Maöni yangu tusubiri jumanne tutajua
Wananchi wa Kenya ndo watakaoamua...siyo kupiga blah blah humu
Yap nimekupata mkuu!
kibaki ndio rais .
Imebaki siku moja tu ya kesho wananchi wa kenya wafanye uchaguzi wa kumpata rais wao mpya. Swali langu kwa wana jf ni hili, nani atashinda na kuwa rais mpya wa kenya kati ya wagombea wote waliopo?. Mwaga maoni yako sasa!.
RAILA Atashinda
Winner is Raila.
Mkapa au Mwinyi ndo watashinda.kibaki ndio rais .