ubuntu &linux

Rural Swagga

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
1,579
1,081
Good Morning,

Shaloom wana wa JF,Nilikuwa natamani sana kuInstall Ubuntu au Linux Mint kwenye Laptop yangu sasa tatizo Laptop hiyohiyo ndio nayoitumia kwa kazi za kiofisi,Na System ninayotumia iko Compatible na Internet Explorer pekee.Sasa naweza kuIntall Internet Explorer baada ya kuweka any of those 2 OS's.

Reggard,
Rural Swagga.
 
Good Morning,

Shaloom wana wa JF,Nilikuwa natamani sana kuInstall Ubuntu au Linux Mint kwenye Laptop yangu sasa tatizo Laptop hiyohiyo ndio nayoitumia kwa kazi za kiofisi,Na System ninayotumia iko Compatible na Internet Explorer pekee.Sasa naweza kuIntall Internet Explorer baada ya kuweka any of those 2 OS's.

Reggard,
Rural Swagga.

Habari?
Naomba kufahamu kuhusu hiyo laptop yako, kama ina Drives zaidi ya moja.. Inawezekana kabisa kuweka OS nyingine katika laptop yako.
Kama una partition zaidi ya moja, ondoa data zako katika partition (Drive) ya ziada, ambayo ndo uta-install ubuntu yako (Hope u gonna install ubuntu 10.0.4)..

Kama una partition moja tu, haitawezekana unless uweke Virtual PC.. Kwa bahati nzuri I did the same thing to my System, I have installed Ubuntu 10.0.4 and window 7 in the same hard disk...
 
Habari?
Naomba kufahamu kuhusu hiyo laptop yako, kama ina Drives zaidi ya moja.. Inawezekana kabisa kuweka OS nyingine katika laptop yako.
Kama una partition zaidi ya moja, ondoa data zako katika partition (Drive) ya ziada, ambayo ndo uta-install ubuntu yako (Hope u gonna install ubuntu 10.0.4)..

Kama una partition moja tu, haitawezekana unless uweke Virtual PC.. Kwa bahati nzuri I did the same thing to my System, I have installed Ubuntu 10.0.4 and window 7 in the same hard disk...

Salama ndugu,Yap nina Partition zaidi ya moja ila nisingependa kuweka 2 OS's,Nilikuwa nahitaji msaada kwamba nitawezaje kuInstall Internet Explorer??Kwa sababu nataka niweke Ubuntu au Linux pekee
 
Salama ndugu,Yap nina Partition zaidi ya moja ila nisingependa kuweka 2 OS's,Nilikuwa nahitaji msaada kwamba nitawezaje kuInstall Internet Explorer??Kwa sababu nataka niweke Ubuntu au Linux pekee

Ok.. Nimekupata.. Binafsi sijawahi ku-install Internet explorer kwenye Ubuntu.. Ubuntu huwa inakuja na default web browser inaitwa Mozilla.. Kwa hiyo huna haja ya kutumia Internet explorer, na kama una ihtaji sana kuna tool moja ina Synaptic Package manager katika Ubuntu unaweza ukaitumia ku-install application yeyote.. Ila kwa ushauri wangu, tumia web browser MOZILLA au GOOGLE CHROME maana hizi ziko secured ki mtindo ukilinganisha na Internet Explorer.. Internet explorer haiko secured sana, iko likely ku- be attacked na virus..
 
Good Morning,

Shaloom wana wa JF,Nilikuwa natamani sana kuInstall Ubuntu au Linux Mint kwenye Laptop yangu sasa tatizo Laptop hiyohiyo ndio nayoitumia kwa kazi za kiofisi,Na System ninayotumia iko Compatible na Internet Explorer pekee.Sasa naweza kuIntall Internet Explorer baada ya kuweka any of those 2 OS's.

