Tarehe mosi april wananchi wa ARUMERU watapiga kura kumchagua mbunge wao ukiangalia tarehe hiyo ni siku ya wajinga duniani je wanaarumeru watakubali kuwa wajinga kutokana na siku hiyo ili kuchagua wale ambao hawawapi mtamuini kila siku?
Arumeru si wajinga, watakichagua CHADEMA.