Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,534
- 8,619
ubinafsishaji ni sera iliyoilazimu tanzania kufuata kuanzia miaka ya 1990...ikiwa ni sehemu ya urekebishaji wa uchumi[economic adjustment programmes]
ndani ya sera hii viwanda kama kiltex dar,kiltex arusha,tanzania lithol,pyrethrium,general tyre,tabora tex,mwanza tex,musoma tex,morogoro tex ....sungura tex,urafiki tex,ubungo garments....etc...
pia tunakumbuka viwanda kama Tanganyika parkers,tanganyika plastics[TEGRI],...BORA SHOES...
KWA leo naona bora nitoe mfano wa utapeli unaofanywa na hawa bora shoe...ambao wao walpewa kiwanda ili watengeneze viatu.....baada ya muda walisema viatu soko hakuna..wakasema watatengeneza malapa na magurudumu ya baiskeli....,lakini katika hali ya kusikitisha sasa hakuna uzalishaji wanaofanya bali WAMENGOA MITAMBO NA NAFASI ILIYOPATIKANA WAMEIKODISHA KWA WAFANYA BIASHARA MBALI MBALI KAMA MAGODOWN............Sasa watanzania tukiulize hivi ,hawa wawekezaji tuliwapa viwanda kwa bei chee ili wajeuze magodown au waendeleze viwanda tupate ajira?....inasikitisha sana...,hasa tunapokumbuka waziri wa biashara alipata kupita pale katika ziara ya kukagua viwanda vilivyobinafsishwa ..hasa vilivobadili matumizi.....ya mwanzo...
hali ya bora haina tofauti na tanganyika parckes na viwanda vingine vingi ambavo leo ni magodown.....na mitambo wameuza kama scrap......na kama pale kawe hana hata aibu anataka kuigeuza kuwa shoppin mall au aprtments .....sheria inasemaje....
nadhani ni bora serikali ikarudisha viwanda vyetu maana sheria inawalinda kwani wawekezaji wamekiuka makubaliano.....watanzania TUTAVIMILIKI UPYA VIWANDA VYETU KUPITIA SACCOS...AU USHIRIKANO AU HATA WATANZANIA BINAFSI WENYE MAPENZI NA NCHI YETU.......
NAWASILISHA UKWELI.......
ndani ya sera hii viwanda kama kiltex dar,kiltex arusha,tanzania lithol,pyrethrium,general tyre,tabora tex,mwanza tex,musoma tex,morogoro tex ....sungura tex,urafiki tex,ubungo garments....etc...
pia tunakumbuka viwanda kama Tanganyika parkers,tanganyika plastics[TEGRI],...BORA SHOES...
KWA leo naona bora nitoe mfano wa utapeli unaofanywa na hawa bora shoe...ambao wao walpewa kiwanda ili watengeneze viatu.....baada ya muda walisema viatu soko hakuna..wakasema watatengeneza malapa na magurudumu ya baiskeli....,lakini katika hali ya kusikitisha sasa hakuna uzalishaji wanaofanya bali WAMENGOA MITAMBO NA NAFASI ILIYOPATIKANA WAMEIKODISHA KWA WAFANYA BIASHARA MBALI MBALI KAMA MAGODOWN............Sasa watanzania tukiulize hivi ,hawa wawekezaji tuliwapa viwanda kwa bei chee ili wajeuze magodown au waendeleze viwanda tupate ajira?....inasikitisha sana...,hasa tunapokumbuka waziri wa biashara alipata kupita pale katika ziara ya kukagua viwanda vilivyobinafsishwa ..hasa vilivobadili matumizi.....ya mwanzo...
hali ya bora haina tofauti na tanganyika parckes na viwanda vingine vingi ambavo leo ni magodown.....na mitambo wameuza kama scrap......na kama pale kawe hana hata aibu anataka kuigeuza kuwa shoppin mall au aprtments .....sheria inasemaje....
nadhani ni bora serikali ikarudisha viwanda vyetu maana sheria inawalinda kwani wawekezaji wamekiuka makubaliano.....watanzania TUTAVIMILIKI UPYA VIWANDA VYETU KUPITIA SACCOS...AU USHIRIKANO AU HATA WATANZANIA BINAFSI WENYE MAPENZI NA NCHI YETU.......
NAWASILISHA UKWELI.......