U.S.A. yaanzisha harakati za kuipindua Serikali ya Sudan miezi miwili tu baada ya Sudan kufikia makubaliano na Urusi kuanzisha kituo cha kijeshi

Mathanzua

JF-Expert Member
Jan 4, 2017
15,861
20,714

Bila huruma U.S.A. imeanzisha harakati za kuipindua Serikali ya Sudan miezi miwili tu baada ya Sudan kufikia makubaliano na Urusi kuanzisha kituo cha kijeshi.

15 APRILI 2023

Miezi miwili iliyopita, Februari 9, Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergey Lavrov alitembelea taifa la Sudan ya Kaskazini. Moja ya mada zilizojadiliwa ni Uanzishwaji wa Kituo cha Wanamaji cha Urusi kwenye Bahari Nyekundu.Miezi miwili baada ya mjadala huo, Marekani imeanzisha harakati za kuipindua Serikali ya Sudan Kaskazini.Hii si ajabu kwa Marekani,ni kawaida yake.Huu ndio uovu wa Marekani.Imechukua CIA miezi miwili tu kutimiza uovu wake.Marekani ikishaona haiwezi kupata inachotaka kwa njia za amani au hongo, inachochea kupinduliwa kwa serikali ya nchi husika.Marekani ndio Taifa ovu kabisa duniani na watu wanaoiongoza Marekani wanaamini kwamba wapo juu ya Sheria.Ili kufanikisha malengo yao maovu kwa dunia,viongozi wa Marekani wapo tayari kufanya lolote.Vikwazo vya kiuchumi, vita vya kibiashara, ulaghai katika uchaguzi, hongo, kuua viongozi wa mataifa mengine au kama tunavyoona kwa Sudan na Urusi kupindua serikali.

Marekani haikubali kabisa kuondolewa kwenye uongozi wake wa dunia, na yeyote anayejaribu kufanya hivyo hupondwa, kuharibiwa au kuondolewa kabisa kwenye uso wa Dunia.Hiyo ndiyo Marekani.Ndio maana mataifa mengi ya dunia yanajitenga na Marekani na yanaachana na matumizi ya US$ kama reserve currency.

Kama Dunia haitasimama kidete na kukomesha jinsi serikali ya Marekani inavyofanya mambo yake, Dunia itaingia kwenye matatizo makubwa,hasa ukizingatia mzozo wa Marekani,Urusi,NATO,
Ulaya na Ukraine.

Urusi ifanye nini baada ya kuzingirwa na NATO? Ikae isubiri kuharibiwa kabaada ya kuzingirwa na nchi za NATO ambazo zote zimelenga makombora yao kuelekea Urusi?Haiwezekani,lazima ijihami.

Marekani imeziharibu Iraq,Libya,Syria ambazo zilikataa au zinakataa kushirikiana nayo,na zinataka kushirikiana na Urusi.Urusi inapojaribu kujadili kwa amani uwezekano wa kuweka kituo chake cha Jeshi la Wanamaji kwenye Bahari Nyekundu na Sudan, Marekani inataka kuipindua serikali ya Sudan!Yaani kila Urusi inalofanya Marekani ina-ingilia kati.Wakati mwingine kwa amani,lakini wakati mwingine kwa kutumia sheria na mikataba fake. Mara nyingi kupitia rushwa na nguvu.

Hata hivyo si muda mrefu sana ujao,Warusi watagundua kuwa Marekani haita-waacha salama.Utambuzi huo utakapotokea, kutakuwa na chaguzi mbili tu kwa Urusi ambazo zimesalia: kuiangamiza kabisa Marekani au kuikubali kama ilivyo.

Source:


Related story:👇

Pentagon preparing armed mission in Sudan​

The African nation has been gripped by violent clashes amid a power struggle between the government and paramilitary forces
Pentagon preparing armed mission in Sudan

