Bukutonaga
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 246
- 46
Aksante mkuu ila hawa ITV siyo wakutegemea sana wanabadilika kulingana na ukali wa jua! Mbona kampeni za CDM walikuwa hawaonyeshi wanatoa kiduchu tu wana tafuta wapi Magamba hawa ni wapuuzi wakati mwingine wakiona uchakachuaji unahitajika mtaona wata-stop kabisa!