Uamuzi wa Wizara ya Afya kutoa ARV's kwa kila mwenye kuonekana ana UKIMWI bila kujali CD4 zake

Faridi

JF-Expert Member
Apr 2, 2008
672
274
Kwa kweli nimeshangazwa na uamuzi wa wizara wa kutaka kuanzia mwakani kila atakaekutwa ana virusi vya HIV aanzishwe ARV's bila kujali CD4 counts zake, ili kupunguza uambukizwaji wa ukimwi.

Wanashindwa kuelewa kwanza hizi dawa japo wanasema hazikupi death sentence lakini baadhi ya watu zinawapa life sentence kutokana na side effects zake, haswa hizi ambazo zinatumika Africa ambazo kwa sasa nyingi hazitumiki tena nchi zilizoendelea.

Hii theory ya kusema mwenye kutumia dawa inawezekana asiambukize HIV inapotosha kuna aina fulani tu za dawa kidogo saana zinaweza kuepusha maambukizo lakini nyingi hata ukitumia unaambukiza.

ARV's si dawa kama ya Malaria kila wanaoumwa wanatumia karibu dawa aina moja, dawa hizi inaweza ikanifaa mimi na kutomusaidia mtu mwengine na kumsababishia side effects.

Kumshurutisha mtu atumie dawa wakati CD4 zake hazijafikia chini ya 200 ni kumpa life sentence, inabidi serikali ifanye utafiti juu ya suala hili linaweza leta madhara zaidi kuliko faida.

kwa mtu mwenye virusi anaweza ishi miaka mingi na afya yake ikwa CD4 zake zipo juu na akipewa ushauri mzuri akijielewa, na siyo kumlazimisha haya madawa baadhi yake yana side effects nyingi, ambzo zinazuia ugonjwa mmoja, na mara nyengine zinasababishia mengine kadha.

Sitaki kuwakatisha tamaa wenye kutumia ARV's zinasaidia saana , ila si haki kumuanzisha mtu ARV's kama bado kinga zake nzuri.
 
Hujui unachoandika, ungeomba msaada ukaeleweshwa.

Cut off < CD4 200 iliyokuwa imewekwa for initiation of ARV was purely economical. Kwamba limited resources countries hatuna uwezo wa kuwapatia dawa watu wote ambao ni HIV+.

Nchi zilizoendelea kama Mareakani huwapatia ARV kila mtu ambaye ni HIV+

Sio kwamba HIV+ wote WATALAZIMISHWA kunywa ARV. Kunywa au kutokunywa ARV kutaendelea kuwa hiari ya mtu.

Tafiti nyingi zimeshafanyika ambapo zinaonyesha ARV zinapunguza viral load kwa waathrika, hence kupunguza risk ya HIV transmission, as a result improves life quality of HIV infected person.
 
tema

mate chini ukoo wako haujafikiwa hati??
kwanini hao wanaowatengenezea hzo dawa wao hawaztumii, hivi katika tafiti zako ulishakumbana na habari ya mzungu muathirika HIv? Na nikwanini? Wamewezaje wao kulithibiti gonjwa hili hatari katka mataifa yao? Hivi vdogo vya mishaada tunavyopewa ndo vinatumaliza. Kama huamini subili utaona
 
tena zingefutwa kabisa kwa sababu ndio chanzo cha wagonjwa kuongezeka nchini
Alafu utakunywa nn? Unataka kufa kabla yule mtoto wako uliyemuambukiza hajafa ili nani akulele sasa? Najua unashukuru kimoyo moyo Mkuu
 
Kwa kweli nimeshangazwa na uamuzi wa wizara wa kutaka kuanzia mwakani kila atakaekutwa ana virusi vya HIV aanzishwe ARV's bila kujali CD4 counts zake, ili kupunguza uambukizwaji wa ukimwi.

Wanashindwa kuelewa kwanza hizi dawa japo wanasema hazikupi death sentence lakini baadhi ya watu zinawapa life sentence kutokana na side effects zake, haswa hizi ambazo zinatumika Africa ambazo kwa sasa nyingi hazitumiki tena nchi zilizoendelea.

Hii theory ya kusema mwenye kutumia dawa inawezekana asiambukize HIV inapotosha kuna aina fulani tu za dawa kidogo saana zinaweza kuepusha maambukizo lakini nyingi hata ukitumia unaambukiza.

ARV's si dawa kama ya Malaria kila wanaoumwa wanatumia karibu dawa aina moja, dawa hizi inaweza ikanifaa mimi na kutomusaidia mtu mwengine na kumsababishia side effects.

Kumshurutisha mtu atumie dawa wakati CD4 zake hazijafikia chini ya 200 ni kumpa life sentence, inabidi serikali ifanye utafiti juu ya suala hili linaweza leta madhara zaidi kuliko faida.

kwa mtu mwenye virusi anaweza ishi miaka mingi na afya yake ikwa CD4 zake zipo juu na akipewa ushauri mzuri akijielewa, na siyo kumlazimisha haya madawa baadhi yake yana side effects nyingi, ambzo zinazuia ugonjwa mmoja, na mara nyengine zinasababishia mengine kadha.

