27 December 2023
SUDAN WATU 6,000,000 WAFURUSHWA TOKA MAKAZI YAO, 12,000 WAPOTEZA MAISHA
Kiongozi wa kikosi cha paramilitary cha Sudan jenerali Mohamed Hamdan Dagalo afanya ziara ya kipekee barani Afrika na kuzuru nchi za Uganda na Ethiopia.
Kikosi cha RSF kimekuwa kikipambana na majeshi ya serikali ya Khartoum Sudan na kusababisha mgawanyiko.
Mapigano ya majeshi hayo yasababisha raia milioni 6,000,000 kukimbia makazi yao na kuwa wakimbizi wa ndani ya nchi yao huku zaidi ya watu 12,000 kupoteza maisha yao katika nchi hii ya kiAfrika.
Dagalo, whose whereabouts during the war have been unknown, said on X the two discussed developments in Sudan, as well as his vision for negotiations to end the war. Museveni confirmed the meeting in a post on X, saying he welcomed Dagalo to his country home Rwakitura.
SUDAN WATU 6,000,000 WAFURUSHWA TOKA MAKAZI YAO, 12,000 WAPOTEZA MAISHA
Kiongozi wa kikosi cha paramilitary cha Sudan jenerali Mohamed Hamdan Dagalo afanya ziara ya kipekee barani Afrika na kuzuru nchi za Uganda na Ethiopia.
Kikosi cha RSF kimekuwa kikipambana na majeshi ya serikali ya Khartoum Sudan na kusababisha mgawanyiko.
Mapigano ya majeshi hayo yasababisha raia milioni 6,000,000 kukimbia makazi yao na kuwa wakimbizi wa ndani ya nchi yao huku zaidi ya watu 12,000 kupoteza maisha yao katika nchi hii ya kiAfrika.
Sudan: RSF leader Dagalo visits Uganda
Dec 27 2023 - The leader of Sudan’s paramilitary Rapid Support Forces (RSF) General Mohamed Hamdan Dagalo said on Wednesday he met Uganda's President Yoweri Museveni, his first confirmed appearance outside of Sudan since the war between RSF and the Sudanese army broke out in April.Dagalo, whose whereabouts during the war have been unknown, said on X the two discussed developments in Sudan, as well as his vision for negotiations to end the war. Museveni confirmed the meeting in a post on X, saying he welcomed Dagalo to his country home Rwakitura.