Smoke is seen rising amid clashes between government and paramilitary forces in Khartoum, Sudan, April 19, 2023. © AP / Marwan Ali
The US military has deployed additional troops and equipment to Africa to prepare for a possible evacuation of American personnel in Sudan, where fierce fighting with rebels has left hundreds dead and injured.
Soldiers have been positioned at a key US base in Djibouti, Camp Lemonnier, in anticipation of an evacuation mission for employees at the US Embassy in Khartoum, the Associated Press and Politico reported on Thursday, both citing unnamed officials. The embassy includes around 70 American staffers.
In a statement issued on Thursday, the Pentagon said it had deployed additional “capabilities” in the region as part of “prudent planning for various contingencies,” but stopped short of confirming any upcoming operations, and did not specify where the troops would be stationed.
Warring sides agree to 24-hour ceasefire in Sudan READ MORE: Warring sides agree to 24-hour ceasefire in Sudan
While National Security Council spokesman John Kirby said President Joe Biden had “authorized the military to move forward with pre-positioning forces and to develop options,” a decision to withdraw US diplomatic staff has not yet been made.
Planning has reportedly been underway since Monday, when a US Embassy convoy came under attack by rebel gunmen, according to Secretary of State Antony Blinken. He noted that no Americans were harmed in the assault, while a department spokesman said the US envoy to Sudan, John Godfrey, was not present during the incident.
An evacuation mission would carry risks, as the airport in Khartoum is out of operation and some roads out of the city are under the control of militants. If a secure landing area cannot be located, the evacuees could be forced to make a 12-hour drive to Port Sudan on the Red Sea, more than 500 miles (800km) away from the capital, officials told AP.
The security situation in Sudan has quickly deteriorated in recent days, with battles erupting between the country’s paramilitary Rapid Support Forces (RSF) and the government last week amid a dispute over the formal integration of the RSF into Sudan’s military.
Armed conflict in Sudan: What you need to know READ MORE: Armed conflict in Sudan: What you need to know
The RSF played a major role in the 2019 ouster of Sudanese President Omar al-Bashir, who had been in power for 30 years prior to the coup. A power-sharing deal was later struck with the rebels in order to transition back to a civilian-led government, including provisions requiring the RSF to officially merge with the armed forces. However, the militia has resisted integration with the army, reportedly due to disagreements over who should serve as commander in chief.
At least 270 people have been killed and more than 2,600 others injured in the fighting so far, the World Health Organization has estimated, citing Sudan’s Health Ministry. Though the warring parties agreed to a ceasefire deal on Tuesday, the violence has not abated, with renewed clashes reported just hours after the truce was announced.
 
Marekani hahusiki hapo:

Soma hapa
Mapigano yanayoendelea ni mzozo wa pande mbili wenye kuhusisha nani atakayechukua udhibiti wa maeneo muhimu ya mji mkuu wa Sudan, Khartoum kati ya kikosi cha Rapid Support Forces paramilitary (RFS) na majeshi ya serikali.

Historia ya mapigano hayo ni ipi?​

Tangu mapinduzi ya Oktoba 2021, Sudan imekuwa ikiendeshwa na baraza la majenerali na kuna wanajeshi wawili katikati mwa mzozo huo.
Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, ambaye ni mkuu wa majeshi na rais wa nchi hiyo kwa sasa.
Na naibu wake na kiongozi wa RSF, Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo, anayejulikana zaidi kama Hemedti.
Hawakubaliani na mwelekeo ambao nchi inaenda na hatua inayopendekezwa kuelekea utawala wa kiraia.
Mojawapo ya mambo muhimu ya kuzingatia ni juu ya mipango ya kujumuisha askari 100,000 wa RSF katika jeshi na ambao wangeongoza kikosi kipya.

Kwa nini yote haya yalianza Jumamosi?​

Ghasia hizo zinafuatia siku za mvutano huku kikosi cha RSF wakisambazwa tena nchini kote katika hatua ambayo jeshi liliona kama tishio.
Kumekuwa na matumaini kwamba mazungumzo yanaweza kutatua hali hiyo lakini hili halijatokea.
Haijabainika ni nani alifyatua risasi ya kwanza Jumamosi asubuhi lakini kuna hofu kwamba hali hii itazidi kuwa mbaya.
Wanadiplomasia wamezitaka pande hizo mbili kusitisha mapigano.

Kwa nini jeshi ndio linasimamia nchi?​

Mapigano haya ni kipindi cha hivi punde zaidi katika mivutano iliyofuatia kuondolewa madarakani kwa Rais Omar al-Bashir aliyehudumu kwa muda mrefu mwaka wa 2019.
Kulikuwa na maandamano makubwa ya kutaka kusitishwa kwa utawala wake wa karibu miongo mitatu na jeshi lilianzisha mapinduzi ili kumuondoa.
Lakini raia waliendelea kudai nafasi katika mpango wa kuelekea utawala wa kidemokrasia.
Mpango mkakati wa kurejesha mamlaka mikononi mwa raia ulikubaliwa Desemba mwaka jana lakini mazungumzo ya kukamilisha hatua hiyo yameshindwa.
Serikali ya pamoja ya kijeshi na ya kiraia ilianzishwa wakati huo lakini hiyo ilipinduliwa katika mapinduzi mengine mnamo Oktoba 2021.
Na tangu wakati huo ushindani kati ya Jenerali Burhan na Jenerali Dagalo umeongezeka.

