama kikubwa na muhimu kwa kukua kwa demokrasia yetu kinafanya maamuzi ambayo yana gharama kubwa ya kisiasa kwa chama hicho.

CUF bado ilikuwa na nafasi ya kutanguliza busara na hekima na kuyapa nafasi mazungumzo kwa kumshirikisha Profesa. Na kama mazungumzo ya usuluhishi, na hapa ni baina ya Maalim Seif na Profesa Lipumba, yangeshindwa, bado, CUF ingeonyesha ukomavu kwa kumpa Profesa nafasi kwenye mkutano mkuu, ajieleze na mkutano mkuu uamue hatma yake.

Na kuna tatizo gani kwa CUF kuwa na Profesa kama mwanachama? Kikundi kidogo cha watu kwenye Chama kinapojenga mazoea ya kuwafukuza wanachama wake na hususan viongozi kwa kutofautiana mitazamo, basi, ni tatizo kubwa.

CUF wamekutana Zanzibar na kumfukuza Profesa. Kwenye karatasi inaonekana kama ni jambo jepesi. Lakini, kwa Profesa huyu huyu , Lipumba, kutangaza hadharani kumfukuza uanachama, kimsingi, CUF wakubali kuwa wachache miongoni mwao wamekiandalia chama chao mazingira ya kuingia kwenye mgogoro mkubwa na hata mgawanyiko.

Demokrasia ya vyama vingi tunayojitahidi kuijenga inaihitaji CUF kama chama imara, na cha pili kwa ukubwa baada ya CCM, Bara na Visiwani.

Bila shaka, CUF haijaishiwa watu wenye busara na hekima, wenye ujasiri wa kuwaambia wenye kukiendesha chama hicho kwa kasi ya kutisha wakiwa kwenye mteremko mkali, kuwa " Mnakosea".

Maggid.

Sijaona hoja bado...Ngoja nirudie kusoma
 
Cuf wanaonekana kama hawajiongozi wenyewe kwa sasa naona kuna remot kutoka cdm inawaongoza sio bule, maalim naona anazeeka sasa busara zinamtoka amekurupuka kumfuta uanachama lipumba kwakweli
Kwani wakati akitoka cuf kulikuwa na remote gan nyuma yake ambayo kwa sasa ndo ionekane,hii kwa mim ni dharau kwa viongoz wa cuf walioweza kuivusha cuf kipindi kigumu ambapo lipumba aliondoka!!!
 
Ndugu zangu,

Kuna mtangazaji wa redio moja ya Arusha amenipigia simu mchana huu kutaka maoni yangu juu ya CUF kumfuta uanachama Profesa Lipumba.

Nikamwambia, kuwa kwa mtazamo wangu, CUF sio tu imefanya kosa, bali imefanya kosa kubwa la kisiasa.

Siasa ni kama mchezo wa mpira, timu moja inaposhinda ni kwa sababu nyingine kuna kosa imefanya. Na hiyo nyingine ikifanya makosa makubwa ya kiufundi, huwa ni tatizo zaidi.

Inasikitisha, kwamba CUF, chama kikubwa na muhimu kwa kukua kwa demokrasia yetu kinafanya maamuzi ambayo yana gharama kubwa ya kisiasa kwa chama hicho.

CUF bado ilikuwa na nafasi ya kutanguliza busara na hekima na kuyapa nafasi mazungumzo kwa kumshirikisha Profesa. Na kama mazungumzo ya usuluhishi, na hapa ni baina ya Maalim Seif na Profesa Lipumba, yangeshindwa, bado, CUF ingeonyesha ukomavu kwa kumpa Profesa nafasi kwenye mkutano mkuu, ajieleze na mkutano mkuu uamue hatma yake.

Na kuna tatizo gani kwa CUF kuwa na Profesa kama mwanachama? Kikundi kidogo cha watu kwenye Chama kinapojenga mazoea ya kuwafukuza wanachama wake na hususan viongozi kwa kutofautiana mitazamo, basi, ni tatizo kubwa.

CUF wamekutana Zanzibar na kumfukuza Profesa. Kwenye karatasi inaonekana kama ni jambo jepesi. Lakini, kwa Profesa huyu huyu , Lipumba, kutangaza hadharani kumfukuza uanachama, kimsingi, CUF wakubali kuwa wachache miongoni mwao wamekiandalia chama chao mazingira ya kuingia kwenye mgogoro mkubwa na hata mgawanyiko.

Demokrasia ya vyama vingi tunayojitahidi kuijenga inaihitaji CUF kama chama imara, na cha pili kwa ukubwa baada ya CCM, Bara na Visiwani.

Bila shaka, CUF haijaishiwa watu wenye busara na hekima, wenye ujasiri wa kuwaambia wenye kukiendesha chama hicho kwa kasi ya kutisha wakiwa kwenye mteremko mkali, kuwa " Mnakosea".

