Democracy999
JF-Expert Member
- May 26, 2012
- 945
- 189
Tanesco wanaogopa kukata umeme Zanzibar, Bara bila Umeme kutwa kila siku, Zanzibar hukatwa kwa wiki masaa 5 tu, Ipi inanyonya nyingine? Bora Serkali moja kuondoa chokochoko
Sijui dada au kaka uhuru1 sivizuri kutoa majibu ya jumla; mimi ni mkristu katika kazi zangu nikiambiwa nito TShs. 100,000 ili nipewe kazi ya 2,000,000/= niko tayari kuikosa hiyo kazi kuliko kutoa rushwa. Kutamka tuu kuwa wakristu woteni wezi mnakuwa hamjawatendea haki kundi kubwa sana wa hiyo imani; Mh. Idd Simba naye ni Mkristu? Mh. Mustaffa Mkullo naye ni Mkristu? Mbona hao nao wanatuhumiwa kwa ufisadi kubwa tuu?
,rostam ni mkristu,msabaha ni mkristu,ridhiwani ni mkristu,wizi hauna mkristu wala mpagani,budha,wala mwislam.kwani majambazi wabnaochoma makanisa ni wakristu.upeo wao ninamashaka nao.Sijui dada au kaka uhuru1 sivizuri kutoa majibu ya jumla; mimi ni mkristu katika kazi zangu nikiambiwa nito TShs. 100,000 ili nipewe kazi ya 2,000,000/= niko tayari kuikosa hiyo kazi kuliko kutoa rushwa. Kutamka tuu kuwa wakristu woteni wezi mnakuwa hamjawatendea haki kundi kubwa sana wa hiyo imani; Mh. Idd Simba naye ni Mkristu? Mh. Mustaffa Mkullo naye ni Mkristu? Mbona hao nao wanatuhumiwa kwa ufisadi kubwa tuu?
..Temea mate chini....usiseme hivyo Mkuu....Please
Tuna mda mchache wa kuwahita magaidi...Al-qaeeda...Al-shaabab,Bhoko haram...nalazima tuwavulumishie mabomu ya machozi na risasi zaukweli...maana kama mnaingiza udini katika siasa hatutakubali sisi wa Tanganyika kutuita makafri..pili nyie ni masikini sana huko visiwani leo iweje mseme Tanganyika inawahujumu????
Moja tu inatosha zaniba iwe mikoaSerikali tatu, itamaliza hili tatizo.
ww kigogo au binadamu?Zanzibar sio nchi
Maneno yao hapo sikiliza.....Inatisha. Muungano umekwisha, waachani hawa watu waende wanapandikiza chuki mbaya kwenye kivuli cha Udini. Kwa mwendo huu, muungano umekufa
- Dhulma ya Tanganyika litan'gooka sasa. Tuko Tayari kwa kila kitu, hili swala tumelivaa kiimani. Hatuwezi kulipata nchi bila kuingiza Uislamu.
- "Tunadai Zanzibar yetu Kwenye makucha ya Tanganyika Kiimani sasa"
- Akitajwa Kiongozi Mwislamu hata kama katukera, tusimlaani. Wakitajwa wale makafiri, Jina lake mpaka litafute Juisi.
- Umuhimu wa Waislam kuwa na nchi yao, kuilinda na kuitetea nchi yao.
- Je Kwani mnanchi nchi? Nchi yenu imeibiwa na Wakristo
- Tusikubali utawala wa watu makafiri wababe, kama nabii rasul Musa. Tunataka taifa letu
- Njia tu ya kupigania uhuru ni Jihad. Lazima tupigane kama watu wadini
- Wabara wapumbavu, wamezoea kuingia mikataba ya kijinga ya kunufaisha mafisadi na wageni. Sisi hayo hatutayakubali. tunaitaka nchi yetu
- Mkiombwa kupigana kwa ajili ya nchi yenu mko tayari? Kwa maana mnayoyataka inafika muda mnalazimika kupigana
- Mnakufa kwa maradhi yanayotibika
- Tukifa sisi bila kuwapa nchi, vizazi vyetu vitakuwa wakiristo !
- Tunayemtaka ni jemedari wa kutuongoza kuikomboa nchi yetu
- Watanganyika na wakristo ni wezi, wanaiba matrillioni. Wamepandikiza chuki na wizi wao kwenye mashirika ya umma. Kila wizara na taasiri inanuka ufisadi. hatutaki muungano
- Baadhi yao wanajifanya kuzungumzia wanzanibari kuhusu muungano. Waacheni wanznibari wajiamulie, njooni hapa muuwailize wanzibari kama wanautaka huo muungano wenu.
[video=youtube_share;xXMONXpT5k M]http://youtu.be/xXMONXpT5kM[/video]
[video=youtube_share;RHYJADVg4x Y]http://youtu.be/RHYJADVg4xY[/video]
[video=youtube_share;870Wy0I8lUc]http://youtu.be/870Wy0I8lUc[/video]
[video=youtube_share;a1XSP0ClhSY]http://youtu.be/a1XSP0ClhSY[/video]
Jamani watanganyika acheni uchochezi hayo maneno mumeyapata wapi? huu ni uwongo . L ICHA ya kutumuia jumuiya yetu kutetea maslahi ya nchi yetu, hili si geni katika dunia! musehau harakati za waislamu katika utetezi wa Tanganyika? JEE muslim brother hood ilikuwa hawan uhalali wa kuunganisha wamasri kuleta haki iliyopotezwa na utawala wa wa mubarak? jee mumesahau ujerumani kuna chama cha christian democracy? sisi uamsho tumesajiliwa kisherai na msaada wa kisheria na tunaisaidia jamii kwa kiwango cha hali ya juu! futatilieni jamii itrawapasha? hivi wazanzibari hawan akili kutuunga mkono tena ni zaidi ya 80% . Hizi ni chuki zenu zidi ya waislam na wazanzibar! sisi tunajua fika uwepo kwa wakiristo(wareno, magoa, na idadi waafrika) kulikuwepo wahindu kutoka india, budda kutoka china na hata mayahudi.
http://victorian fortunecity./portofolio/543/crusades in znz.htm
Jamani kuweni na busara usiseme usilolijua. si vizur kuongea mambo musioyajua neno jihad halina maana ya kukamata mapanga au mizinga hili ni neno la kiarabu lina maana kujitahidi katika jambo kufikia malengo( ijtihad). Tatizo lenu munakitumia kiswahili kwa matumizi mabaya ya kisamiati
UAMSHO SI MAGAIDI. MAJAMBAZI ILA NIJUMUIA HURU YA KIJAMII
- Mnakufa kwa maradhi yanayotibika
- Tukifa sisi bila kuwapa nchi, vizazi vyetu vitakuwa wakiristo !