Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
[h=6]BREAKING NEWS!!!! Kundi la Uamsho ambalo linatuhumiwa kufanya vurugu mbalimbali ikiwemo kuchoma nyumba mjini Zanzibar hivi karibuni, limebainika kuwa lina ajenda ya siri ya kutaka kuunda taifa lake au Serikali ya Zanzibar kupitia uwezeshaji wa wahisani wa nje na viongozi waandamizi ili kusimamia siasa zenye msimamo mkali.
Siri hizo ni pamoja na kubainika kuwa kundi hilo ambalo awali wakati
likisajiliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) mwaka 2001 lilieleza dhamira yake ni kuunganisha jamii kupitia miadhara mbalibali ya amani, kupitia maandiko matakatifu, hali imebadilika kwa kuwa linapata ushawishi kutoka katika Kundi la HIZB ut-TAHRIR kutoka Falme za Kiharabu. RIPOTI MAALUM KATIKA GAZETI HURU LA KILA SIKU MAJIRA UK.12 NA 13 (JUNI 13, 2012
[/h]
Siri hizo ni pamoja na kubainika kuwa kundi hilo ambalo awali wakati
likisajiliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) mwaka 2001 lilieleza dhamira yake ni kuunganisha jamii kupitia miadhara mbalibali ya amani, kupitia maandiko matakatifu, hali imebadilika kwa kuwa linapata ushawishi kutoka katika Kundi la HIZB ut-TAHRIR kutoka Falme za Kiharabu. RIPOTI MAALUM KATIKA GAZETI HURU LA KILA SIKU MAJIRA UK.12 NA 13 (JUNI 13, 2012
[/h]