Chaguzi uliovurugika jana saa saba mchana leo pia utavurugika tena kwa vile tume ya uchaguzi imeondoa jina moja bila kuuarifu umma .pia kituko kitaonekana pale ambapo kijana mmoja bashe atakapo pigwa chini na mdada pindi uchaguzi ukifanyika jana kijana huyu alitoka social akaja education kuendea na kampeni za siri huku wapambe wake wakishidwa kunuaa wanaharakati wa ngokisi kijana mmoja alisema hivi kumpa bashe uongozi ni kujiuza kwa rostam pia wameshidwa kufanikiwa kutenda haki kwa kumtoa aliye ongoza kwa marks na kuwateu bashe ,regina, mwasige ambaye wamemtoa wakisema hana vigezo