Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 12,998
- 6,659
Na wale mliowaua Arusha kwa bomu yatawatokea puani muda si mrefu utapelekwa apolo kama baba yako mwandosyaKuna watu wameulizza sana juu ya matokeo ya uchaguzi Arusha, but jibu la harakaharaka katika kila uchaguzi kuna kushinda na kushindwa, na mshindani wa kweli lazima ajiandae kwa yote maana asiyekubali kushindwa si mshindani.(kama mabo yote yamekwenda sawa).