Sitaki kuwakatisha tamaa wenye kutumia ARV's zinasaidia saana , ila si haki kumuanzisha mtu ARV's kama bado kinga zake nzuri.
kwa mujibu wa utafiti wa WHO,kuna uwezekano mkubwa kwa mtu aliekutwa na virusi,kama akianza kupewa dawa mapema virusi vyaweza kutoweka.
Sasa wizara kama mdau wa WHO,inafuata maagizo na sera ya chombo hicho cha UN,tupe utafiti wako nawe kupinga utaratibu huo
 
Sijui kama unajua ulichokiandika. Tafuta guidelines za mataifa tofauti uone zinasemaje, halafu pitia ile ya WHO.
Siyo unakimbilia kuja kulalamika tu hapa.
Elewa kuwa guidelines wakati zinaandikwa , huzingatia mambo mengi, kama vile uchumi wa nchi, uchumi wa mtu mmoja mmoja, miundo mbinu, elimu, professionals n.k
 
Kwa kweli nimeshangazwa na uamuzi wa wizara wa kutaka kuanzia mwakani kila atakaekutwa ana virusi vya HIV aanzishwe ARV's bila kujali CD4 counts zake, ili kupunguza uambukizwaji wa ukimwi.

Wanashindwa kuelewa kwanza hizi dawa japo wanasema hazikupi death sentence lakini baadhi ya watu zinawapa life sentence kutokana na side effects zake, haswa hizi ambazo zinatumika Africa ambazo kwa sasa nyingi hazitumiki tena nchi zilizoendelea.

Hii theory ya kusema mwenye kutumia dawa inawezekana asiambukize HIV inapotosha kuna aina fulani tu za dawa kidogo saana zinaweza kuepusha maambukizo lakini nyingi hata ukitumia unaambukiza.

ARV's si dawa kama ya Malaria kila wanaoumwa wanatumia karibu dawa aina moja, dawa hizi inaweza ikanifaa mimi na kutomusaidia mtu mwengine na kumsababishia side effects.

Kumshurutisha mtu atumie dawa wakati CD4 zake hazijafikia chini ya 200 ni kumpa life sentence, inabidi serikali ifanye utafiti juu ya suala hili linaweza leta madhara zaidi kuliko faida.

kwa mtu mwenye virusi anaweza ishi miaka mingi na afya yake ikwa CD4 zake zipo juu na akipewa ushauri mzuri akijielewa, na siyo kumlazimisha haya madawa baadhi yake yana side effects nyingi, ambzo zinazuia ugonjwa mmoja, na mara nyengine zinasababishia mengine kadha.

Sitaki kuwakatisha tamaa wenye kutumia ARV's zinasaidia saana , ila si haki kumuanzisha mtu ARV's kama bado kinga zake nzuri.
Mara ya mwisho ilikuwa kila mwenye under 350 CD4 aanze kutumia , Hii ya under 200 ilibadilishwa kitambo sana .
 
Kwa kweli nimeshangazwa na uamuzi wa wizara wa kutaka kuanzia mwakani kila atakaekutwa ana virusi vya HIV aanzishwe ARV's bila kujali CD4 counts zake, ili kupunguza uambukizwaji wa ukimwi.

Wanashindwa kuelewa kwanza hizi dawa japo wanasema hazikupi death sentence lakini baadhi ya watu zinawapa life sentence kutokana na side effects zake, haswa hizi ambazo zinatumika Africa ambazo kwa sasa nyingi hazitumiki tena nchi zilizoendelea.

Hii theory ya kusema mwenye kutumia dawa inawezekana asiambukize HIV inapotosha kuna aina fulani tu za dawa kidogo saana zinaweza kuepusha maambukizo lakini nyingi hata ukitumia unaambukiza.

ARV's si dawa kama ya Malaria kila wanaoumwa wanatumia karibu dawa aina moja, dawa hizi inaweza ikanifaa mimi na kutomusaidia mtu mwengine na kumsababishia side effects.

Kumshurutisha mtu atumie dawa wakati CD4 zake hazijafikia chini ya 200 ni kumpa life sentence, inabidi serikali ifanye utafiti juu ya suala hili linaweza leta madhara zaidi kuliko faida.

kwa mtu mwenye virusi anaweza ishi miaka mingi na afya yake ikwa CD4 zake zipo juu na akipewa ushauri mzuri akijielewa, na siyo kumlazimisha haya madawa baadhi yake yana side effects nyingi, ambzo zinazuia ugonjwa mmoja, na mara nyengine zinasababishia mengine kadha.

Sitaki kuwakatisha tamaa wenye kutumia ARV's zinasaidia saana , ila si haki kumuanzisha mtu ARV's kama bado kinga zake nzuri.