Kikosi cha Rapid Support Forces ni kina nani?​


Kikosi cha wanajeshi wa Rapid Support Forces (RSF) kimejitokeza kwa kujulikana na sifa mbaya kikiwa katikati ya mzozo huu, ambao ni juu ya kuelekea utawala wa kiraia.
Kikiongozwa na Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo - naibu kiongozi wa nchi - kimekuwa kikishutumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu.
Hii ikiwa ni pamoja na mauaji ya Juni 2019 ya waandamanaji wasiopungua 120 kwenye maandamano ya kukaa ndani katika makao makuu ya Jeshi.
RSF kiliundwa mwaka wa 2013 ikiwa na wapiganaji wengi kutoka kwa wanamgambo wa Janjaweed ambao walipigana kikatili na waasi huko Darfur.
Mnamo mwaka wa 2015, wanachama wake 40,000 walijiunga na muungano wa kijeshi ulioongozwa na Saudi katika vita huko Yemen.
Wapiganaji wa RSF pia wametumwa Libya.
Ili kuwezesha pendekezo la mpito kwa utawala wa kiraia, kulikuwa na mpango wa kuanza kuunganisha RSF katika jeshi.
Lakini mzozo kati ya Jenerali Dagolo na mkuu wa Jeshi, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, kuhusu ratiba ya mabadiliko hayo na nani angeongoza kikosi kipya ndio suala ambalo limejitokeza kuwa chanzo cha mzozo.
Mvutano huo ulienea katika mapigano yaliyozuka asubuhi ya leo.

Mzozo huu umefikaje hapa?​

Mvutano kati ya Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo (pichani) na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ndio kiini cha tatizo.
Majenerali wamekuwa wakiendesha nchi ya kaskazini-mashariki mwa Afrika ya Sudan kupitia kile kiitwacho Sovereign Council tangu mapinduzi ya Oktoba 2021.
Kikosi cha kijeshi cha Rapid Support Forces (RSF) kiko chini ya uongozi wa makamu wa rais wa baraza hilo, Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo. Jeshi, wakati huo huo, linaongozwa na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, ambaye ni mkuu wa Baraza Kuu.
Pendekezo la kuhamia serikali inayoongozwa na raia limekiuka ratiba ya kuunganisha RSF katika jeshi la taifa.
Hata hivyo, RSF ilitaka kuchelewesha kwa hatua hiyo kwa miaka 10, lakini jeshi lilisema inapaswa kutokea mara mbili.

Nini kinaweza kutokea sasa?​

Ikiwa mapigano yataendelea basi yanaweza kusambaratisha zaidi nchi na kuzidisha machafuko ya kisiasa.
Wanadiplomasia, ambao wamekuwa na jukumu muhimu katika kujaribu kuhimiza kurejea kwa utawala wa kiraia, watakuwa na hamu ya kutafuta njia ya kupata majenerali hao wawili kuzungumza.
Wakati huo huo, watakuwa Wasudan wa kawaida ambao watalazimika kuishi katika kipindi kingine cha kutokuwa na uhakika.
CREDIT: BBC
 
Marekani hahusiki hapo:

Soma hapa
Mapigano yanayoendelea ni mzozo wa pande mbili wenye kuhusisha nani atakayechukua udhibiti wa maeneo muhimu ya mji mkuu wa Sudan, Khartoum kati ya kikosi cha Rapid Support Forces paramilitary (RFS) na majeshi ya serikali.

Historia ya mapigano hayo ni ipi?​

Tangu mapinduzi ya Oktoba 2021, Sudan imekuwa ikiendeshwa na baraza la majenerali na kuna wanajeshi wawili katikati mwa mzozo huo.
Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, ambaye ni mkuu wa majeshi na rais wa nchi hiyo kwa sasa.
Na naibu wake na kiongozi wa RSF, Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo, anayejulikana zaidi kama Hemedti.
Hawakubaliani na mwelekeo ambao nchi inaenda na hatua inayopendekezwa kuelekea utawala wa kiraia.
Mojawapo ya mambo muhimu ya kuzingatia ni juu ya mipango ya kujumuisha askari 100,000 wa RSF katika jeshi na ambao wangeongoza kikosi kipya.

