Tz To Invade Ug?

Kenyan-Tanzanian

JF-Expert Member
Nov 7, 2006
302
2
Wakubwa naomba kuelimishwa. Hii ni kutereza kwa ulimi au ni nini?

[media]http://www.youtube.com/watch?v=4fGZYOs7hOM[/media]
 
Hajataleleza ulimi.
Sema raisi ametoa mifano hiyo kwa kutumia vita ya Kagera ya mwaka 1978-1979, ya kumuondoa Idd Amin wa Uganda, ambapo mbinu za namna hiyo ndizo zilizotumika.
Hakuna vita hapo mkuu, uwe salama tu!
 
Back
Top Bottom