WAna JF
Tuna kumbukumbu wakati Lema amekataa kudhaminiwa akaingia mahabusu, karibia wafungwa na mahabusu wote walitaka kujiunga na CDM na hadi mkuu wa polisi mkoa wa Arusha RPC alifika gerezani kuongea na Lema ili atoke maana gereza lilikuwa linageuka uwanja wa siasa.
Sasa wamemvua Ubunge na sasa kila anapopita, wana-CCM wanarudisha kadi na kujiunga na CDM kama hawana akili nzuri. Angalia Geita, Sengerema, Mwanza, Arusha n.k.
Pendekezo: ili kuiokoa CCM kwa muda, Lema atafutwe mahali popote alipo arudishiwe Ubunge ili angalau awe bungeni au kwenye kamati. La sivyo CCM bye bye
Watajuta kwanini wamempa rikizo maana kwangu hiyo ni rikizo,kufanya siasg si bungeni tu tena bungeni wanabanwa na kanuni lakin huku kitaa ni ful kujiachia naomba rikizo yake isiishe maana napata somo zaidi ya kuingia lecture.