Maggid.
Siyo kwa Prof Lipumba (He does not keep his words as a public figure) Sanasana katoa somo kubwa kwa wale wasaliti
 
Ndugu zangu,

Kuna mtangazaji wa redio moja ya Arusha amenipigia simu mchana huu kutaka maoni yangu juu ya CUF kumfuta uanachama Profesa Lipumba.

Nikamwambia, kuwa kwa mtazamo wangu, CUF sio tu imefanya kosa, bali imefanya kosa kubwa la kisiasa.

Siasa ni kama mchezo wa mpira, timu moja inaposhinda ni kwa sababu nyingine kuna kosa imefanya. Na hiyo nyingine ikifanya makosa makubwa ya kiufundi, huwa ni tatizo zaidi.

Inasikitisha, kwamba CUF, chama kikubwa na muhimu kwa kukua kwa demokrasia yetu kinafanya maamuzi ambayo yana gharama kubwa ya kisiasa kwa chama hicho.

CUF bado ilikuwa na nafasi ya kutanguliza busara na hekima na kuyapa nafasi mazungumzo kwa kumshirikisha Profesa. Na kama mazungumzo ya usuluhishi, na hapa ni baina ya Maalim Seif na Profesa Lipumba, yangeshindwa, bado, CUF ingeonyesha ukomavu kwa kumpa Profesa nafasi kwenye mkutano mkuu, ajieleze na mkutano mkuu uamue hatma yake.

Na kuna tatizo gani kwa CUF kuwa na Profesa kama mwanachama? Kikundi kidogo cha watu kwenye Chama kinapojenga mazoea ya kuwafukuza wanachama wake na hususan viongozi kwa kutofautiana mitazamo, basi, ni tatizo kubwa.

CUF wamekutana Zanzibar na kumfukuza Profesa. Kwenye karatasi inaonekana kama ni jambo jepesi. Lakini, kwa Profesa huyu huyu , Lipumba, kutangaza hadharani kumfukuza uanachama, kimsingi, CUF wakubali kuwa wachache miongoni mwao wamekiandalia chama chao mazingira ya kuingia kwenye mgogoro mkubwa na hata mgawanyiko.

Demokrasia ya vyama vingi tunayojitahidi kuijenga inaihitaji CUF kama chama imara, na cha pili kwa ukubwa baada ya CCM, Bara na Visiwani.

Bila shaka, CUF haijaishiwa watu wenye busara na hekima, wenye ujasiri wa kuwaambia wenye kukiendesha chama hicho kwa kasi ya kutisha wakiwa kwenye mteremko mkali, kuwa " Mnakosea".

Maggid.
naona wapo bize kumtetea huyo seif.
sikiliza/angalia hapa anavyokiri usaliti wake na hata kuzomewa na wana-CUF



na kisha sikiliza/angalia Prof. anavyoelezea usaliti wa huyo jamaa yao.

 
Ss hayo ni mtu aliyekupigia cm ninaimani ulimjibu, kilichokufanya maongezi yenu utulee humu ni nn! Huo ujumbe unaosambaza ni propaganda zako hv na akili yako timamu mtu kajihudhuru mwenyewe baada ya mwaka anarudi kibaya zaidi wakati wa kipindi kigumu cha uchaguzi! Hapana aise japo mm si mwanachama wa cuf lakini kwa hili hapana! Nawapongeza sana cuf kwa uvumilivu na kukubali matokeo kwa kukimbiwa na mwenyekiti wao kwani walishajitahidi kumshawishi cku ya kwanza ikawa kama amekubaliana kesho yake kalianzisha Tena,leo tena unawaletea tena hadithi ile ile, wana cuf huyo hatakiwi tena!
 
Lipumba anapoteza muda tu hii vita hawezi kushinda. Sana sana anajaribu kufa na CUF ili akiondoka asiache chama nyuma!!

Tulimuona Mrema na Marando walivyojaribu na NCCR lakini siku ya siku wao ndiyo walioondoka!!
Hivi NCCR wapo
 
Yaani Bwana yule (Lipumba)ameifanya cuf kama mali yake kwamba anaifanya atakavyo wakati wowote. Anaiweka mfukoni na kuitoa at any time, anaigeuza geuza kama samaki anavyokaangwa kikaangoni. Kwa nini ajirudishe madarakani bila kamati kuu kuridhia? na anajua tayari kuna uongozi uliochaguliwa baada ya yeye kujiudhuru, sasa inawezekana vipi kuwa na uongozi juu ya uongozi mwingine? Ni kama amechanganyikiwa fulani hivi. Hafiki mbali lipumba ndio kifo chake kisiasa kimewadia.

Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom