Ubalozi wa Marekani Iraq wapigwa kwa makombora 7. Matano mengine kwenye vikosi vyake Syria

Miaka 100 tu? hata miaka 1000 bado hilo Taifa la Marekani litaendelea kutesa maana lina military army bases zaidi ya 750 duniani, ni upofu tu wa akili sababu ya dini tulizoletewa na mitumbwi enzi za ukoloni.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ukisoma comments nyingi Hapo utagundua kuwa wengi hawajui kitu na hawana uelewa juu ya siasa za kimataifa
 
Kumbe na wewe umeona uongo wa huyu mvaa kobaz na mahaba kwa hiyo dini ya waarabu, watukutu....😅😅
Wala yeye hakuchanganyikiwa kuwa tumedanganya..Ni kitu kinachomshangaza kila mtu katika siasa za kimataifa.
Na wewe jiulize maswali haya na naamini jawabu utaipata.
1.Mbona Iraq hailaani mtu yeyote ubalozi wa Marekani na kambi za Marekani zikishambuliwa
2.Syria yuko kimya kabisa marekani ikiteswa na wanamgambo wake
3.Hizo silaha zenye kulenga shabaha kwa uhakika hao wanaoipiga Marekani wanazipata wapi na kuzihifandhi wapi
.4.Wanaoitesa Marekani wakisharusha makombora yao huwa wanalala wapi?
 
Iran ameshawambia waondoke maeneo yote ya mashariki ya kati laa sivyo hawatakua salama sasa ni uamuzi wake achaguwe kufa au kuondoka.
Iran hajifunzi Kwa wababe wenzie akina Ghadafi na Sadam Hussein

Ulaya na Marekani wanaotafita sana Iran Wanajua ndio nchi pekee iliyobaki na jeuri mashariki ya Kati

Iran nadhani siasa zake za nje ya nchi za kijeuri angeachana nazo
 
Wala yeye hakuchanganyikiwa kuwa tumedanganya..Ni kitu kinachomshangaza kila mtu katika siasa za kimataifa.
Na wewe jiulize maswali haya na naamini jawabu utaipata.
1.Mbona Iraq hailaani mtu yeyote ubalozi wa Marekani na kambi za Marekani zikishambuliwa
2.Syria yuko kimya kabisa marekani ikiteswa na wanamgambo wake
3.Hizo silaha zenye kulenga shabaha kwa uhakika hao wanaoipiga Marekani wanazipata wapi na kuzihifandhi wapi
.4.Wanaoitesa Marekani wakisharusha makombora yao huwa wanalala wapi?
Jibu ni moja tu hayo mataifa yote uliyoyataja, marekani anatumia balozi zake na kambi zao kama training grounds.

Anafahamu fika kuwa huko ni muda wowote magaidi watadhambulia na atachukua point tatu zake kiulaini, na ndiyo maana hajasema neno hadi hivi sasa...
 
Mfia dini leo nduguzo wapalestina wameuwawa wangapi???😄😄😄
Israel ameshajamba huko, mwanzo hakutaka kubadilishana wafungwa na mateka sasa hivi mbona alikubali bado tunasubiri Marekani akose hela za kuisaidia israel maana kule Ukraine ameisha jiondoa
Kila siku unasemaga mzungu kwa Mwarabu hana ubabe mzungu ataendelea kuwabonda Waafrika weusi na wahindi
 
Mapema jana Ijumaa jumla ya Makombora saba yalirushwa na kufanikiwa kuingia ndani ya ubalozi wa Marekani nchini Iraq.

Ubalozi huo daima huwa unalindwa na mifumo mbali mbali ya ulinzi ambayo imewekwa kwenye hali ya tahadhari, hata hivyo hikuwezekana kuyazuia makombora hayo kutua ndani ya ubalozi huo.
Mbali na makombora hayo 7,mengine matano yalirushwa kwenye kambi za jeshi la Marekani vilivyopo Syria na maeneo mengine ya Iraq.

Kwa mujibu wa msemaji wa wa kijeshi wa Marekani ni kuwa kasi ya mashambulio kama hayo imeongezeka sana katika siku za karibu na ni kupita kiwango katika kumbukumbu za kuwepo kwa vikosi vya Marekani katika nchi hizo.

US embassy in Baghdad struck with seven mortars as attacks escalate


View attachment 2837311

Anavuna alichopanda. Ataendelea kupata kupata vipigo zaidi na zaidi.
 
Irani ameshasema hataki kuona vikosi vya marekani hapo mashariki ya kati huyu marekani bado haelewi somo tu
images (4).jpeg
 
Israel ameshajamba huko, mwanzo hakutaka kubadilishana wafungwa na mateka sasa hivi mbona alikubali bado tunasubiri Marekani akose hela za kuisaidia israel maana kule Ukraine ameisha jiondoa
Kila siku unasemaga mzungu kwa Mwarabu hana ubabe mzungu ataendelea kuwabonda Waafrika weusi na wahindi
Hivi huko misikitini kuna somo la kuvuta bangi?
 
Iran ameshawambia waondoke maeneo yote ya mashariki ya kati laa sivyo hawatakua salama sasa ni uamuzi wake achaguwe kufa au kuondoka.
Iran yeye ana uhakika na maisha yake? Si majaribio kama Hamas halafu baadaye wanakimbilia umoja wa mataifa kusitisha vita?
 
Ni mwendelezo wa kuporomoshwa taifa lililoleta jeuri duniani kwa muda unaozidi nusu karne.Walifika pahala wanasema ni new world order.Mwenyezi Mungu alikuwa anawaangalia tu.
Imeanza kidogo kidogo Afghanistan,Libya,Somalia,Venezuela,Ukraine na watu waliona ni mchezo. na haiwezekani.Sasa ndio anadidimia kwa kasi mashariki ya kati.Hata kujibu mapigo ya Houth wanajiuliza kwanza.
Wanaposema waliweka New World Order ni kweli baada ya vita ya pili ya Dunia Marekani na Muingereza waliweka utaratibu mpya wa dunia baada ya vita (post war world) unaowapa upendeleo wakianza na Bretton woods system pamoja na institutions zao kama UN, IMF, World Bank etc...

New world order sio conspiracy ni kitu kinachowezekana, BRICS nations nao wanatengeneza new world order wakati ambao Marekani inaanguka
 
Back
Top Bottom