Kirode
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 3,566
- 82
Nahisi umekosea jina lako.. we ni zombe sio swala la kuhamia znz we hamia kuzimu kabisa pepo.
CHADEMA ikishinda Igunga nahamia Zanzibar.
CHADEMA ikishinda Igunga nahamia Zanzibar.
<br />huh..?go to hell dr uchwara
Mkuu atafikiriaje?.....kazi ya makalio si kufikiri, kinachotoka makalioni unakijua ati, msamehe bure!!
Kweli huyo ni wakusamehe bure tu!mana ubongo wake umejaa kinyesi sasa hata fikiria nini zaidi ya choo
<br /><a href="http://www.mzalendo.net/habari/habari/attachment/img_1053" target="_blank"><img src="http://www.mzalendo.net/wp-content/uploads/2011/09/IMG_1053-300x225.jpg" border="0" alt="" /></a> Baadhi Wana Igunga waliojitokeza kumpokea na kumsikiliza Maalim Seif <br />
<br />
<br />
<br />
Ziara hiyo inaambatana na azma ya kukutana na Watendaji wa Chama katika Wilaya hiyo na pia kujumuika siku ya ufungaji wa Kampeni za kugombea Ubunge wa Jimbo la Igunga, nafasi iliyoachwa wazi na Bw. Rostam Azziz.
<br /><img src="https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=36636&stc=1" attachmentid="36636" alt="" id="vbattach_36636" class="previewthumb" />sijui anawaza nini maskini ya mungu
<br />
<br />
Lol.anawaza hvi' hivi urais ntakuja kuupata kweli? Au ndo nsahau kabisa? Ila nimewatikisa sana ccm japokuwa wamekuwa wakiniibia kura' teh
Lakini yeye Mwenyewe aliishasema hayuko tayari kuwa rais kwa kumwaga damu.Ndiye rais wetu 2015 piga ua.
mkuu tena udini umefikaje humu. Hebu changia mada husika acha udini humu. ukitaka huo udini yatakutokea puani.<br />
<br />
wadau mimi naomba kujulishwa.Huo mkusanyiko wa wapemba ni wa kidini au kisiasa? Samahani kama nitamkwaza mtu.
hahahaha dah! Unaambiwa hiyo picha ya huku Igunga sio Pemba.wadau mimi naomba kujulishwa.Huo mkusanyiko wa wapemba ni wa kidini au kisiasa? Samahani kama nitamkwaza mtu.