UAMSHO Kuwa Chama cha Siasa

ibange

JF-Expert Member
Dec 31, 2010
1,543
550
Ukweli ni kwamba matatizo ya uamsho Zanzibar yanasababishwa na ombwe la upinzani Znz. Baada ya CUF kujiunga serikali ya umoja, hakuna chama cha upinzani chenye nguvu Znz kutetea maslahi yao. Matokea yake Uamsho wamekuwa ndio kimbilio ya wazanzibari wengi ambao hawaridhiki na mfumo uliopo. Kuna tetesi nimezipata kuwa baada ya Uamsho kugundua wana ufuasi mkubwa sana wanataka aidha waunde chama cha siasa ambacho kitakuwa third force kubwa sana au wajiunge na chama cha siasa. Wanauamsho walishawahi hata kutaka kujiunga na chadema lakini Chadema ikaona itakuwa political suicide maana ingewaaminisha watu kuwa Chadema ni chama cha fujo.

My take: Wakifanikiwa hili Znz kutakuwa na chama cha tatu chenye nguvu na watakaopoteza zaidi ni CUF
 
Kwanza ni cha kidini
Pili hakitaki Muungano
Tatu wapo Unguja tu Katavi au Simiyu hawatapata Wanachama
Nne Tendwa akiwaona tuhao viongozi wao wenye pasi mbilimbili hata wakubali
Mwisho. Wakakiandikishe Oman
 
Ukweli ni kwamba matatizo ya uamsho Zanzibar yanasababishwa na ombwe la upinzani Znz. Baada ya CUF kujiunga serikali ya umoja, hakuna chama cha upinzani chenye nguvu Znz kutetea maslahi yao. Matokea yake Uamsho wamekuwa ndio kimbilio ya wazanzibari wengi ambao hawaridhiki na mfumo uliopo. Kuna tetesi nimezipata kuwa baada ya Uamsho kugundua wana ufuasi mkubwa sana wanataka aidha waunde chama cha siasa ambacho kitakuwa third force kubwa sana au wajiunge na chama cha siasa. Wanauamsho walishawahi hata kutaka kujiunga na chadema lakini Chadema ikaona itakuwa political suicide maana ingewaaminisha watu kuwa Chadema ni chama cha fujo.

My take: Wakifanikiwa hili Znz kutakuwa na chama cha tatu chenye nguvu na watakaopoteza zaidi ni CUF

Madai makubwa ya UAMSHO ni kutetea maslahi ya Waislamu, hivyo Msajili wa vyama hawezi kutoa usajili kwa chama kinachotetea watu wa imamni moja tu, lakini ngoja tusubiri kitakachotokea.
 
Madai makubwa ya UAMSHO ni kutetea maslahi ya Waislamu, hivyo Msajili wa vyama hawezi kutoa usajili kwa chama kinachotetea watu wa imamni moja tu, lakini ngoja tusubiri kitakachotokea.

Chini ya serikali inayoongozwa kwa MASHINIKIZO ya watu lolote linaweza kutokea, wanaweza wakaenda kwa Tendwa kusajili,akiwakatalia wanatoa ultimatum ya saa 26 mara kabla ya ijumaa usajili tayari. in a state that is in AUTOPILOT MODE this is possible
 
Kwanza ni cha kidini
Pili hakitaki Muungano
Tatu wapo Unguja tu Katavi au Simiyu hawatapata Wanachama
Nne Tendwa akiwaona tuhao viongozi wao wenye pasi mbilimbili hata wakubali
Mwisho. Wakakiandikishe Oman

Bwa ha Hahaaaaaaaaah
 
Madai makubwa ya UAMSHO ni kutetea maslahi ya Waislamu, hivyo Msajili wa vyama hawezi kutoa usajili kwa chama kinachotetea watu wa imamni moja tu, lakini ngoja tusubiri kitakachotokea.

Uamsho kimesajiliwa kwa ajili ya mihadhara ya kiislam, siiyoni mantiki itakayo tumika kuisajili kama chama cha siasa kwa kutumia sheria zilizopo kwa sasa. Hawa nawaona ya kuwa ni wasumbufu tu, wanafanya mambo kwa kuiga ama wanatumiwa.
 
Hakitapata usajili kwani kinachanganya dini na siasa ambazo hata waarabu zimewashinda na hawazitaki!

Sharia
 
Jana niliangali hao viongozi wa UHAMUSHO wakilpelekwa mahakamani,almost wote ni Waarabu pure,na wala sio chotara,inatakiwa Wazanzibar halisi waone aibu ku entertain awa watu,hivi bado wanataka mambo ya Usultani?

kuongozwa na awa waarabu?ukiwachunguza waote uraia utakuta wana dual citizenship,na sitoshangaa kusikia wana link na uhamusho wa Mombasa au AL Shabab.
 
Back
Top Bottom