samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Juzi jumapili wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) walifanya uchaguzi wa serikali ya wanafunzi. Nimepata taarifa kwamba uchaguzi huo ulikubwa na vitimbi vya hapa na pale ambapo wanafunzi wa chuo hicho cho moyo mmoja wamemchagua mwanadada dobora kuwa rais wa chuo kizima pamoja na makamu wake ambaye pia ni binti. Naomba dondoo zaid kutoka kwa wale waliofuatilia uchaguzi huo kwa ukaribu.