mwanasayansi
Member
- Feb 8, 2008
- 12
- 0
Habari wakubwa
Kwa muislam yoyote makini anayejua kuwa muweza wa kila kitu ni ALLAH mtukufu,na sisi binadamu twafanya juhudi tu ambazo hazifanikiwi mpaka ALLAH atake hawezi kuwa na hisia za woga kutokana na maneno ya Mukombosi na wenzake,sisi tushafahamishwa kwa maneno ya ALLAH kuwa chuki za maadui wa uislaam ni kubwa sana kuliko zinazodhihirishwa.Shortly twajua wazi kile kilichopo against islaam worldwide,leave alone Tz.
Kuna data nyingi za ku prove hila hizo dhidi yetu hapo Tz,zingine zimeandikiwa vitabu, tofauti na hadith zilitolewa na baadhi ya wachangiaji na kutuomba tuamini bila ushahidi.Ukiambiwa usilete udini TZ maanake usilete hisia za kiislam,it's well known.
Shortly tuko firm,tuna WaQQAl kwa ALLAH.
Kwa muislam yoyote makini anayejua kuwa muweza wa kila kitu ni ALLAH mtukufu,na sisi binadamu twafanya juhudi tu ambazo hazifanikiwi mpaka ALLAH atake hawezi kuwa na hisia za woga kutokana na maneno ya Mukombosi na wenzake,sisi tushafahamishwa kwa maneno ya ALLAH kuwa chuki za maadui wa uislaam ni kubwa sana kuliko zinazodhihirishwa.Shortly twajua wazi kile kilichopo against islaam worldwide,leave alone Tz.
Kuna data nyingi za ku prove hila hizo dhidi yetu hapo Tz,zingine zimeandikiwa vitabu, tofauti na hadith zilitolewa na baadhi ya wachangiaji na kutuomba tuamini bila ushahidi.Ukiambiwa usilete udini TZ maanake usilete hisia za kiislam,it's well known.
Shortly tuko firm,tuna WaQQAl kwa ALLAH.