Machepele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 289
- 420
Kama ilivyo ada 'siasa ni maisha na maisha ni siasa'
Kauli hii ni kweli over 50% siasa inaamua vitu vingi sana, kuanzia bei za bidhaa, kodi, miundombinu, utendaji nk...
Nimetafuta namna nzuri ya kueleza kero za Kahama nimeona sipatiwi majibu, moja ya njia nimejaribu kutumia sanduku la maoni pale Kahama Municipal lakini hakuna majibu yoyote.
1. Kahama barabara ni mbovu
Barabara ya Phantom - Mjini - mataa(kupanda na kushuka) - junction ya polisi - Kishimba secondary nk. hizi barabara ni kibovu sana kila mwaka marekebisho sasa hivi kuna vilaka na mashimo ya kutosha, utadhani ni rough road.
2. Barabara zote za rough road (mkazo barabara ya mama Farida, Mungula - Nyandekwa-..., Dodoma mwisho wa rami - Kilago -....)
3. Hivi pale Lumambo hakuna namna barabara ikawa designed round about/keep reft, au zikawekwa taa za kuongoza magari?.
4. Kuna tuta kubwa pale lumambo lakini hakuna alama yoyote ya kuonesha kuwa kuna tuta wala tuta.
Mkurugenzi, Mkuu wa wilaya, Tanroad na watendaji wengine kama mtaona bandiko hili jitahidini kufanya marekebisho, hali si shwari.
Machepele Tanzania
Kahama.
Kauli hii ni kweli over 50% siasa inaamua vitu vingi sana, kuanzia bei za bidhaa, kodi, miundombinu, utendaji nk...
Nimetafuta namna nzuri ya kueleza kero za Kahama nimeona sipatiwi majibu, moja ya njia nimejaribu kutumia sanduku la maoni pale Kahama Municipal lakini hakuna majibu yoyote.
1. Kahama barabara ni mbovu
Barabara ya Phantom - Mjini - mataa(kupanda na kushuka) - junction ya polisi - Kishimba secondary nk. hizi barabara ni kibovu sana kila mwaka marekebisho sasa hivi kuna vilaka na mashimo ya kutosha, utadhani ni rough road.
2. Barabara zote za rough road (mkazo barabara ya mama Farida, Mungula - Nyandekwa-..., Dodoma mwisho wa rami - Kilago -....)
3. Hivi pale Lumambo hakuna namna barabara ikawa designed round about/keep reft, au zikawekwa taa za kuongoza magari?.
4. Kuna tuta kubwa pale lumambo lakini hakuna alama yoyote ya kuonesha kuwa kuna tuta wala tuta.
Mkurugenzi, Mkuu wa wilaya, Tanroad na watendaji wengine kama mtaona bandiko hili jitahidini kufanya marekebisho, hali si shwari.
Machepele Tanzania
Kahama.