Kwa nini yote haya yalianza Jumamosi?​

Ghasia hizo zinafuatia siku za mvutano huku kikosi cha RSF wakisambazwa tena nchini kote katika hatua ambayo jeshi liliona kama tishio.
Kumekuwa na matumaini kwamba mazungumzo yanaweza kutatua hali hiyo lakini hili halijatokea.
Haijabainika ni nani alifyatua risasi ya kwanza Jumamosi asubuhi lakini kuna hofu kwamba hali hii itazidi kuwa mbaya.
Wanadiplomasia wamezitaka pande hizo mbili kusitisha mapigano.

Kwa nini jeshi ndio linasimamia nchi?​

Mapigano haya ni kipindi cha hivi punde zaidi katika mivutano iliyofuatia kuondolewa madarakani kwa Rais Omar al-Bashir aliyehudumu kwa muda mrefu mwaka wa 2019.
Kulikuwa na maandamano makubwa ya kutaka kusitishwa kwa utawala wake wa karibu miongo mitatu na jeshi lilianzisha mapinduzi ili kumuondoa.
Lakini raia waliendelea kudai nafasi katika mpango wa kuelekea utawala wa kidemokrasia.
Mpango mkakati wa kurejesha mamlaka mikononi mwa raia ulikubaliwa Desemba mwaka jana lakini mazungumzo ya kukamilisha hatua hiyo yameshindwa.
Serikali ya pamoja ya kijeshi na ya kiraia ilianzishwa wakati huo lakini hiyo ilipinduliwa katika mapinduzi mengine mnamo Oktoba 2021.
Na tangu wakati huo ushindani kati ya Jenerali Burhan na Jenerali Dagalo umeongezeka.

Kikosi cha Rapid Support Forces ni kina nani?​


Kikosi cha wanajeshi wa Rapid Support Forces (RSF) kimejitokeza kwa kujulikana na sifa mbaya kikiwa katikati ya mzozo huu, ambao ni juu ya kuelekea utawala wa kiraia.
Kikiongozwa na Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo - naibu kiongozi wa nchi - kimekuwa kikishutumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu.
Hii ikiwa ni pamoja na mauaji ya Juni 2019 ya waandamanaji wasiopungua 120 kwenye maandamano ya kukaa ndani katika makao makuu ya Jeshi.
RSF kiliundwa mwaka wa 2013 ikiwa na wapiganaji wengi kutoka kwa wanamgambo wa Janjaweed ambao walipigana kikatili na waasi huko Darfur.
Mnamo mwaka wa 2015, wanachama wake 40,000 walijiunga na muungano wa kijeshi ulioongozwa na Saudi katika vita huko Yemen.
Wapiganaji wa RSF pia wametumwa Libya.
Ili kuwezesha pendekezo la mpito kwa utawala wa kiraia, kulikuwa na mpango wa kuanza kuunganisha RSF katika jeshi.
Lakini mzozo kati ya Jenerali Dagolo na mkuu wa Jeshi, Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, kuhusu ratiba ya mabadiliko hayo na nani angeongoza kikosi kipya ndio suala ambalo limejitokeza kuwa chanzo cha mzozo.
Mvutano huo ulienea katika mapigano yaliyozuka asubuhi ya leo.

Mzozo huu umefikaje hapa?​

Mvutano kati ya Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo (pichani) na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan ndio kiini cha tatizo.
Majenerali wamekuwa wakiendesha nchi ya kaskazini-mashariki mwa Afrika ya Sudan kupitia kile kiitwacho Sovereign Council tangu mapinduzi ya Oktoba 2021.
Kikosi cha kijeshi cha Rapid Support Forces (RSF) kiko chini ya uongozi wa makamu wa rais wa baraza hilo, Jenerali Mohamed Hamdan Dagalo. Jeshi, wakati huo huo, linaongozwa na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan, ambaye ni mkuu wa Baraza Kuu.
Pendekezo la kuhamia serikali inayoongozwa na raia limekiuka ratiba ya kuunganisha RSF katika jeshi la taifa.
Hata hivyo, RSF ilitaka kuchelewesha kwa hatua hiyo kwa miaka 10, lakini jeshi lilisema inapaswa kutokea mara mbili.

