mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,150
Chama kilichokuwa kinaongoza dola ni chama cha DPP ambacho ndicho kiliunda serikali. Joyce Banda alikuwa anaongoza serikali ya chama cha DPP
Ila ukumbuke CCM ya Malawi ilisharestishwa in peace zamani sana! Au?