Wana Jf, mimi nipo Arumeru mashariki najaribu kutembelea baadhi ya maeneo kuangalia upigaji kura unaendeleaje. Hapa nipo eneo naambiwa linaitwa Nkwaranga. Upigani kura unaendeleo vizuri. Naomba waliopo maeneo mengine watujuze tuwe live hadi matokeo yatangazwe.