damas kamalamo
New Member
- Mar 16, 2011
- 3
- 0
Kamwe ubinadam hauwez kupimwa kwa kua na wanawake weng au kua na wanaume weng
jamani hii iliotumwa ni ,thread ya misemo ya kiswahili,,, ni methali,,, au ni chemshabongo??? mi bado sijaielewa!!!! i'm comffused till now...
Angalia mtuma thread mwenyewe kaingia lini... Kwanza hata hodi hakuna..... Tafadhali usije kujifunzia kwenye vyombo vya watu wewe....Niliham...msamehe...maana watu wengine ni form seven wanaingia JF kujifunza kutumia computer na internet
Kamwe ubinadam hauwez kupimwa kwa kua na wanawake weng au kua na wanaume weng
mh! sio uongo ila kama thread yako inakosa mashiko (support) haijitoshelezi vile!!
watu wengine ni form seven