Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,598
- 5,788
<br />Habari hii imekaa kizushi! Kama umetumwa shindwa kwa jina la Mungu!
<br />
<br />Habari hii imekaa kizushi! Kama umetumwa shindwa kwa jina la Mungu!
Chuki, inawezekana ulisoma Igurubi zamani, enzi ya chama kimoja, hali ilikuwa hivyo kweli, lakini hebu niambie kata ya jirani yako ya Kinungu diwani wake ni wa chama gani? Kama sio Mh Adrian wa CHADEMA! Sema Kama sio kweli kuwa katika kata hiyo inataka uwe na moyo wa ujasiri kuvaa magwanda ya kijani. Kielelezo kizuri cha wilaya ni Kata ya makao makuu ya wilaya ambayo ni kata ya Igunga, hebu sema kweli, pamoja na nguvu zote za kifedha alizokuwa nazo Rostam, alieshinda udiwani kata hiyo ya Igunga ni nani? Kama sie Mh Vincent wa CHADEMA ambae ni seremala tu anaeshi Banda la uani baada ya kuchomewa nyumba yake? Sie kata ya Mwamashimba mgombea udiwani wa CDM alikubalika sana lakini akachakachuliwa kwa fedha za Rostam, wananchi tukakosa haki ya kuamua. Msijidanganye pale Igurubi kwa vijidhahabu vya Mwagala, Dr Kafumu pale keshachakachua viwanja vyote pale kwa wakuja, wana Igurubi wanasubiri kumpa Salam zake kwenye sanduku la kura! Kama hatapitishwa kiaina. Au ni yale maji ya chumvi ya tanki ndo yanakupagawisha? Wenzio hawayanywi wanaenda kuchimba yale ya visima vifupi kule chini kwenye mto uliokauka! Nenda kaangalie Igurubi hivi leo ukaone njaa ilivyopiga, dada zetu wanavyojiuza kwa bei poa kwa wachimbaji ili wapate hela ya kula, dah, pole sana chuki!
CDM naona maji yameshawafika shingoni mnaanza kutafuta sababu!
Poleni sana..VIVA CCM
Mie nimesoma Igurubi Secondary.Mkuu wetu wa shule anaitwa Mwl.Masele
Sisi ndie tunayeijua igunga,
NAWAKUMBUSHA.
ukienda maeneo ya Igurubi,Itunduru,Mwamashimba,Mwanzugi,Mwisi,Igunga na Nanga nimetaja kidogo...
huko kote ni CCM tupu! hawajawahi kuchagua chama cha upinzani tangu wajumbe wa vijiji hadi vitongoji.Huko wao ni Chama TAWALA tu.
kwa mantiki hii, wanaodhani kuwa Chama Cha Map.. kina wakati mgumu kushinda huko wafanye utafiti wa kutosha tusijikute tunaapa bure tukamkosea Muumba!
na hayo ndiyo maeneo ambayo yanamwaga kura nyingi CCM.(siwapambi natoa uhalisia)
ili vyama vingine vishinde huko kazi ya ziada ya kunadi sera inakiwa ifanyike, la sivyo mtajikuta mnaishia kwenye ushabiki siku ziende.
KAZI IPO IGUNGA, NAFASI YA CCM BADO NI KUBWA! YOWE SIO KURA FINALI TAREHE 02.OCT.
Mie nimesoma Igurubi Secondary.Mkuu wetu wa shule anaitwa Mwl.Masele
Sisi ndie tunayeijua igunga,
NAWAKUMBUSHA.
ukienda maeneo ya Igurubi,Itunduru,Mwamashimba,Mwanzugi,Mwisi,Igunga na Nanga nimetaja kidogo...
huko kote ni CCM tupu! hawajawahi kuchagua chama cha upinzani tangu wajumbe wa vijiji hadi vitongoji.Huko wao ni Chama TAWALA tu.
kwa mantiki hii, wanaodhani kuwa Chama Cha Map.. kina wakati mgumu kushinda huko wafanye utafiti wa kutosha tusijikute tunaapa bure tukamkosea Muumba!
na hayo ndiyo maeneo ambayo yanamwaga kura nyingi CCM.(siwapambi natoa uhalisia)
ili vyama vingine vishinde huko kazi ya ziada ya kunadi sera inakiwa ifanyike, la sivyo mtajikuta mnaishia kwenye ushabiki siku ziende.
KAZI IPO IGUNGA, NAFASI YA CCM BADO NI KUBWA! YOWE SIO KURA FINALI TAREHE 02.OCT.
