Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,063
yaani sijui kama nitapona mwaka huu,hebu niwachotee kiduchu toka kwenye inbox yangu,just imagine hii ni leo tu:
from Koku: baba luku imeisha
from housegirl pendo: baba hujaacha hela ya taka
from mama sima sinza: we baba sima hivi hujui kodi imeisha?
From mama kidawa tabata: mtoto anaumwa
from mama stumai mwanza:stumai anakumbushia graduation imekaribia
from mama kayai original:we na umalaya wako utaniua,ndo kumbe bado unalala na mama kidawa
from mama kidawa:mkeo kanipigia amenitukana!
From sophy mabibo hostel:ile blackberry imeharibika screen
from nancy wa airtel:sweetie my car is due for service
mama kayai tena:watoto wamerudishwa shule hujalipa karo
Jamani jamani hiyo ni leo tu jumatano 21st feb,nitapona kweli 2012?
from Koku: baba luku imeisha
from housegirl pendo: baba hujaacha hela ya taka
from mama sima sinza: we baba sima hivi hujui kodi imeisha?
From mama kidawa tabata: mtoto anaumwa
from mama stumai mwanza:stumai anakumbushia graduation imekaribia
from mama kayai original:we na umalaya wako utaniua,ndo kumbe bado unalala na mama kidawa
from mama kidawa:mkeo kanipigia amenitukana!
From sophy mabibo hostel:ile blackberry imeharibika screen
from nancy wa airtel:sweetie my car is due for service
mama kayai tena:watoto wamerudishwa shule hujalipa karo
Jamani jamani hiyo ni leo tu jumatano 21st feb,nitapona kweli 2012?