gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Asalam aleykum........wadau na wapenzi wa MMU.
Leo ikiwa ni siku nzuri tumeanza mfungo wa mwez ramadhani basi tumwombe Mungu atufanyie wepesi na atusamehe dhambi zetu zote ndogo kwa kubwa. atujalie tuisimamie nia zetu kwa uaminifu..
ninapenda weekend tujifunze na kujadilian juu ya hili jambo uaminifu hasa katika mahusiano yetu. Jamani kila mtu anapenda mwenzie awe mwaminifu kwake lakin je tunajua hasa roles za uaminifu katika mahusiano? labda nitaje roles chache tu hapa:-
- uaminifu huongeza kujiamini katika mahusiano hasa kwa yule umpendaye.
- uaminifu huthaminisha penzi kati ya wawili wapendanao na
-Uaminifu hukuza penzi kati ya wawili wapendanao
sasa je tujiulize kwa ukweli kabisa je tu waaminifu kweli katika mahusiano yetu? na je si kwasababu ya sisi kutokuwa waaminifu ndio maana thamani, kujiamini na kukua kwa penzi kumeondoka katika mahusiano yetu. Siri kubwa ya uaminifu ni chumbani (moyoni mwako) so jiasess kisha chukua hatua.
karibuni tujadili. Na inshalla Mwenyezi Mungu ataumba upya moyo wa uaminifu nafsini mwetu. kumbuka waweza kuurudisha uaminifu ulioupoteza katika maisha yako kwa yule umpendaye.
Leo ikiwa ni siku nzuri tumeanza mfungo wa mwez ramadhani basi tumwombe Mungu atufanyie wepesi na atusamehe dhambi zetu zote ndogo kwa kubwa. atujalie tuisimamie nia zetu kwa uaminifu..
ninapenda weekend tujifunze na kujadilian juu ya hili jambo uaminifu hasa katika mahusiano yetu. Jamani kila mtu anapenda mwenzie awe mwaminifu kwake lakin je tunajua hasa roles za uaminifu katika mahusiano? labda nitaje roles chache tu hapa:-
- uaminifu huongeza kujiamini katika mahusiano hasa kwa yule umpendaye.
- uaminifu huthaminisha penzi kati ya wawili wapendanao na
-Uaminifu hukuza penzi kati ya wawili wapendanao
sasa je tujiulize kwa ukweli kabisa je tu waaminifu kweli katika mahusiano yetu? na je si kwasababu ya sisi kutokuwa waaminifu ndio maana thamani, kujiamini na kukua kwa penzi kumeondoka katika mahusiano yetu. Siri kubwa ya uaminifu ni chumbani (moyoni mwako) so jiasess kisha chukua hatua.
karibuni tujadili. Na inshalla Mwenyezi Mungu ataumba upya moyo wa uaminifu nafsini mwetu. kumbuka waweza kuurudisha uaminifu ulioupoteza katika maisha yako kwa yule umpendaye.