<br /><font color="#0000cd"><span style="font-family: courier new"><font size="4">Naanza kwa kuomba radhi kama nitafanya some technical mistakes katika posting yangu kwa vile ndio naanza kujiunga na forum hii, japo nimekuwa msomaji wake kwa muda. Nimejiunga na kuandika haya kwa uchungu ninaoupata na kisha sina pa kuyapeleka niliyoyapata hapa Igunga kisha nikabaki salama. <br />
<br />
Mgombea wa CHADEMA kwa nafasi ya ubunge hapa Igunga Mwl Kashindye alikuwa mtumishi wa serikali akianzia ngazi ya chini kabisa ya Mwalimu wa UPE vijijini, alijiendeleza kielimu hadi kuhitimu chuo kikuu na kufikia kuwa Mkaguzi wa Elimu, vijiji vyote vya Igunga na watu wake na matatizo Yao anayajua vizuri sana, shida za waalimu anazijua vilivyo. <br />
<br />
CCM ilikuwa imeshaandaa waalimu kuwa wasimamizi wa vituo, ili kuhakikisha kuwa CCM inashinda kwa Hali yoyote ile iwayo, lakini sasa kwa kuwa mgombea wa CDM ni Mwalimu mwenzao, wakati mgombea wa CCM, Dr Kafumu ni Commissioner wa madini katika wizara ya nishati na madini, wizara inayoongoza kwa utata hapa nchini, na yeye mwenyewe akiwa ndie mtaalam wa kutoa mikataba ya madini nchini, imeonekana uwezekano wa yeye Dr Kafumu kushinda kihalali itakuwa ni vigumu, inabidi "Mbinu Mbadala" zitumike. <br />
<br />
Awali CCM ilitaka kuwabadilisha waalimu hao wa Igunga wasikae vituoni ili waletwe wengine kutoka Singida, lakini ikaonekana hawa wa hapa wanaweza kufanya hasira na wakampigia mwenzao kampeni ya kufa mtu. <br />
<br />
Wakiachwa waendelee uchakachuaji vituoni utakuwa mgumu. Kamati ya siasa ya wilaya ya Igunga, ikishirikisha viongozi wa kimkoa na Taifa, akiwemo Mhazini Mkuu Taifa Ndg Mwigulu, iliketi na kuamua kwa kauli moja kumuita Mkurugenzi (DED) Ndg Magayane kuwa awasiliane na wahusika wa Wizara ya elimu ili profile nzima ya Mwl Kashindye ipatikane ili ichunguzwe itafutiwe kasoro, na kama hazipo basi lazima ziwe fabricated ili zitumike kumuengua. <br />
<br />
Izingatiwe kuwa DED Magayane ana tuhuma nzito ya ufisadi katika ujenzi wa barabara fupi ya lami iendayo kwenye Halmashauri ya wilaya, ilikuwa afukuzwe kazi kabla ya uchaguzi huu, lakini amerejeshwa kazini kwa masharti kuwa lazima CCM ishinde, jimbo likipotea na yeye apotee. <br />
<br />
Vipengele vya kumuengua vimeshapatikana inasubiriwa siku ifike DED Magayane afanye vitu vyake, ni siri kubwa, lakini kwa kuwa miongoni mwao kuna wanaochukia dhuluma, basi vimeshavujishwa na tutavipeleka kunako husika ili kuvidiffuse.<br />
<br />
Aidha, Mkuu wa polisi wilaya ya Igunga ambaye alikataa kuzuia operation Sangara ya CHADEMA ilipoanza wilayani Igunga, licha ya kupelekewa barua kutoka CCM ya kumtaka afanye hivyo, keshatimuliwa na ameletwa OCD mpya spesheli kuikabili CHADEMA. <br />
<br />
Hata aliekuwa Manager wa NMB Igunga keshahamishwa kisa eti ni Mchagga na anashabikia CHADEMA kwa hiyo imehofiwa kuwa atafanya kampeni kwa vile ana influence kubwa kwa wateja wake ambao ni wengi sana hapa Igunga. <br />
<br />
Ni kweli kuwa Mwigulu anamwaga fedha kifashisti kwa kila taasisi na makundi ya jamii, waziwazi, lakini mitego ikitegwa na TAKUKURU wakiarifiwa waje wamshike live, TAKUKURU haohao wanamjulisha kwa simu kuwa wanakuja, anawaambia wasubiri kwanza amalize kugawa, akishamaliza na kuondoka, ndio anawapigia waende wakavamie hewa. <br />
<br />
Ndugu zangu wanaJF, ni mengi mno yatakayoikwamisha CHADEMA hapa Igunga, hata sijui niwasilishe lipi na niache lipi, maskini CHADEMA, pamoja na kupendwa na wengi sijui itashinda vipi dhidi ya dhulma hizi, au labda tupige sana kelele za mwiziii kwa pamoja mpaka ardhi itikisike! <br />
<br />
Naishi kijiji cha Imalanguzu, Kata ya Mwamashimba, Tarafa ya Igurubi, Wilaya ya Igunga. Niulizeni swali lolote kuhusiana na hali ilivyo nitajibu nitakayoweza bila ya woga. <br />
<br />
Naomba Kuwasilisha!</font></span></font>
Karibu jamvini. Wewe zilete tu hapa jamvini, habari ikifika hapa ujue haipiti bila kufanyiwa kazi, ili mradi iwe ni ya kweli.
