uaminifu...........

kama nikiweza funza wanangu, sitakaa niwafunze uaminifu kwa dunia hii ya leo.

Ni mistake ya kufa mtu, ni kujipasua moyo bure, ni ukichaa tu wa mapenzi tu.

Bora waishi maisha real ya kuchitiana.
 
Umeona palivyo pagumu......hebu relax achana na makorokoro ya criteria n.k..........hivi wewe ni mwaminifu

to be frank sijijui aisee nafsi yangu inajiskia maruweruwe, mara ndio mara hapana mara nakiri mara nakataa..........too complicated to me.
 
kama nikiweza funza wanangu, sitakaa niwafunze uaminifu kwa dunia hii ya leo.

Ni mistake ya kufa mtu, ni kujipasua moyo bure, ni ukichaa tu wa mapenzi tu.

Bora waishi maisha real ya kuchitiana.


..................................
 
kama nikiweza funza wanangu, sitakaa niwafunze uaminifu kwa dunia hii ya leo.

Ni mistake ya kufa mtu, ni kujipasua moyo bure, ni ukichaa tu wa mapenzi tu.

Bora waishi maisha real ya kuchitiana.
Kongosho you are very right aisee, yaani na shida ya uaminifu ni moja tu kosa moja dogo sana laweza kuufuta uaminifu wote hata kama uliujenga for yrs.
 
Last edited by a moderator:
Je, uaminifu ni mtazamo?

Yaani wewe kwa mtazamo wako unaweza kujiona kuwa ni mwaminifu lakini kwa mtazamo wa mwingine ukaonekana si mwaminifu?

Hahahaaaa...the phenomenon of love.
 
Uaminifu unawezekana kabisa.....ukiamua tu kuwa mwaminifu basi utakuwa mwaminifu

Da lily uko unasema kweli kabisa but it is too theoretical, coming into practice ni ngumu sana mbaya zaid ni kwamba kosa moja laweza kuondoa ama kuufut auaminifu wako sijui aisee hii chaacter imekaaje.
 
that is so nice Purple but tell us wafanyaje wewe ili kuweza kuwa mwaminifu kwa kweli?

unajua life is how you make it, mimi nilishajiwekea principle toka awali kwamba siwezi kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja at the same time, lakini nilichokuja kugundua kumpata mwaminifu kama mimi ni ndoto za bunuasi..
 
Last edited by a moderator:
that is so nice Purple but tell us wafanyaje wewe ili kuweza kuwa mwaminifu kwa kweli?

unajua life is how you make it, mimi nilishajiwekea principle toka awali kwamba siwezi kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja at the same time, lakini nilichokuja kugundua kumpata mwaminifu kama mimi ni ndoto za bunuasi..
 
Last edited by a moderator:
Je, uaminifu ni mtazamo?

Yaani wewe kwa mtazamo wako unaweza kujiona kuwa ni mwaminifu lakini kwa mtazamo wa mwingine ukaonekana si mwaminifu?

Hahahaaaa...the phenomenon of love.
Nyani Ngabu ajionavyo mtu moyoni mwake ndivyo alivyo. sawa hili sna shida nalo lakin what happened pale wewe wajiona kuwa mwaminifu wakati siyo? ama waonekana mwaminifu wakati moyoni siyo na je kama ni mwaminifu halafu waonekana siyo?

nenda mbele zaid think of kosa moja dogo sana laweza kukuondolea uaminifu wako wote and ukitaka kuremedy it cost more than ulivyoutafuta uaminifu huo. to me ni confusion aisee.
 
Last edited by a moderator:
unajua life is how you make it, mimi nilishajiwekea principle toka awali kwamba siwezi kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja at the same time, lakini nilichokuja kugundua kumpata mwaminifu kama mimi ni ndoto za bunuasi..

hahahah............this is some thing else but wait. hivi ni mtu anaouona uaminifu wa mwenzie ama ni mtu anajiona nafsini mwake mwenyewe?
 
mie mwingine kucheat ni A, lakini na mie kucheat ni B.

Nachosema, kuna watu hawawezi cheat no matter what, sababu wameaminishwa hivyo tangu watoto.

Kwa maisha ya leo kumlea mtoto katika mtazamo huo ni kumtesa baadae sababu atakuwa anaumia mwenza wake akicheat afu yeye anashindwa kujilipa.

Ni bora kumlea akijua kuwa kucheat kupo na si vibaya sana kutegemea na mwenza anakuteat vipi.

Kongosho you are very right aisee, yaani na shida ya uaminifu ni moja tu kosa moja dogo sana laweza kuufuta uaminifu wote hata kama uliujenga for yrs.
 
Last edited by a moderator:
Nyani Ngabu ajionavyo mtu moyoni mwake ndivyo alivyo. sawa hili sna shida nalo lakin what happened pale wewe wajiona kuwa mwaminifu wakati siyo?

Siyo mwaminifu kwa viwango vya nani? Manake kama wewe unajiona mwaminifu na mwingine au wengine hawakuoni mwaminifu wewe hilo liko nje ya uwezo wako. Huwezi kudhibiti maono ya wengine. Au nakosea?
 
Ni kweli uaminifu unakuwepo moyon mwako kwa mtazamo wangu, haijalishi mwenzio atakuamin ama laa, tatzo ni kuwa kuwa mwaminif inakuwa painfull sana nyakat flan hasa unapokuwa na wasio waaminif, unajawa na maswal kwa nn wasiwe kama ww, na wakat mwingine unapoamua kutokuwa muaminifu kama wao, unajikuta dhamira yako inakuumiza zaid, nahc uaminif ni tabia ya mtu, ipo ndan yake,
 
Back
Top Bottom