Ndugu usishangae sana maana hayo SI maagizo ya Wizara ya Afya bali nikutekeleza maagizo ya shirika la Afya duniani WHO kuwa ifikapo mwaka 2030 janga hili la Ukimwi liwe limekwisha!

Kumbuka utafiti bado unaendelea. Na Matibabu na dawa na utaalamu unazidi kuongezeka
Maagizo ya awali ya WHO yalikuwa na imani kwamba mtu akipewa dawa mapema atasababisha USUGU.
Na wale watakaoambukizwa na mtu aliye na usugu nao watakuwa sugu katika hizo dawa. Hivyo waanze dawa ikifika below CD4 count
<200. baadaye ikawa
<250 na
350 .nk Kwa kuwa utafiti ungali unaendelea WHO imegundua kuwa mtu akipatiwa dawa mapema chances za
kupunguza VIRAL LOAD mzigo wa Virusi mwilini utapunguzwa to an undetectable level na pia chances za KUAMBUKIZA mwingine zitakuwa ni KIDOGO sana maana Virusi vitakuwa vimekuwa dhaifu na kujikonekiti kwenye cell receptors itakuwa ni vigumu
Ndiyo maana ya uamuzi huo wa serikali nafikiri!

Ndiyo maana pia WHO imeruhusu dawa kama VIREAD- TENOFOVIR kutumika kama Kinga katika jamii ambayo ni DISCORDANT yaani Mme au Mke an VVU na mwingine hana Nk! ANYWE saa moja kabla ya tendo la ndoa. Haya ni baadhi ya maagizo mapya ya WHO!
Kila dawa zina madhara ama Side effects zake. Lakini kwa hili FAIDA ni kubwa kuliko MADHARA.Tafadhali tuzingatie!
 
naomba kujua watajuaje kama cd4 zipo chini manake kwa sasa wameacha kupima cd4 ila wanapima viral load tu, na pia tusichukulie ukimwi kama issue sana kwa sasa tuangalie cancer na sukari zinavyomaliza nguvu kazi wa tz tuache kukremu ujinga kila siku ukimwi sio issue tena bado kidogo tu tutaambiwa dawa imepatikana tujiulize nini sasa kitatuponya na cancer na sukari
 
kwa mujibu wa utafiti wa WHO,kuna uwezekano mkubwa kwa mtu aliekutwa na virusi,kama akianza kupewa dawa mapema virusi vyaweza kutoweka.
Sasa wizara kama mdau wa WHO,inafuata maagizo na sera ya chombo hicho cha UN,tupe utafiti wako nawe kupinga utaratibu huo
Tuambie wewe umesoma wapi huo utafiti, inawezekana sijauona siukani, ili nasi tuusome. Nilichokifahamu huwezi mpa dawa mtu ambae Viral Load ipo juu. Sijasikia virusi vinatoweka ila Viral inapungua siyo kwisha kabisa.
 
Ndugu usishangae sana maana hayo SI maagizo ya Wizara ya Afya bali nikutekeleza maagizo ya shirika la Afya duniani WHO kuwa ifikapo mwaka 2030 janga hili la Ukimwi liwe limekwisha!

Kumbuka utafiti bado unaendelea. Na Matibabu na dawa na utaalamu unazidi kuongezeka
Maagizo ya awali ya WHO yalikuwa na imani kwamba mtu akipewa dawa mapema atasababisha USUGU.
Na wale watakaoambukizwa na mtu aliye na usugu na watakuwa sugu katika hizo dawa. Hivyo waanze dawa ikifika below CD4 count
<200. baadaye ikawa
<250 na
350 .nk Kwa kuwa utafiti ungali unaendelea WHO imegundua kuwa mtu akipatiwa dawa mapema chances za
kupunguza VIRAL LOAD mzigo wa Virusi mwilini utapunguzwa to an undetectable level na pia chances za KUAMBUKIZA mwingine zitakuwa ni KIDOGO sana maana Virusi vitakuwa vimekuwa dhaifu na kujikonekiti kwenye cell receptors itakuwa ni vigumu
Ndiyo maana ya uamuzi huo wa srikali nafikiri!

Ndiyo maana pia WHO imeruhusu dawa kama VIREAD- TENOFOVIR kutumika kama Kinga katika jamii ambayo ni DISCORNDANT yaani Mme au Mke an VVU na mwingine hana. ANYWE saa moja kabla ya tendo la ndoa. Haya ni baadhi ya maagizo mapya ya WHO!
Kila dawa zina madhara ama Side effects zake. Lakini kwa hili FAIDA ni kubwa kuliko MADHARA.Tafadhali tuzingatie!
hatujui hata panadol ina side efect ilo ndio tatizo la wa tz
 
Sasa hivi under 500 CD4.
Wanatakiwa kuanzishiwa hapo hapo ni wajawazito Mara tu wanapogunduliwa na tuendapo inahitajika kwa wote iwe ni papo kwa papo.
Niliiona hii kule WHO , sasa sikujua kama Tanzania wameanza kutumia hii .
 
Back
Top Bottom