Jimbo ni la cdm magamba ni kama wanatapatapa[/
Nakushukuru kwa kuunga mkono, nami kwa moyo huo huo naungana na wewe kuwa CHADEMA iwe makini sana na hila za CCM. Wakati mwingine si CCM bali wakatumiwa CUF kama jimbo fulani ktk uchaguzi mdogo kama huu, CUF ilimwekea pingamizi mgombea wa CHADEMA na jimbo hilo likaenda CCM. Kama sikosei ni kati ya Mwanza, Shinyanga, Tabora nakumbuka tu kuwa aliyeshinda ni mbunge m/ke. Kwa hiyo tahadhari ni kitu kizuri zaidi, kama CHADEMA mpaka sasa bado hamjajifunza hila za wenzenu mtajaza wenyewe.
Mtoa mada ametoa taarifa za kiintelejensia hata kama si sikweli zitatusaidia kuwa makini zaidi. Tukumbuke kuwa kuku mwoga ana vifaranga vingi. Take CARE. Hatutaki tukose jimbo hili kwa uzembe hata kidogo kwa hiyo kila mtu atimize wajibu wake.
Ndugu Mwita kazi unayo hapo Igunga angalia Mwl mwenzako asije akashiindwa kwa uzembe. Simamia kiukamilifu zoezi hili mpaka kieleweke.
Igurubi ni sekondari ya Kata?Mie nimesoma Igurubi Secondary.Mkuu wetu wa shule anaitwa Mwl.Masele
Sisi ndie tunayeijua igunga,
NAWAKUMBUSHA.
ukienda maeneo ya Igurubi,Itunduru,Mwamashimba,Mwanzugi,Mwisi,Igunga na Nanga nimetaja kidogo...
huko kote ni CCM tupu! hawajawahi kuchagua chama cha upinzani tangu wajumbe wa vijiji hadi vitongoji.Huko wao ni Chama TAWALA tu.
kwa mantiki hii, wanaodhani kuwa Chama Cha Map.. kina wakati mgumu kushinda huko wafanye utafiti wa kutosha tusijikute tunaapa bure tukamkosea Muumba!
na hayo ndiyo maeneo ambayo yanamwaga kura nyingi CCM.(siwapambi natoa uhalisia)
ili vyama vingine vishinde huko kazi ya ziada ya kunadi sera inakiwa ifanyike, la sivyo mtajikuta mnaishia kwenye ushabiki siku ziende.
KAZI IPO IGUNGA, NAFASI YA CCM BADO NI KUBWA! YOWE SIO KURA FINALI TAREHE 02.OCT.
This is purely defensive mechanism na uongo uliokomaa. By da way, nadhani mgombea wa CDM anaogopa kivuli cha historia ya matendo yake. Kwani enzi zake alikula sana hela za wasukuma na wanyantuzu wa Igunga waliokuwa wakiachisha shule mabinti zao kwa lengo la kuwaozesha. Sasa kwa hofu ya kujulikana kwa maovu yake, ndo maana wanaleta hoja za visingizio.
ChiefmTz, kinachofanya useme hoja ni vya visingizio nini? Kwanini usione kuwa defensive mechanism ni ile ya kumuondoa OCD wa Igunga kwenda kummpumzisha Tabora kabla muda wake wa kustaafu?This is purely defensive mechanism na uongo uliokomaa. By da way, nadhani mgombea wa CDM anaogopa kivuli cha historia ya matendo yake. Kwani enzi zake alikula sana hela za wasukuma na wanyantuzu wa Igunga waliokuwa wakiachisha shule mabinti zao kwa lengo la kuwaozesha. Sasa kwa hofu ya kujulikana kwa maovu yake, ndo maana wanaleta hoja za visingizio.