sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
watu wote tunaishi kwa budget, ila kuna wengine ni zaidi ya hapo;
Mkinga mmoja alitumbukia kwenye kisima chenye kina kirefu, akapiga kelele mkewe akaja kumuokoa , alivyoona ni mbali akakimbia dukani kununua kamba, alivyorudi akamrushia mumewe, Mume akamuuliza mkewe huku anatapatapa kwenye maji, hii kamba umenunua shilingi ngapi.............? mke akamjibu nimenunua buku kwa mangi, akamwambia irudishe, kwa sanga wanauza jero fanya haraka nitazama.
Mkinga mmoja alitumbukia kwenye kisima chenye kina kirefu, akapiga kelele mkewe akaja kumuokoa , alivyoona ni mbali akakimbia dukani kununua kamba, alivyorudi akamrushia mumewe, Mume akamuuliza mkewe huku anatapatapa kwenye maji, hii kamba umenunua shilingi ngapi.............? mke akamjibu nimenunua buku kwa mangi, akamwambia irudishe, kwa sanga wanauza jero fanya haraka nitazama.