Ubovu wa barabara Kahama

Machepele

JF-Expert Member
Jun 28, 2019
289
420
Kama ilivyo ada 'siasa ni maisha na maisha ni siasa'

Kauli hii ni kweli over 50% siasa inaamua vitu vingi sana, kuanzia bei za bidhaa, kodi, miundombinu, utendaji nk...

Nimetafuta namna nzuri ya kueleza kero za Kahama nimeona sipatiwi majibu, moja ya njia nimejaribu kutumia sanduku la maoni pale Kahama Municipal lakini hakuna majibu yoyote.

1. Kahama barabara ni mbovu
Barabara ya Phantom - Mjini - mataa(kupanda na kushuka) - junction ya polisi - Kishimba secondary nk. hizi barabara ni kibovu sana kila mwaka marekebisho sasa hivi kuna vilaka na mashimo ya kutosha, utadhani ni rough road.

2. Barabara zote za rough road (mkazo barabara ya mama Farida, Mungula - Nyandekwa-..., Dodoma mwisho wa rami - Kilago -....)

3. Hivi pale Lumambo hakuna namna barabara ikawa designed round about/keep reft, au zikawekwa taa za kuongoza magari?.

4. Kuna tuta kubwa pale lumambo lakini hakuna alama yoyote ya kuonesha kuwa kuna tuta wala tuta.

Mkurugenzi, Mkuu wa wilaya, Tanroad na watendaji wengine kama mtaona bandiko hili jitahidini kufanya marekebisho, hali si shwari.

Machepele Tanzania
Kahama.
 
Kama ilivyo ada 'siasa ni maisha na maisha ni siasa'

Kauli hii ni kweli over 50% siasa inaamua vitu vingi sana, kuanzia bei za bidhaa, kodi, miundombinu, utendaji nk...

Nimetafuta namna nzuri ya kueleza kero za Kahama nimeona sipatiwi majibu, moja ya njia nimejaribu kutumia sanduku la maoni pale Kahama Municipal lakini hakuna majibu yoyote.

1. Kahama barabara ni mbovu
Barabara ya Phantom - Mjini - mataa(kupanda na kushuka) - junction ya polisi - Kishimba secondary nk. hizi barabara ni kibovu sana kila mwaka marekebisho sasa hivi kuna vilaka na mashimo ya kutosha, utadhani ni rough road.

2. Barabara zote za rough road (mkazo barabara ya mama Farida, Mungula - Nyandekwa-..., Dodoma mwisho wa rami - Kilago -....)

3. Hivi pale Lumambo hakuna namna barabara ikawa designed round about/keep reft, au zikawekwa taa za kuongoza magari?.

4. Kuna tuta kubwa pale lumambo lakini hakuna alama yoyote ya kuonesha kuwa kuna tuta wala tuta.

Mkurugenzi, Mkuu wa wilaya, Tanroad na watendaji wengine kama mtaona bandiko hili jitahidini kufanya marekebisho, hali si shwari.

Machepele Tanzania
Kahama.
Hivi hiyo barabara ya kuanzia Lumambo mpaka Ulowa-Ushetu, bado haijawekewa rami?
 
Mimi Nadhani ni tatizo la nchi nzima. Jiji la Mwanza sasa hivi barabara ni vituko kuanzia hapo Mataa ya makoroboi ukishika Musoma Road kuna mashimo yakufa mtu sijui makonda alipita wapi? Humo ndani ndani sasa sijui Ilalila, Buguku, Kwa mama Lulu ...e.t.c Barabara zimejeko mito hata Bodaboda zinapita kwa hesabu Kali kama una gari inabidi ukaiache sheli tu no way out.
 
Mimi Nadani ni tatizo la nchi nzima... Jiji la Mwanza sasa hivi barabara ni vituko kuanzia hapo Mataa ya makoroboi ukishika Musoma Road kuna mashimo yakufa mtu sijui makonda alipita wapi ? Humo ndani ndani sasa sijui Ilalila, Buguku, Kwa mama Lulu ...e.t.c Barabara zimejeko mito hata Bodaboda zinapita kwa hesabu Kali kama una gari inabidi ukaiache sheli tu no way out.
Duuh my country
 
Kama ilivyo ada 'siasa ni maisha na maisha ni siasa'

Kauli hii ni kweli over 50% siasa inaamua vitu vingi sana, kuanzia bei za bidhaa, kodi, miundombinu, utendaji nk...

