je, unajua kuwa wazo la 'barabara za juu' lilianzia hapa kabla ya Kenya!? na ukiunganisha dots inaonyesha budget iliyopita 2011/2012 waliahidi kuwa ujenzi ungeanza na hiyo ahadi sasa imesogezwa kwenye budget ya 2012/13 ambapo sasa wanagaongelea makutano ya barabara ya Mandela na Nyerere, ya Ubungo na zinginezo haziongelewi tena! Lakini hata hiyo ya TAZARA bado kuna utata maana AZAM anaendelea kupanua kiwanda!Unaweza kufikiria ni sehemu fulani ndani ya nchi ya Marekani(USA)vile ilivyo!Kumbe wala,ni Kenya tu hapo.Ama kweli Tanzania bado tuko nyuma sanaaaaaa.