Hayo ndiyo matatizo yako! Kuna kupiga kampeni ambapo ni tofauti na kupiga kura ambayo ni tofauti na kumtangaza mshindi. Sijawaji kkuona jimbo lina wapigakura 500.Kilichotenganisha binadamu na wanyama wengine kama mbwa au nguruwe ni utashi na aibu , ili uonekane binadamu lazima vitu hivi uwe navyo , hivi waliopiga kura wakiwa 500 , mgombea anawezaje kupata kura elfu 60 ?