Nimetafuta namna nzuri ya kueleza kero za Kahama nimeona sipatiwi majibu, moja ya njia nimejaribu kutumia sanduku la maoni pale Kahama Municipal lakini hakuna majibu yoyote.

1. Kahama barabara ni mbovu
Barabara ya Phantom - Mjini - mataa(kupanda na kushuka) - junction ya polisi - Kishimba secondary nk. hizi barabara ni kibovu sana kila mwaka marekebisho sasa hivi kuna vilaka na mashimo ya kutosha, utadhani ni rough road.

2. Barabara zote za rough road (mkazo barabara ya mama Farida, Mungula - Nyandekwa-..., Dodoma mwisho wa rami - Kilago -....)

3. Hivi pale Lumambo hakuna namna barabara ikawa designed round about/keep reft, au zikawekwa taa za kuongoza magari?.

4. Kuna tuta kubwa pale lumambo lakini hakuna alama yoyote ya kuonesha kuwa kuna tuta wala tuta.

Mkurugenzi, Mkuu wa wilaya, Tanroad na watendaji wengine kama mtaona bandiko hili jitahidini kufanya marekebisho, hali si shwari.

Machepele Tanzania
Kahama.

Wanaita manispaa ambako ulaji si Kwa urefu wa kamba bali kama nzige.

Niliwahi tembezwa barabara ya Kuandikwa mjini kati. Nikakubali manispaa hii yenye kupaswa kuwa kama Moshi, Moro, Shinyanga, Tanga nk kumbe iko ki uliwaji zaidi.
 
Duh hali ni mbaya zaidi kwa barabara za halmashauri ya Ushetu ni mashimo matupu magari yana haribu kilawakati. Rais wetu Mama Samia tuonamba ufanye kitu.
 
Kahama haina soko, Sitendi,na miundo mbinu ya Barabara,inazidiwa na Nzega,Karagwe ,Ngara na Biharamulo.
 
Maeneo mengi ya Nchi miundombinu ni mibovu sana Mkuu mimi nakualika uje Morogoro wilaya fulani inaitwa Mvomero tarafa ya Turiani barabara kutokea ilipo stend mpaka daraja la Mabau aisee usiombe mashimo na madimbwi makubwa makubwa yamejaa barabara zima.
 
Duh hali ni mbaya zaidi kwa barabara za halmashauri ya Ushetu ni mashimo matupu magari yana haribu kilawakati. Rais wetu Mama Samia tuonamba ufanye kitu.
Nilipiga trip moja kuelekea sehemu moja Inaitwa Mbika, kupitia Ibelansuha, ile barabara haifai aiseeh..!
 
Kama ilivyo ada 'siasa ni maisha na maisha ni siasa'

Kauli hii ni kweli over 50% siasa inaamua vitu vingi sana, kuanzia bei za bidhaa, kodi, miundombinu, utendaji nk...

Nimetafuta namna nzuri ya kueleza kero za Kahama nimeona sipatiwi majibu, moja ya njia nimejaribu kutumia sanduku la maoni pale Kahama Municipal lakini hakuna majibu yoyote.

1. Kahama barabara ni mbovu
Barabara ya Phantom - Mjini - mataa(kupanda na kushuka) - junction ya polisi - Kishimba secondary nk. hizi barabara ni kibovu sana kila mwaka marekebisho sasa hivi kuna vilaka na mashimo ya kutosha, utadhani ni rough road.

2. Barabara zote za rough road (mkazo barabara ya mama Farida, Mungula - Nyandekwa-..., Dodoma mwisho wa rami - Kilago -....)

3. Hivi pale Lumambo hakuna namna barabara ikawa designed round about/keep reft, au zikawekwa taa za kuongoza magari?.

4. Kuna tuta kubwa pale lumambo lakini hakuna alama yoyote ya kuonesha kuwa kuna tuta wala tuta.

Mkurugenzi, Mkuu wa wilaya, Tanroad na watendaji wengine kama mtaona bandiko hili jitahidini kufanya marekebisho, hali si shwari.

Machepele Tanzania
Kahama.
Huo mjini umekaa vizuri kiuchumi shida ni watendaji,kahama inamapato ya kutosha ungekuta barabara zote zina lami...dc wa hapo akili hamna anamiliki bunyero tu mtoto wa kizigua
 
Back
Top Bottom