Cham Bee
JF-Expert Member
- Feb 10, 2015
- 3,516
- 1,854
hilo vumbi la majini ni kiboko.Mkuu Kapama ndani ya miezi 11 hujaona chochote hata ndege mbili hujasikia Elimu bure nidhamu kwa watumishi.
Hata Musa jangwani kweli alidhihakiwa
JPM alisema mnafiki atasema unatimua vumbi hata kama ni majini