Katika pitapita zangu nimekutana na mjasiliamari anayeweza kutengeneza viatu kwa kutumia ngozi za ngombe na samaki.Nimevutiwa sana na nikajenga hamasa ili niweze kutengeneza rangi mbalimbali, kwa kuanzia natamani kutengeneza rangi za majumbani. Natafuta ushauri kwa wenyekujua nianzie wapi kuanzisha ka-kiwanda kadogo nikifika Dar-salaam jiji la Makamba.Nimeona Nairobi wameweza je kwa Tz inawezekana