Reggard,
Rural Swagga.

sijakusoma unaposema system una yotumia iko compatible na IE pekee. Ni system gani hiyo ambayo haiwezi kufunguliwa na browser nyingine. navyoelewa kama hiyo syyem yako unafunguka kwa IE basi hata Firefox, chrome safari itafungua

Mosley said:
Kama una partition moja tu, haitawezekana unless uweke Virtual PC.. Kwa bahati nzuri I did the same thing to my System, I have installed Ubuntu 10.0.4 and window 7 in the same hard disk...

Mkuu hata kwenye partion moja Ubuntu inakuwa installed bila tatizo.na hata bila kuweka hiyo virtual PC Cha muhimu iwepo space ya kutosha tu. Mimi nimeshaisntall Ubuntu kwenye hard disk na partition moja
 
kiujumla nikufahamishe hiyo os ya kundi la unix ambayo ime bebe ubuntu ,kubuntu, fedora ,mento ,google,linux na nyingine wewe una pakeg ya os tu kama una full yenye 4gb ina uwezo wa kusapport application za microsoft kama una jua ku configure moderm (maelezo zaidi chizi computer /edjizzo@yahoo.com)nenda kwenye update kitu kina itwa wine utaweza kutumia software za MICROSOFT
 
Nilikuwa nahitaji msaada kwamba nitawezaje kuInstall Internet Explorer??Kwa sababu nataka niweke Ubuntu au Linux pekee

Internet Explorer ni Windows only.
Install ubuntu (Recommended 10.04)
Install wine (sudo apt-get install wine)
Download and install IE

Au unaweza tumia shortcut
Fungua terminal (start->Accessories->terminal)
cd /home/
USER_NAME/Downloads
wget http://www.kegel.com/wine/winetricks
sh winetricks ie7

see:
http://wiki.winehq.org/winetricks
 
Good Morning,

Shaloom wana wa JF,Nilikuwa natamani sana kuInstall Ubuntu au Linux Mint kwenye Laptop yangu sasa tatizo Laptop hiyohiyo ndio nayoitumia kwa kazi za kiofisi,Na System ninayotumia iko Compatible na Internet Explorer pekee.Sasa naweza kuIntall Internet Explorer baada ya kuweka any of those 2 OS's.

Reggard,
Rural Swagga.

Shaloom Rural Swagga, mimi nilikuwa na OS ya Linux Mind niliweza install kwenye Lap yangu ikiwa na WIN na zote zilikuwa zinafanya kazi vizuri tu ila ni lazima ufanye PARTITIONS Na OS ya Linux Mind ina Explorer yake direct, Pia naomba copy ya hiyo Linux yako nataka achana na OS za WIN
 
Ok kumbe inawezekana kuchakachua baadhi ya product a bilgateskama VB zitumike ndani ya ubuntu thanks for info
script ya winetricks kama sijasahau ina option ya kuinstall visual studio so, VB is very possible. Lakini kama lengo ni kutumia .NET kwa nini usitumie Mono?
 
Usiweke IE8 ina shida. Tumia IE7 (sh winetricks ie7)
Hii ni picha ya IE/WMP10 ktk ubuntu
attachment.php
 

Attachments

  • ie_wmp10.png
    ie_wmp10.png
    34.1 KB · Views: 36
Salama ndugu,Yap nina Partition zaidi ya moja ila nisingependa kuweka 2 OS's,Nilikuwa nahitaji msaada kwamba nitawezaje kuInstall Internet Explorer??Kwa sababu nataka niweke Ubuntu au Linux pekee
Mkuu samahani nakuona bado upo nyuma unataka ( kuInstall Internet Explorer) Kwenye UBUNTU? mimi nimeisahau hiyo ( kuInstall Internet Explorer) inafika hata miaka 5 Tangu nilipopata :MozilaFireFox an Google chrome.Nimekwisha kusahau kuwa kama kuna kitu kinaitwa ( kutumia Internet Explorer )
 
Back
Top Bottom