Enny
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 962
- 130
Hamjambo wana JF . Naomba ushauri wenu katika hili suala.
Mimi nimeishi na mdogo wangu wa kike mtoto wa mama mdogo. Baada ya kumaliza Form IV alikuja Dar kwanngu na kuanza shule ya mambo ya Hoteli. Na gharama za shule nililipa mimi. Baada ya kumaliza masomo ya hotel aliungana na mwenzie katika biashara ya mambo ya stationery na wakapangisha nyumba ambayo ilikuwa ni ofisi na kuna sehemu ya kuishi, hivyo alihama kwangu na kuniomba mtaji wa laki tatu kuongezea \manunuzi ya ptocopy machine.
Katika kufupisha hii story, wamepanga sehemu mbalimbali, baadaye walikorofishana na mwenye nyumba kwani aliahidi kuwawekea umeme lakini ikawa story. sasa nikawambia nina nyumba mahali wanaweza kupanga na kunilipa kodi. Baada ya kukaa muda wakaanza kutolipa na huyo mwenzie.
Nilichukua hatua ya kuwauliza matokeo yake akawa ananijibu vibaya. Hivyo nikaamua kuwafukuza kwenye nyumba yangu.
Sasa imekuwa ugomvi mkubwa mpaka mama mdogo (mama yake ) hanisemeshi , na yeye ndio kabisa?
Naqomba ushauri wenu hapa nifanyeje? Nami niuchune au niendelee kuwabembeleza?
Mimi nimeishi na mdogo wangu wa kike mtoto wa mama mdogo. Baada ya kumaliza Form IV alikuja Dar kwanngu na kuanza shule ya mambo ya Hoteli. Na gharama za shule nililipa mimi. Baada ya kumaliza masomo ya hotel aliungana na mwenzie katika biashara ya mambo ya stationery na wakapangisha nyumba ambayo ilikuwa ni ofisi na kuna sehemu ya kuishi, hivyo alihama kwangu na kuniomba mtaji wa laki tatu kuongezea \manunuzi ya ptocopy machine.
Katika kufupisha hii story, wamepanga sehemu mbalimbali, baadaye walikorofishana na mwenye nyumba kwani aliahidi kuwawekea umeme lakini ikawa story. sasa nikawambia nina nyumba mahali wanaweza kupanga na kunilipa kodi. Baada ya kukaa muda wakaanza kutolipa na huyo mwenzie.
Nilichukua hatua ya kuwauliza matokeo yake akawa ananijibu vibaya. Hivyo nikaamua kuwafukuza kwenye nyumba yangu.
Sasa imekuwa ugomvi mkubwa mpaka mama mdogo (mama yake ) hanisemeshi , na yeye ndio kabisa?
Naqomba ushauri wenu hapa nifanyeje? Nami niuchune au niendelee kuwabembeleza?