Nini kinaweza kutokea sasa?​

Ikiwa mapigano yataendelea basi yanaweza kusambaratisha zaidi nchi na kuzidisha machafuko ya kisiasa.
Wanadiplomasia, ambao wamekuwa na jukumu muhimu katika kujaribu kuhimiza kurejea kwa utawala wa kiraia, watakuwa na hamu ya kutafuta njia ya kupata majenerali hao wawili kuzungumza.
Wakati huo huo, watakuwa Wasudan wa kawaida ambao watalazimika kuishi katika kipindi kingine cha kutokuwa na uhakika.
CREDIT: BBC
Yote hayo uliyoyasema CIA inayajua,na actually wao ndio walio-cultivate the situation.Ni swala la devide and rule mkuu.They own both sides,so when the need came for action waligombanisha,ili waweke in power atakayesimamia interests zao,in this case a leader who will kick out the Russians.Mkuu be smart.
 
Link:
Ndio maana mnaitwa nyani , bongo magazeti ya udaku yanauzika kuliko magazeti yenye maisha halisi , Kweny hiyo habari ilibidi aandike na ushaidi kuwa USA anawagombanishaj na ushaidi kuonesha wanaotumika na USA ni yupi na yupi na taasisi husika ya USA inayoratibu yote haya na nini maslai yao ? na kipi USA atapoteza kama Sudan ingefanikiwa kujenga base ya Mrusi , pia Kwann USA alikaa kimya kwa SA kuikaribisha Urusi na pia kwann USA hakuzuiaga uwepo wa kambi ya kijeshi ya Uchina nchina SA ? na aje atumie nguvu nyingi kwa Sudan ?
 
Wanaopigana ni wasudan au ni wamerekan, mnapenda kusingizia Kila kitu wamerekan, na kwa akili yako hao wasudan wameamza kupigana Leo umesahahau habari za dafur na janjawid ambao ndio hao hao wameibadili jina? Waache wapigane hadi akili ziwakae sawa
Acha ujinga wewe,side moja inaweza kutumiwa kama proxy,sio lazima Marekani iwe on the ground.Mawazo ya ki-Lucifer Lucifer haya.
 
Ndio maana mnaitwa nyani , bongo magazeti ya udaku yanauzika kuliko magazeti yenye maisha halisi , Kweny hiyo habari ilibidi aandike na ushaidi kuwa USA anawagombanishaj na ushaidi kuonesha wanaotumika na USA ni yupi na yupi na taasisi husika ya USA inayoratibu yote haya na nini maslai yao ? na kipi USA atapoteza kama Sudan ingefanikiwa kujenga base ya Mrusi , pia Kwann USA alikaa kimya kwa SA kuikaribisha Urusi na pia kwann USA hakuzuiaga uwepo wa kambi ya kijeshi ya Uchina nchina SA ? na aje atumie nguvu nyingi kwa Sudan ?
Wewe unalishwa na kuvalishwa na The Evil Empire of Lies lazima uitetee.
 
acheni kuunga unga story asee , serikali ndo imeanza kuwapiga waasi , sasa serikali inafeli mnatafuta wa kumtupia lawama , kwa akili hz lazma tuendelee kuuana tu hakuna namna
jifunze kutumia ubongo wako kwanza kabla ya kumuattack mtu,,, kama level yako ya kufikiria au kuona jambo ni ndogo basi kaa kimya...waache wenye upeo mkubwa wa mambo waongee...!!!...alieandika kaweka na link kabisa kuwa habari inapatikana hapa...ww unaanza kumuattack..., ungekuwa unaelewa hata kwa kiasi kidogo tu jinsi Marekani anavyoiendesha hii dunia hata usingebisha....lkn kwa sababu umeamua kuwa ulivyo endelea...

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Yote hayo uliyoyasema CIA inayajua,na actually wao ndio walio-cultivate the situation.Ni swala la devide and rule mkuu.They own both sides,so when the need came for action waligombanisha,ili waweke in power atakayesimamia interests zao,in this case a leader who will kick out the Russians.Mkuu be smart.
uma ushahidi au uzezeta unakusumbua ? na kwa akili hz hz ndo mmekuwa mnasingizia viongoz wenu kuhusika na mauaji bila ushaidi
 
Back
Top Bottom