Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kwa zaidi ya Miongo miwili sasa (2 decade ) nchi zinazoendelea na maskini sana duniani ziliaminishwa kwamba kwa kufuata mfumo wa kibepari nchi hizo zitaokoka katika janga la kuangamia kiuchumi kwenye "dunia kijiji" au al maarufu Global village.
Lakini sasa mfumo huo wa Kibepari unaporomoka kama ulivyoporomoka mfumo wa kikomunisti Urusi. Kama mbadala wa Ukomunisti na Ushoshalisti ulikuwa ni ubepari na ubepari sasa unaporomoka ni nini kitaziba ombwe litakalosababishwa na kuporomoka kwa ubepari? Tulikuwa tunaambiwa hata humu ndani tuliambiwa pia. "ujamaa ulituchelewesha kuendelea" Je sasa tuna haja ya kujivunia ubepari?
Maneno kama vile "Austerity" "Slump" au "Crunch" pia "Recession" tumekutana na " Budget talks stalemate in US" kuna hili pia "china hold 45% of US bond" na mengineyo mengi ni dalili za kuanguka kwa mfumo wa kibepari.
Ni mawazo tu usikasirike.
Lakini sasa mfumo huo wa Kibepari unaporomoka kama ulivyoporomoka mfumo wa kikomunisti Urusi. Kama mbadala wa Ukomunisti na Ushoshalisti ulikuwa ni ubepari na ubepari sasa unaporomoka ni nini kitaziba ombwe litakalosababishwa na kuporomoka kwa ubepari? Tulikuwa tunaambiwa hata humu ndani tuliambiwa pia. "ujamaa ulituchelewesha kuendelea" Je sasa tuna haja ya kujivunia ubepari?
Maneno kama vile "Austerity" "Slump" au "Crunch" pia "Recession" tumekutana na " Budget talks stalemate in US" kuna hili pia "china hold 45% of US bond" na mengineyo mengi ni dalili za kuanguka kwa mfumo wa kibepari.
Ni mawazo tu usikasirike.