Deo Meck Mbagi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 360
- 525
Ana wivu tu, alitaka awe na sura ngumu kama ya dadake ndio aone kama ana weledi???Hivi mkuu wangu akina dr Magembe hujawaona? au hao hawajapitishwa na ccm? Kama wewe ungekua mbobezi katika ujasusi wa kiuchumi kiasi hicho chama chako kisingepitisha watu wawili tu kugombea. Mkuu nakubali sana uchambuzi wako lakini katika hili la kudharau watu kwa kuangalia sura sikubaliani na wewe.