PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,114
- 29,948
Ukisoma comments nyingi Hapo utagundua kuwa wengi hawajui kitu na hawana uelewa juu ya siasa za kimataifaMiaka 100 tu? hata miaka 1000 bado hilo Taifa la Marekani litaendelea kutesa maana lina military army bases zaidi ya 750 duniani, ni upofu tu wa akili sababu ya dini tulizoletewa na mitumbwi enzi za ukoloni.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app